Kufungwa maduka ya kubadilisha fedha madhara yaanza kuonekana

emalau

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
2,775
3,100
Leo nikiwa viunga vya mji wa Arusha kuna wageni wawili kutoka nje ya nchi walikuja na pesa zao za kigeni wakitaka kupata huduma, wakaambiwa kwamba maduka yote yamefungwa kwa amri ya serikali. Walishangaa sana wakatuuliza nyie watanzania mbona mnafail kila kitu?

Mmoja akasema mfukoni mwake ana pesa ya kitanzania isiyozidi 3,000/= elfu tatu tu! nilimwona amefadhaika sana akajiuliza atalala wapi na atakula nini.

Baada ya tafakuri ya muda mrefu nikaanza kukumbuka biashara ya magendo ya dola itaibuka muda si mrefu. As long as there is demand there will always be supply.

Wanalazimisha biashara ya ulanguzi wa pesa ya kigeni. Kuongoza ni maarifa we could have taken an alternative approach to avert the status quo.
 
Wasomi wa tanzania ni ujuha mtupu.Prof mzima anatoa press like a local village based soldier.Kuitwa proff Tz ni aibu tupu!!!Eti tumetumia jeshi kufanya operation hvi haya ndio majukumu ya jeshi kuintervene shughur halali za kiraia?Kwamba saiz sheria tumeziweka kapuni?Nchi ya kidemokrasia imegeuka military state?Kwamba gavana wa Bank kuu ana mamlaka ya kuamrisha jeshi kuintervene shughur halali za kiraia?
Jiwe Jiwe jiwe.....where are we heading as a nation?
 
Leo nikiwa viunga vya mji wa Arusha kuna wageni wawili kutoka nje ya nchi walikuja na pesa zao za kigeni wakitaka kupata huduma, wakaambiwa kwamba maduka yote yamefungwa kwa amri ya serikali. Walishangaa sana wakatuuliza nyie watanzania mbona mnafail kila kitu? mmoja akasema mfukoni mwake ana pesa ya kitanzania isiyozidi 3,000/= elfu tatu tu! nilimwona amefadhaika sana akajiuliza atalala wapi na atakula nini.

Baada ya tafakuri ya muda mrefu nikaanza kukumbuka biashara ya magendo ya dola itaibuka muda si mrefu. As long as there is demand there will always be supply. Wanalazimisha biashara ya ulanguzi wa pesa ya kigeni. Kuongoza ni maarifa we could have taken an alternative approach to avert the status quo.
Matumizi ya mabavu kwa wasukuma ni jambo la kawaida japo jamaa sio msukuma halisi. Tulimuona bashite akitumia jeshi kuvamia clouds, jeshi limetumika ku kolo show, jeshi limetumika kutafuta dola mitaani, nimemsikia jamaa akisema antamani taifa stars wawe wanajeshi nk.Naona uhaba mkubwa wa busara katika uongozi
 
Wasomi wa tanzania ni ujuha mtupu.Prof mzima anatoa press like a local village based soldier.Kuitwa proff Tz ni aibu tupu!!!Eti tumetumia jeshi kufanya operation hvi haya ndio majukumu ya jeshi kuintervene shughur halali za kiraia?Kwamba saiz sheria tumeziweka kapuni?Nchi ya kidemokrasia imegeuka military state?Kwamba gavana wa Bank kuu ana mamlaka ya kuamrisha jeshi kuintervene shughur halali za kiraia?
Jiwe Jiwe jiwe.....where are we heading as a nation?


We are headed to Zimbabwe to the mother of all economic crashes! Waliyoyapitia Zimbabwe kwenyewe itakua chamtoto!!!
 
Hebu%20jaribu%20kueleza%20ujumbe%20una%C3%B2jitokeza%20kwenye%20mchoro%20huu%20wa%20katuni%20...jpeg
 
Utafanya nini ndugu yangu ikiwa Bank inafilisika hata ukiwa na 200ml wanakukadiria yakuchukua
Sisi wenye akaunti za dola kwenye mabenki wakitugusa tu , moto utawaka , sitakubali kusumbuliwa kwa hela yangu mwenyewe , nilishakataa kutunza madafu , maana kila siku yanapukutika thamani
 
Honestly, Utalii Arusha Uko ICU... Sisi Waongoza Watalii itakula kwetu tena Low Season ipo karibuni daaah!
TANZANIA YANGU!
Jamaa alisema mlio endelea mwanzo itabidi msubiri awainue walio chelewa.
Hapo ndionana wasubirisha.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Sisi wenye akaunti za dola kwenye mabenki wakitugusa tu , moto utawaka , sitakubali kusumbuliwa kwa hela yangu mwenyewe , nilishakataa kutunza madafu , maana kila siku yanapukutika thamani
Akaunti ya Dola utaishia kuisikia kwa Mbowe tu kamanda. Wewe endelea kutunza hizo elfu hamsini kwenye Tigopesa.
 
Back
Top Bottom