Sumu ya nyigu Member Joined May 18, 2019 Posts 60 Reaction score 111 Feb 3, 2025 #1 Naomba msaada wa maelekezo jinsi ya kuanzisha mchakato wa kuhama kituo Cha kazi na changamoto zake kwenye mchakato. Ahsante
Naomba msaada wa maelekezo jinsi ya kuanzisha mchakato wa kuhama kituo Cha kazi na changamoto zake kwenye mchakato. Ahsante
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,109 Reaction score 1,249,102 Feb 4, 2025 #2 Serikalini au? Serikalini wana mfumo wa kuhama