Wadau,
Tumeshuhudia wengi wakijirusha maghorofani na kujiua kisa madeni.
Tumeshuhudia wengine wakijinyonga kisa madeni.
Wanaonusurika katika haya maswahibu basi hushtakiwa.
Bwana Lema anadeni kubwa Arusha la kuwaletea wananchi maendeleo tena wa jimbo lake, yawezekana madeni pia yamemzidi au family issues.
Amekuwa akitoa matamshi ya kutaka taka kufa mara kadhaa lakini mimi natafsiri anachokifanya ni intentional ili atengeneze documentary 'zingaombwe' ili immense kisiasa au afe kwa njaa na wananchi wasimdai maendeleo aliyoahidi.
Kwanini asishtakiwe kwa hii attempt?