mariam1111
New Member
- Nov 24, 2023
- 3
- 1
Habari nianzie wapi nimeibiwa simu ndogo kwenye mwendokasi sasa nikaenda kurenue line imenigomea naambiwa namba ya NIDA imezuiliwa wakajaribu kusajili line mpya imegoma pia Naomba uzoefu shida ni nini
Hiyo simu ilivyoibiwa ulifunga line? Kama haukuifunga wazee wa “tuma kwenye hii namba” na wanaofanana na hao waliitumia kupiga matukio.