Kuhamia Dodoma: Bajeti kuvurugwa ili kuhamisha maelfu ya watumishi, wadau wasema bunge hakuna fungu

Habari zenu wakuu natumai mko poa, habari iliyoshika kwa sasa ni ya Serikali kuu kuhamia Dodoma,na najua munajua kuwa Serikali ni watu na watu ndio sisi na sisi tuna wanaotutegemea kwa maana hiyo tunahama kwa mazingira gani.......Hebu tupige kura wanaJF wote ilitufikishe ujumbe kwamba hili swala liko sawa au haliko sawa au liko sawa lakini si kwa haraka hii, sisi hatuna sauti ya kusemea sehemu nyingine zaid ya hapa.Kura tunapiga kwa stairi hii,NDIO,HAPANA NA SIJUI,lakini ukitoa na sababu zako si mbaya

NDIO = Unaunga mkono hoja ya waziri mkuu/Serikali ya kuhamia Dodoma.
HAPANA = Huungi mkono hoja ya waziri mkuu/Serikali ya kuhamia DOdoma.
SIJUI = unamaanisha vyovyote itakavyokuwa wewe unaona sawa.
 
Waende tu huko!watuachie jiji letu ukawa
Wamchukue na mako....nda
 
Ihamie tu, tumechoka na ahadi Sasa hivi tunaangalia utekelezaji tu.!
 
Weka kwanza faida na hasara ndipo tupige kura!
Faida zake ni kwamba kwa sisi tusio na jukwaa la kusemea ndio tunawafikishia ujumbe kwamba japo mumeamua,lakini kama hili jambo lingeenda kwa wananchi basi lingeamuliwa hivi au vile.kwahiyo ni kuwafikishia ujumbe kwamba mko sahihi au mnakosea.
 
Maoni yangu,
Nyingi mnaoeneza habari za kupinga kuhamia Dodoma wengi wenu ni watumishi wa wizara mbali mbali hapa dar na hamtaki kuhamia Dodoma kwa vigezo visivyo na mantiki,

I am very sure wengi mtaacha kazi maana mlishaanzisha biashara mjini hapa na kazini nlikuwa mnazuga tu,

Wale vijana wasomi na wazalendo tusio na kazi tujiandae kuchukua nafasi za hawa watu pale Dodoma,
Mkuu wa nchi ameshaamua, serikali lazima ihamie Dodoma.
 
Upinge usipinge hakuna madhara. Serikali lazima ihamie Dodoma
Tunachokifanya ni kuwafikishia ujumbe,kwamba tunaridhika au hatujaridhika. Ni kama watu wanapoandamana kwa jambo fulani ambalo limekwisha amuliwa,ila mnajaribu kuwasihii wenye mamlaka kuwa mko sawa au mnakosea au mnapatia lakini fanyeni kwa namna hii.
 
Maoni yangu,
Nyingi mnaoeneza habari za kupinga kuhamia Dodoma wengi wenu ni watumishi wa wizara mbali mbali hapa dar na hamtaki kuhamia Dodoma kwa vigezo visivyo na mantiki,

I am very sure wengi mtaacha kazi maana mlishaanzisha biashara mjini hapa na kazini nlikuwa mnazuga tu,

Wale vijana wasomi na wazalendo tusio na kazi tujiandae kuchukua nafasi za hawa watu pale Dodoma,
Mkuu wa nchi ameshaamua, serikali lazima ihamie Dodoma.
Kwa upande mmoja unaweza kuwa uko sahihi na mwingine unaweza kuwa unakosea, lakini ni ukweli kabisa wewe huoni kama kuna sehemu ilitakiwa iwe vipi....hata kama upingi swala lenyewe lakini waambie wafanye kitu kwenye jambo fulani maana na wenyewe wanapita hapa.
 
Ndiyo:
a)kwanza hatuwataki jijini petu magamba,wanatuletea kashombo fulani hivi na wanatuwekea kauzibe cha kujidai!
b)pili,acha wahamie uko ili na makabila yote yanayoichukia c.c.m tuyatume uko ili kuongeza influx ya anti-ccm sentiments
c)tatu,tunataka by 2020,ukawa tuichukue manispaa ya dodoma,na by 2025 tuichukue dodoma yote,mpaka kibajaji aisome namba!
d)nne,tokeni mwkwende,mtuachie dar yetu!
 
Ihamie tu, tumechoka na ahadi Sasa hivi tunaangalia utekelezaji tu.!
Basi waambie kule wanakoenda wafanyie kazi jambo gani ambalo kwa hapa Dar lilikuwa changamoto au huko wanakokwenda litakuwa changamoto.
 
