Uliza Nkujibu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 806
- 641
jamaa asepe 2 hamna ki2 hapo.
Kwanini??ni best yanguHuyo jamaa ni wewe
Mie hata sijaelewa hii habari kwakweli.Kwanza ondoa huo ukabila.
Kama ameshaambiwa anateswa sie tumshaurije, kama anaweza kuvumilia mateso ka Yesu basi na avumilie tuu, hawezi aachane nae afanye mambo mengine ya maendeleo
HUjaelewa wapi??Mie hata sijaelewa hii habari kwakweli.
Minato ya hatari ,maviumbe ya huko??Siwapendi wanawake fyuuu.
Sijui lini tutahamia sayar ya mars tukapate minato ya uhakika huko