Kuhama toka Halmashauri kwenda mashirika ya Umma

KING KIGODA

JF-Expert Member
Dec 28, 2018
3,756
2,998
Habari wana jf!

Naomba msaada kwa anayefahamu taratibu za kuhama kutoka halmashauri kwenda mashirika ya umma.

Mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la TANESCO kwa miaka mitano nikiwa temporary.Kwa sasa nimepata ajira ya kudumu halmashauri lakini nataka nirudi TANESCO au shirika lolote.

ASANTENI
 
Habari wana jf!.Naomba msaada kwa anayefahamu taratibu za kuhama kutoka halmashauri kwenda mashirika ya umma.
Mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la TANESCO kwa miaka mitano nikiwa temporary.Kwa sasa nimepata ajira ya kudumu halmashauri lakini nataka nirudi TANESCO au shirika lolote.

ASANTENI
Hahahaa! Umeona halmashauri kulivyo na njaa?
 
Baba kazi unayo

unatakiwa uwe na taarifa sahihi kutoka shirika unalotaka kwenda uone kuna nafasi au laaah yaani namaanisha mtu akupe umbea

Baada ya hapo fanya jitihada kujua kama ukipeleka maombi utaweza pokelewa? au utajibiwa hatuna nafasi

kama nafasi ipo, Nenda kwa mkurugenzi wako akupitishie barua yako ya kuhama, Nenda kwa katibu mkuu utumishi kisha peleka kwenye shirika husika
 
Habari wana jf!.Naomba msaada kwa anayefahamu taratibu za kuhama kutoka halmashauri kwenda mashirika ya umma.
Mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la TANESCO kwa miaka mitano nikiwa temporary.Kwa sasa nimepata ajira ya kudumu halmashauri lakini nataka nirudi TANESCO au shirika lolote.

ASANTENI
Huko halmashauri unataka abaki nani kama unataka kuondoka?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Baba kazi unayo

unatakiwa uwe na taarifa sahihi kutoka shirika unalotaka kwenda uone kuna nafasi au laaah yaani namaanisha mtu akupe umbea

Baada ya hapo fanya jitihada kujua kama ukipeleka maombi utaweza pokelewa? au utajibiwa hatuna nafasi

kama nafasi ipo, Nenda kwa mkurugenzi wako akupitishie barua yako ya kuhama, Nenda kwa katibu mkuu utumishi kisha peleka kwenye shirika husika
Duh!.Ila hiyo kwa sisi watoto wa kiumeni hainakukata tamaa,ngoja nifait.
 
Baba kazi unayo

unatakiwa uwe na taarifa sahihi kutoka shirika unalotaka kwenda uone kuna nafasi au laaah yaani namaanisha mtu akupe umbea
A

Baada ya hapo fanya jitihada kujua kama ukipeleka maombi utaweza pokelewa? au utajibiwa hatuna nafasi

kama nafasi ipo, Nenda kwa mkurugenzi wako akupitishie barua yako ya kuhama, Nenda kwa katibu mkuu utumishi kisha peleka kwenye shirika husika
Huku watoto wanaweza kurudi asante kayumba aiseee.
Halmashauri = poverty
Halmashauri ni wachache sana wanaokula bata ila 98% NJAA, NJAA, NJAA.
 
Halmashauri = poverty
Halmashauri ni wachache sana wanaokula bata ila 98% NJAA, NJAA, NJAA.
halmashauri ni njaaaaaaa dereva analipwa TGS B ambayo ni 390,000 apo haijakatwa ni gross lakini njoo kwa madereva wengine wa idara za maji safi na majitaka mfano dawasa,mwauwasa ni 1.2M, njoo Tanapa, njoo Tanesco, ewura,Tasac,latra na wakala zingine za serikali mishahara ya madereva ni minono sijui kwann serikali kuu na serikali za mitaa zinalipa kiduchu ivyo
 
Halmashauri imebaki majina makubwa tu utasikia AFISA UTUMISHI, AFISA MIPANGO lakini salary kisoda anazidiwa na mlinzi wa getini TANAPA
halmashauri ni njaaaaaaa dereva analipwa TGS B ambayo ni 390,000 apo haijakatwa ni gross lakini njoo kwa madereva wengine wa idara za maji safi na majitaka mfano dawasa,mwauwasa ni 1.2M, njoo Tanapa, njoo Tanesco, ewura,Tasac,latra na wakala zingine za serikali mishahara ya madereva ni minono sijui kwann serikali kuu na serikali za mitaa zinalipa kiduchu ivyo
 
halmashauri ni njaaaaaaa dereva analipwa TGS B ambayo ni 390,000 apo haijakatwa ni gross lakini njoo kwa madereva wengine wa idara za maji safi na majitaka mfano dawasa,mwauwasa ni 1.2M, njoo Tanapa, njoo Tanesco, ewura,Tasac,latra na wakala zingine za serikali mishahara ya madereva ni minono sijui kwann serikali kuu na serikali za mitaa zinalipa kiduchu ivyo
Mashirikani kunakujali sana fani ya driving maana wanaelewa kuwa dereva ndiye mtu anayepaswa kufanya kazi yake akiwa hana msongo wa mawazo.
Sasa huku Halmashauri sijui wanaichukuliaje taaluma hii?.
 
Hivi
halmashauri ni njaaaaaaa dereva analipwa TGS B ambayo ni 390,000 apo haijakatwa ni gross lakini njoo kwa madereva wengine wa idara za maji safi na majitaka mfano dawasa,mwauwasa ni 1.2M, njoo Tanapa, njoo Tanesco, ewura,Tasac,latra na wakala zingine za serikali mishahara ya madereva ni minono sijui kwann serikali kuu na serikali za mitaa zinalipa kiduchu ivyo
Hivi kumbe udeleva unalioa eeh ukikomaa nao vizuri.
 
Back
Top Bottom