Kufutwa kwa POAC kuna siri nzito

Kufutwa kwa POAC kuna siri nzito

naamini kabisa kuwa POAC iliishinikiza serikali kumaliza mgogoro na wananchi wa mlongazila ili ujenzi uanze haraka ili kuepuka nchi kukosa mkopo huu.je serikali ilitekeleza maagizo ya POAC?
 
Sasa ndio muda muafaka wa ukombozi. Cdm go go.

Mimi nadhani hata viongozi wa CDM hawajaelewa motive behind ndiyo maana sikusikia wanaonglea kwa mtazamo wa hii thread. Nilichangia kwenye ile post ya malalamiko juu ya Bi Kiroboto kuthibitiwa ni kasema hayahaya yaliyo kwenye thread hii.

Mimi nilisema kama chadema hawatatusaidia kupiga kelele kule bungeni basi kuna mambo mengi sana ya kuharibu uchumi wa hii nchi yanaendakutokea. CCM sasa hivi ni kama simba aliyejeruhiwa wanatafuta ni namna gani watapata peas ya 2015 maana wanajua wazi hawataweza kupata kura bila kununua wapiga kura hasa vijijini!

Chadema lazima wajuwe kuwa namna nyingine ya kuishinda CCM kwa urahisi ni kuhakikisha hawana pesa inapofika 2015.Lakini kama chadema wakizubaa basi pesa itatumika kujaribu kurudi nadarakani.

Hawa jamaa pia ni hatari sana wanaweza kuhujumu hii nchi kama wakijua kuwa mambo yatakuwa magumu kurejea 2015 wakagawana hizo pesa wakasepa, tukaachiwa nchi isiyokuwa na kitu!

Kama chadema wana sehemu kwenye usalama wa taifa basi ni kipindi muhimu sana cha kufatilia mienendo na matendo ya ccm na serikali yake! Hata zile hoja binafisi za akina Mwigulu na Kingwa zote zinalenga hukohuko ila watu hawajashutuka kuwa hivi ni vichochoro vinavyoandaliwa kwa ajili ya kutoroshea pesa ya uchaguzi 2015! Chadema piteni kwa wananchi muwaeleze wanoe meno tayari kwa kula ile pesa wakati wa uchaguzi maana itakuwa nyingi sana lakini watarajie mateso makubwa ya kukosa kila huduma! Wawaambie watu kama CCM inataka kura zao basi itowe 1,000,0000 kwa kila mpiga kura!
 
Mmewabana kwenye bomba la gesi wamekosa pesa za kampeni 2015 sasa wahaha popote penye mwanya lazima wapige pesa vinginevyo CCM watashindwa kununua wapiga kura na wasimamizi wa uchaguzi mwaka 2015.
Kuna haya Mabenki yanayokuja nayo haya ni EPA nyingine
 
meningitis

Kwa habari za kainzi ni kwamba, fedha hizo ndiyo zinazo gharimia mikutano Dodoma na nyingine ni akiba kwa uchaguzi ujao. EPA nyingine hiyo. Si unajua muasisi wa EPA kaaondolewa kwenye kilimo cha viazi na karudishwa chamani!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa habari za kainzi ni kwamba, fedha hizo ndiyo zinazo gharimia mikutano Dodoma na nyingine ni akiba kwa uchaguzi ujao. EPA nyingine hiyo. Si unajua muasisi wa EPA kaaondolewa kwenye kilimo cha viazi na karudishwa chamani!!!!!

mkuu kuwa serious kidogo!unataka kusema mkopo umeshakuja?
 
images
images
images

Wakati CCM ikiwa kwenye sherehe huko Kigoma mambo kadhaa yalijitokeza, nayo ni kama ifuatavyo:
  • Bunge likiwa linaanza vikao vyake Dodoma ambalo hutanguliwa na vikao vya kamati za bunge, Mheshimiwa Zitto Kabwe, mbunge Kigoma Kaskazini alionekana akifanya mikutano huko jimboni kwake kigoma baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Chadema Dar es Salaam.
  • Moja ya kauli nzito aliyoitoa Zitto huko Kigoma ni kumkosoa waziwazi Rais Kikwete jambo ambalo halikuzoeleka Zitto kumnyoshea kidole moja kwa moja Kikwete.
  • Haijawahi kuwa kawaida ya Zitto Kabwe kuchelewa vipindi vya Bunge Dodoma, safari imetokea, na anajulikana kama mchangiaji mkubwa bungeni.
  • Bunge limehitimishwa kwa Speaker Anna Makinda kuzivunja Kamati mbili za POAC na ya Ulinzi.
Kuna kitu nyuma ya pazia kufanya mabadiliko hayo, zaidi sana mashirika ya umma ambayo yamekuwa shamba la bibi kipindi tunapoelekea Uchaguzi Mkuu, CCM na serikali yake kuamua kuhamishia usimamizi wake kwa upande uliodhaifu kuinyoshea kidole serikali ndio msingi wa njia nyepesi ya kumwengua Zitto kiulaini.

Je, kuna dalili kwamba Zitto alishazijua njama hizo?
 
And we are the losers as rasilimali zetu zinazidi kuliwa na hakutakuwa na wakuyakosoa haya mashirika....

Zitto ameisumbua sana serikali, imewachukua muda kupata mbinu ya kumtoa katika kamati hiyo, waliosuka mbinu hiyo hawakuangalia utaifa bali ulaji wa wakuu na wao kuambulia makombo ya mezani.
 
