comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,014
- 6,834
Shida ni hawa kuukosa ubunge Mbowe, Msigwa, Lema, Heche nk ikiwa afadhali tukose wote.HABARI YA MBOWE KUMTAFUTIA KAZI MBADALA MDEE NI #KUWEWESEKA
Mmmh! Hizi #hekaya hizi hazina sababu, kwamba Halima amekataa kazi ya mshahara wa 15,000USD aliyotafutiwa na Mbowe kwasababu ya mshahara wa 5,000USD bungeni kweli but also inazua Maswali mengi Sana;
1. Kwanini Mh. Mwenyekiti ahangaike kutafuta kazi "Kubwa" Kwa ajili ya "Msaliti wa chama" ili aachie ubunge?
2. Mwenyekiti alikuwa na maslahi gani na Mdee pekee ilhali Wabunge wateule wapo 19?
3. Mwenyekiti alikuwa na sababu gani za kumbembeleza Mdee Kwa #kumuhonga kazi ilhali alikuwa ameshafukuzwa chama?
4. Hekaya hii ya mwenyekiti inayoendelea kusambazwa mitandaoni na wapambe wake inalenga kuarchieve nini hasa katika hatua hii?
5. Mwenyekiti anaamini kilichomuweka bungeni Mdee ni shida ya Kipato/ kazi?
6. Why Mdee, Mdee, Mdee ?
Mie nadhani ukweli ni kwamba Mwenyekiti anaweweseka na kujaribu kuonesha huzuni yake kutokana na kuondoshwa Kwa wanawake hao mahiri kutokana na ushabiki wa makundi ya ndani na nje ya chama kuushinda uhalisia mbowe anajua mchezo aloufanya kwa MDEE na wenzake ila anajaribu kuwapa matumaini ili nao wasimuanike hadharani kwa hiyo anacheza na akili za wajumbe kwa umakini huku akisubiria joto lipungue awarudishe kundini
Kimsingi si kazi rahisi na ni gharama kubwa ya Hali na Mali kugroom watu wa Kariba ya Mdee, Bulaya, Matiko etc. Mh. Mbowe akikumbuka safari hiyo inamuumiza kwasababu anaiona hasara yake kuliko washabiki wa mitandaoni.
Hii ni #bid_loss Kwa siasa za upinzani
mwanahapa
Maana kwa maoni yao CCM huiba kura miaka yote; Tume ya uchaguzi siyo huru; Polisi ni polisiccm, MaDED wote ni makada miaka yote; sasa kilichobadirika 2020 ni nini mpaka waumie hivyo?1Jibu li wazi wao kukosa ubunge; wao kukosa ajira; wao kukosa kipato; wao kukosa kinga ya kutukana watu watakavyo; wao kukosa fursa ya kuwatisha watu na kulipwa hongo wakiwa wenyeviti wa kamati muhimu za bunge