Kwa upande mmoja unaweza kuwa uko sahihi na mwingine unaweza kuwa unakosea, lakini ni ukweli kabisa wewe huoni kama kuna sehemu ilitakiwa iwe vipi....hata kama upingi swala lenyewe lakini waambie wafanye kitu kwenye jambo fulani maana na wenyewe wanapita hapa.
Mkuu,
Tangu mdogo nlikuwa natamani sana serikali iwe na makao makuu kamili Dodoma,
Sio Dodoma and Dar,
Kwaiyo wajiandae tu kisaikolojia.
Kuna taarifa pia watumishi wengi wamekuwa wakihamishiwa au kupangiwa kazi Dodoma wamekuwa wakipotelea kusikojulikana,
Hata pale Benjamin Mkapa hospital waliopangiwa kazi walio wengi hawajakanyaga pale licha ya kuwa miezi kadhaa imekata,
Ukweli ni kuwa watumishi wengi wakiwemo viongozi wakubwa waliotangulia hawakuwahi kuvutiwa kuishi dodoma,
Now the time has come,
Waziri mkuu ameagiza nyumba Yake ifanyiwe marekebisho ya kiaina ahamie Dom mwezi wa9,
Nadhani ili hili zoezi lisiwe na usumbufu sana serikali ihamishe wizara na watumishi wake kwa awamu,
Kujengwe nyumba za kutosha as earliest,
NSSF na mifuko mingine, na NHC wafanye huu mchakato wa makazi kama dharula,
Na pia wenye mitaji wakajenge kota za kupangisha wafanyakazi pale, maana ardhi Dodoma sio tatizo. Dodoma sasa Fursa ni nje nje..
Ile ardhi ya Dodoma licha ya ukame ni INA rutuba sana, tutalima mbogamboga na zabibu na kupiga pesa za hatari..
Dodoma ni karibu sana kutoka kila kona ya Tz.
Hakuna excuse hapo mkuu, no need for any petition or whatever,
We need to flee to Dodoma.
That central region, Dodoma, Singida, Tabora, shy.. And nearby regions like Iringa has been abandoned for so long. Now there we Go.
Thanks serekare yangu chini ya Ngosha!!
Tumeimbishwa na kuchezeshwa ngoma vya kutosha, ngoja tupige kazi sasa!
 
Habari zenu wakuu natumai mko poa, habari iliyoshika kwa sasa ni ya Serikali kuu kuhamia Dodoma,na najua munajua kuwa Serikali ni watu na watu ndio sisi na sisi tuna wanaotutegemea kwa maana hiyo tunahama kwa mazingira gani.......Hebu tupige kura wanaJF wote ilitufikishe ujumbe kwamba hili swala liko sawa au haliko sawa au liko sawa lakini si kwa haraka hii, sisi hatuna sauti ya kusemea sehemu nyingine zaid ya hapa.Kura tunapiga kwa stairi hii,NDIO,HAPANA NA SIJUI,lakini ukitoa na sababu zako si mbaya

NDIO = Unaunga mkono hoja ya waziri mkuu/Serikali ya kuhamia Dodoma.
HAPANA = Huungi mkono hoja ya waziri mkuu/Serikali ya kuhamia DOdoma.
SIJUI = unamaanisha vyovyote itakavyokuwa wewe unaona sawa.
Umeshindwa kuweka polls hapo? Ukianzisha thread mbona kuna hicho kipengere.? Waombe mods wakisaidie ila in short serikali ihame
 
Habari zenu wakuu natumai mko poa, habari iliyoshika kwa sasa ni ya Serikali kuu kuhamia Dodoma,na najua munajua kuwa Serikali ni watu na watu ndio sisi na sisi tuna wanaotutegemea kwa maana hiyo tunahama kwa mazingira gani.......Hebu tupige kura wanaJF wote ilitufikishe ujumbe kwamba hili swala liko sawa au haliko sawa au liko sawa lakini si kwa haraka hii, sisi hatuna sauti ya kusemea sehemu nyingine zaid ya hapa.Kura tunapiga kwa stairi hii,NDIO,HAPANA NA SIJUI,lakini ukitoa na sababu zako si mbaya

NDIO = Unaunga mkono hoja ya waziri mkuu/Serikali ya kuhamia Dodoma.
HAPANA = Huungi mkono hoja ya waziri mkuu/Serikali ya kuhamia DOdoma.
SIJUI = unamaanisha vyovyote itakavyokuwa wewe unaona sawa.
BADALA YA KUFIKIRIA UNAJENGA LINI UACHE KUPANGA JNAWAZA KUHAMA SERIKALI LOH
 
Kama kuhamia dodoma ni ishu ya wafanyakazi tu!.Waende lakini kama kuna expenses nyingi za ziada zitaongezeka wasiende hata dar ni sehemu ya tanzania mi siamini kama priority yetu kwa sasa ni kuhamia dodoma!
 
BADALA YA KUFIKIRIA UNAJENGA LINI UACHE KUPANGA JNAWAZA KUHAMA SERIKALI LOH
Mimi nimejenga Dar nyumba 3,Mwanza kiwanja,Lindi mjini nyumba moja na Kyela nyumba yangu inaishia tena iko mjini kabisa,na huko Dom nimeshapata kiwanja kalagabao sio level zako hizi.
 
Faida zake ni kwamba kwa sisi tusio na jukwaa la kusemea ndio tunawafikishia ujumbe kwamba japo mumeamua,lakini kama hili jambo lingeenda kwa wananchi basi lingeamuliwa hivi au vile.kwahiyo ni kuwafikishia ujumbe kwamba mko sahihi au mnakosea.
hahaha
 
Back
Top Bottom