Tatizo viongozi wetu ni Miungu wasiotaka kuguswa, hata bunge wanaendesha kwa remoter toka magogoni,

Ni kweli tu. Hata wale waliopata kumgusa Mh. Zitto watakwabia hivyo. Kijana ni king'ang'anizi na hakubali compromise kwa urahisi.

Mimi nafikiri alidhani yeye ni kama immune ndani ya CCM kwa sababu hata Mwenyekiti wa CCM hakuweka kambi Kigoma wakati wa kampeni za last General Election and ghafla, maazimisho na shughuli mbali mbali za CCM ziko mlangoni kwake. Na ilibidi hata achelewe bungeni kwa sababu alikuwa anafunika mashimo yaliyoachwa na CCM, baada ya kurudi bungeni, akapata shock ya pili, alipoambiwa kamati yake ya POAC no longer exist.

Nafikiri hafahamu kama serikali bado haipendi makabrasha yake kuwa wazi na kwenye mitandao 24hrs kama Mh. Zitto alivyokuwa akifanya. Most of government documents ukiingia kwenye blog yake, unakutana nazo.

Ama kweli kwenye siasa hakuna adui wa milele. Sasa hivi ameamua kutafuta nguvu ndani ya chama na kwenye majukwaa ya chama kwa vile hata viongozi wengine bado wanamuhitaji sana. Now is a win win situation. Chama need Mh. Zitto anda at the moment, Mh.Zitto need chama.

Nani alitegemea kama Mh. Zitto atakuja kusema Dr. Slaa alishinda uchaguzi uliopita. Yetu macho.
 
Ni kweli tu. Hata wale waliopata kumgusa Mh. Zitto watakwabia hivyo. Kijana ni king'ang'anizi na hakubali compromise kwa urahisi.

Mimi nafikiri alidhani yeye ni kama immune ndani ya CCM kwa sababu hata Mwenyekiti wa CCM hakuweka kambi Kigoma wakati wa kampeni za last General Election and ghafla, maazimisho na shughuli mbali mbali za CCM ziko mlangoni kwake. Na ilibidi hata achelewe bungeni kwa sababu alikuwa anafunika mashimo yaliyoachwa na CCM, baada ya kurudi bungeni, akapata shock ya pili, alipoambiwa kamati yake ya POAC no longer exist.

Nafikiri hafahamu kama serikali bado haipendi makabrasha yake kuwa wazi na kwenye mitandao 24hrs kama Mh. Zitto alivyokuwa akifanya. Most of government documents ukiingia kwenye blog yake, unakutana nazo.

Ama kweli kwenye siasa hakuna adui wa milele. Sasa hivi ameamua kutafuta nguvu ndani ya chama na kwenye majukwaa ya chama kwa vile hata viongozi wengine bado wanamuhitaji sana. Now is a win win situation. Chama need Mh. Zitto anda at the moment, Mh.Zitto need chama.

Nani alitegemea kama Mh. Zitto atakuja kusema Dr. Slaa alishinda uchaguzi uliopita. Yetu macho.

Unajua ule ujanja ujanja kuna siku unashtukia mguu umetelezea shimoni kama ndege mjanja anavyonaswa kwenye tundu bovu. Zitto inawezekana matukio haya yanaweza kumkomaza aonekana kama mtu mzima mwenye kujituma katika mambo makubwa ya kichama kama wenzake. Kwani alionekana kuegemea hoja ya kuikosoa serikali kwa kuibua madhifu kwenye mashirika ya umma, lakini wenzake wamemshtukia.

Alimwambia Anna Makinda hamwezi kwani yeye atatumia ujanja wa chuoni, lakini mwezake amepata darasa kwa Ze-komedi na amefanikiwa kumpiga ngwara Zitto, chezea Makinda weye!

Nimeelewa sasa kama unavyoainisha Chadema ya mhitaji Zitto ndio maana matatizo ya masalia yeye pekee hakuguswa na fagio, lakini sasa Zuberi Mwenye sasa anaonyesha dalili ya kuhitaji chama baada ya kiwingu kilichomhifadhi kuenguliwa kiaina kwa mtindo wa mchezo wa sarakasi za siasa.
 
Pole sana kaka
POAC-Parastatal Organizations Accounts Committee-Mashirika ya umma
PAC-Public accounts Committee-Serikali kuu n a idara zake
Njoo usome Government accounting utaelewa sana mambo ya bunge mzee
Kuna watu wanatuuliza wanasema POAC za Zittio iliyovunjwa ni Gari au Nyumba?
Mkuu ili kujua hivyo vitu ni lazima uwe umesoma Government accounting?you are trying to tarnish the good image of your professional!
 
Outta control this Gov is......
Kuiba wataiba lakini sasa ni vizuri njia zao zijulikane mapema na kutafuta njia za kuwadhibiti. Kulia haitoshi, sio?
 
Zitto ameisumbua sana serikali, imewachukua muda kupata mbinu ya kumtoa katika kamati hiyo, waliosuka mbinu hiyo hawakuangalia utaifa bali ulaji wa wakuu na wao kuambulia makombo ya mezani.
Hata Zitto anapiga kelele sasa hivi baada ya kukosa ulaji,tuone sasa kama ataendelea kuimba wimbo wa kususia posho.
 
ZK aende tu akaimbie Kigoma all stars, mbona hamhoji kwanini ZK kaonekana kwenye maamdamano ya Chadema kwa mara ya kwanza?
 
Back
Top Bottom