Kugoma kula ni suicide mission, kwanini asishitakiwe?

Kugoma kula ni suicide mission, kwanini asishitakiwe?

spencer

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
3,599
Reaction score
3,226
Wadau,

Tumeshuhudia wengi wakijirusha maghorofani na kujiua kisa madeni.

Tumeshuhudia wengine wakijinyonga kisa madeni.

Wanaonusurika katika haya maswahibu basi hushtakiwa.

Bwana Lema anadeni kubwa Arusha la kuwaletea wananchi maendeleo tena wa jimbo lake, yawezekana madeni pia yamemzidi au family issues.

Amekuwa akitoa matamshi ya kutaka taka kufa mara kadhaa lakini mimi natafsiri anachokifanya ni intentional ili atengeneze documentary 'zingaombwe' ili immense kisiasa au afe kwa njaa na wananchi wasimdai maendeleo aliyoahidi.

Kwanini asishtakiwe kwa hii attempt?

Wana Jf wasalaam.


Baada ya Bwana Lema kukamatwa juzi na kuswekwa rumande kwa uchochezi amekuwa akigoma kula kwa kile anachodai hakuyendewa wakati anakamatwa.


Bwana Lema amesema atagoma kula hadi atakapoachiliwa huru jambo ambalo si hoja.


Kamanda wa polisi mkoani Arusha amesema kama ikithibitika Bwana Lema amegoma kula kwa sababu zisizo za msingi basi atafunguliwa shitaka la kujaribu kujiua ambalo ni kinyume na sheria.


Njia pekee ya Lema kukwepa mashitaka hayo ya kutaka kujiua ni kula.


Ni vyema chadema wakamshauri Lema kula chakula kwani kutokula kwake hakutofanya kuepuka mashitaka.. Ni wazi viongozi wa chadema wanaunga mkono kitendo cha Lema kugoma kula.


Karibuni wanajamvi.
 
Wadau.

Tumeshuhudia wengi wakijirusha maghorofan na kujiua kisa madeni

Tumeshuhudia wengine wakijinyonga kisa madeni

Wanaonusurika ktk haya maswahibu basi hushtakiwa

Bwana Lema anadeni kubwa Arusha la kuwaletea wananchi maendeleo tena wa jimbo lake, yawezekana Madeline pia yamemzidi au family issues.

Amekuwa akitoa matamshi ya.kutaka taka kufa mara kadhaa lakini mimi natafsir anachokifanya ni intentional ili atengeneze documentary 'zingaombwe' ili immense kisiasa au afe kwa njaa na wananchi wasimdai maendeleo aliyoahidi.

Kwa nn asishtakiwe kwa hii attempt?
Njia ziko nyingi za kudai haki mkuu
 
Wadau.

Tumeshuhudia wengi wakijirusha maghorofan na kujiua kisa madeni

Tumeshuhudia wengine wakijinyonga kisa madeni

Wanaonusurika ktk haya maswahibu basi hushtakiwa

Bwana Lema anadeni kubwa Arusha la kuwaletea wananchi maendeleo tena wa jimbo lake, yawezekana Madeline pia yamemzidi au family issues.

Amekuwa akitoa matamshi ya.kutaka taka kufa mara kadhaa lakini mimi natafsir anachokifanya ni intentional ili atengeneze documentary 'zingaombwe' ili immense kisiasa au afe kwa njaa na wananchi wasimdai maendeleo aliyoahidi.

Kwa nn asishtakiwe kwa hii attempt?
Hii yake ni slowmotion suicide na asile hadi tarehe moja september ili akalazwe adanganye alilazwa ndio maana hajashiriki maandamano,janja tu hyo maana familia yake itakuwa hospital AICC wana mhudumia nao hawatakuwepo pia zibaki familia zetu na sisi tu vipofu!
 
Wadau.

Tumeshuhudia wengi wakijirusha maghorofan na kujiua kisa madeni

Tumeshuhudia wengine wakijinyonga kisa madeni

Wanaonusurika ktk haya maswahibu basi hushtakiwa

Bwana Lema anadeni kubwa Arusha la kuwaletea wananchi maendeleo tena wa jimbo lake, yawezekana Madeline pia yamemzidi au family issues.

Amekuwa akitoa matamshi ya.kutaka taka kufa mara kadhaa lakini mimi natafsir anachokifanya ni intentional ili atengeneze documentary 'zingaombwe' ili immense kisiasa au afe kwa njaa na wananchi wasimdai maendeleo aliyoahidi.

Kwa nn asishtakiwe kwa hii attempt?
Selule in action
 
Kwani Yeye Kususa Wewe Inakuuma Nini?

Yaani huyu.jamaa utadhani ni msingidani.
Anayoyafanya yanatia shaka sana kisa kick.

Safari hakuna masheikh wataokaokwenda kumuomba ale
 
Wewe usiyoijua Arusha tuachie wenye Arusha, toa maoni yako binafsi usiwasemee watu wengine.
 
Ilimradi hajanyimwa chakula aachwe asile,yeye sio wakwanza kuwahi kutokea kufa kwa njaa
 
Wewe usiyoijua Arusha tuachie wenye Arusha, toa maoni yako binafsi usiwasemee watu wengine.
Wewe arusha yako?mbona unatoa maoni kwa ujumla?mnahangaika na siasa za kikanda tu hadi lini?badilikeni bhana!Siasa sio ugonvi ndio maana EL alikuwa kwa mkapa anakula pizza!Mbona tulimpigia lowasa na sisi hatupo arusha?
 
Can you justify his intent to die? Unadhani hana malengo mengine tofauti na hilo unalolisema?
Wadau,

Tumeshuhudia wengi wakijirusha maghorofani na kujiua kisa madeni.

Tumeshuhudia wengine wakijinyonga kisa madeni.

Wanaonusurika katika haya maswahibu basi hushtakiwa.

Bwana Lema anadeni kubwa Arusha la kuwaletea wananchi maendeleo tena wa jimbo lake, yawezekana madeni pia yamemzidi au family issues.

Amekuwa akitoa matamshi ya kutaka taka kufa mara kadhaa lakini mimi natafsiri anachokifanya ni intentional ili atengeneze documentary 'zingaombwe' ili immense kisiasa au afe kwa njaa na wananchi wasimdai maendeleo aliyoahidi.

Kwanini asishtakiwe kwa hii attempt?
 
Ilimradi hajanyimwa chakula aachwe asile,yeye sio wakwanza kuwahi kutokea kufa kwa njaa
Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa, yeye akifa hapo mahabusu atakuwa amekufa kwa njaa unayosema au atakuwa amekufa kwenye mikono ya watu wasiofuta katiba na sheria? Kufa na njaa kunatokana na kukosa chakula, hivyo ni tofauti na kufa kwa kugoma kula. Jiongeze ndugu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom