Kigger
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 870
- 814
wadau wa jf habari nina transmitter ya fm radio wat 500 ila nahitaji kufungua radio station ya umbali kias tu,angalau ifikie ata mitaa 5 pekee ila sifahamu kama tcra watakubali maana ela ya kulipia trca sina wala gharama za serikali pia sina ela wadau naomba mnishauri nifanye vp ili niweze fungua radio ? na pia ni umbali upi trca wanaukubali ambao sitaulipia na radio ni kwaajili ya mziki tu msaada wadau kwenye ili