Ok sawa mkuu nia yangu bajeti iliyopitishwa.Siyo bajeti iliyopita kwenye bajeti tuliyonayo sasa
Wizara zote wana ofisi zao Dodoma japo si kubwa lakini zinafanya kazi kipindi mawaziri wanapokuwa kwenye vikao Dodoma .Baada ya mh. Rais kutangaza serikali kuhamia Dodoma katika kipindi chake hiki cha miaka mitano, tayari idara na wizara mbalimbali zimetangaza kuhamia Dodoma ndani ya kipindi hiki cha bajeti hii. Moja ya wizara hiyo ni wizara ya kilimo ambayo imetangaza kuhamia Dodoma wiki ijayo.
Pia, ofisi ya waziri mkuu imepanga kuhamia Dodoma mwezi september mwaka huu.
My take:
Hivi Bajeti hii tulipanga hii mihamo ya kuhamia Dodoma? Kama hatukupanga pesa zinatoka wapi?
Kwa nini bavicha mko negative sana, hamuoni vitu on a positive side? Mmerogwa!!
Tuweke Orodha Ya Wateuliwa Wa Rais Ambao Kimsingi Na Agizo Lake Lazima Aende Nao Dodoma Kule:-
Makamu Wa Rais
Waziri Mkuu
Mkuu Wa Majeshi (CDF)
Mkuu Wa Jeshi La Police
Mkuu Wa Usalama Wa Taifa
Mkuu Wa Takukuru
Mkuu Wa Jeshi La Magereza
Ongozeeni Orodha
China na baadhi ya nchi za ulaya na America watatoa funguNi wazi kwamba bajeti inaelekea kuvurugwa ili kuhamisha maelfu kama si malaki ya watumishi wa umma kuelekea Dodoma.
Bunge la bajeti halikupitisha wala kujadili fungu la pesa ili kuhamisha maelfu ya watumishi, kujenga majengo, kukodi majengo, kuhamisha mali za wizara zilizoko Dar es salaam.
Mvurugano huu unatibua hata kile kidogo kinachotarajiwa kutoka awamu ya tano!
Fungu lipi litabanwa? La kuajiri? La Miundombinu? Au Posho za Watumishi?
mkuu wa mkoa ni wa mkoa mmoja hao wengine ni viongozi wa kitaifa .mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
Hoja yako ni nini? Hivi haya ni Mawazo ya ccm au yako binafsi?Kwa nini bavicha mko negative sana, hamuoni vitu on a positive side? Mmerogwa!!
Ofisi ya PM ilihamishiwa Dodoma wakati wa Sokoine (~miaka 34 iliyopita) lakini PM mwenyewe hakuhama hadi leo! Kiutaratibu, ofisi zote za kibalozi na za mashirika ya kimataifa yenye hadhi ya kibalozi zinapaswa kuwa pale makao makuu ya serikali yalipo. Balozi zenye majengo makubwa na ya kudumu kama Marekani, Kenya, Zambia na nchi za Umoja wa Ulaya (EU) hazina namna itabidi watafute viwanja na kujenga upya Dodoma!
Niliwahi kukuambia humu siku moja kuwa kwa kuwa akili yako ya kufikiri ni ndogo basi uwe unamshirikisha mkeo kwani mkichanganya akili zenu 2 ndogo unaweza kueleweka japo kidogo kuliko huu utumbo wako!Hivi Bawacha huwa mnajua mnacho simamia?
Kama kikao cha Leo cha cdmunsystematic...
procedureless...
Nchi inaendeshwa kimizuka-mizukaTatizo nchi inaendeshwa kwa mawazo ya mtu Mmoja.
Kwa nini bavicha mko negative sana, hamuoni vitu on a positive side? Mmerogwa!!