Kufukuzwa kwa akina Mdee ni dili

Kufukuzwa kwa akina Mdee ni dili

HABARI YA MBOWE KUMTAFUTIA KAZI MBADALA MDEE NI #KUWEWESEKA

Mmmh! Hizi #hekaya hizi hazina sababu, kwamba Halima amekataa kazi ya mshahara wa 15,000USD aliyotafutiwa na Mbowe kwasababu ya mshahara wa 5,000USD bungeni kweli but also inazua Maswali mengi Sana;

1. Kwanini Mh. Mwenyekiti ahangaike kutafuta kazi "Kubwa" Kwa ajili ya "Msaliti wa chama" ili aachie ubunge?

2. Mwenyekiti alikuwa na maslahi gani na Mdee pekee ilhali Wabunge wateule wapo 19?

3. Mwenyekiti alikuwa na sababu gani za kumbembeleza Mdee Kwa #kumuhonga kazi ilhali alikuwa ameshafukuzwa chama?

4. Hekaya hii ya mwenyekiti inayoendelea kusambazwa mitandaoni na wapambe wake inalenga kuarchieve nini hasa katika hatua hii?

5. Mwenyekiti anaamini kilichomuweka bungeni Mdee ni shida ya Kipato/ kazi?

6. Why Mdee, Mdee, Mdee ?

Mie nadhani ukweli ni kwamba Mwenyekiti anaweweseka na kujaribu kuonesha huzuni yake kutokana na kuondoshwa Kwa wanawake hao mahiri kutokana na ushabiki wa makundi ya ndani na nje ya chama kuushinda uhalisia mbowe anajua mchezo aloufanya kwa MDEE na wenzake ila anajaribu kuwapa matumaini ili nao wasimuanike hadharani kwa hiyo anacheza na akili za wajumbe kwa umakini huku akisubiria joto lipungue awarudishe kundini

Kimsingi si kazi rahisi na ni gharama kubwa ya Hali na Mali kugroom watu wa Kariba ya Mdee, Bulaya, Matiko etc. Mh. Mbowe akikumbuka safari hiyo inamuumiza kwasababu anaiona hasara yake kuliko washabiki wa mitandaoni.

Hii ni #bid_loss Kwa siasa za upinzani

mwanahapa
Shida ni hawa kuukosa ubunge Mbowe, Msigwa, Lema, Heche nk ikiwa afadhali tukose wote.
Maana kwa maoni yao CCM huiba kura miaka yote; Tume ya uchaguzi siyo huru; Polisi ni polisiccm, MaDED wote ni makada miaka yote; sasa kilichobadirika 2020 ni nini mpaka waumie hivyo?1Jibu li wazi wao kukosa ubunge; wao kukosa ajira; wao kukosa kipato; wao kukosa kinga ya kutukana watu watakavyo; wao kukosa fursa ya kuwatisha watu na kulipwa hongo wakiwa wenyeviti wa kamati muhimu za bunge
 
HABARI YA MBOWE KUMTAFUTIA KAZI MBADALA MDEE NI #KUWEWESEKA

Mmmh! Hizi #hekaya hizi hazina sababu, kwamba Halima amekataa kazi ya mshahara wa 15,000USD aliyotafutiwa na Mbowe kwasababu ya mshahara wa 5,000USD bungeni kweli but also inazua Maswali mengi Sana;

1. Kwanini Mh. Mwenyekiti ahangaike kutafuta kazi "Kubwa" Kwa ajili ya "Msaliti wa chama" ili aachie ubunge?

2. Mwenyekiti alikuwa na maslahi gani na Mdee pekee ilhali Wabunge wateule wapo 19?

3. Mwenyekiti alikuwa na sababu gani za kumbembeleza Mdee Kwa #kumuhonga kazi ilhali alikuwa ameshafukuzwa chama?

4. Hekaya hii ya mwenyekiti inayoendelea kusambazwa mitandaoni na wapambe wake inalenga kuarchieve nini hasa katika hatua hii?

5. Mwenyekiti anaamini kilichomuweka bungeni Mdee ni shida ya Kipato/ kazi?

6. Why Mdee, Mdee, Mdee ?

Mie nadhani ukweli ni kwamba Mwenyekiti anaweweseka na kujaribu kuonesha huzuni yake kutokana na kuondoshwa Kwa wanawake hao mahiri kutokana na ushabiki wa makundi ya ndani na nje ya chama kuushinda uhalisia mbowe anajua mchezo aloufanya kwa MDEE na wenzake ila anajaribu kuwapa matumaini ili nao wasimuanike hadharani kwa hiyo anacheza na akili za wajumbe kwa umakini huku akisubiria joto lipungue awarudishe kundini

Kimsingi si kazi rahisi na ni gharama kubwa ya Hali na Mali kugroom watu wa Kariba ya Mdee, Bulaya, Matiko etc. Mh. Mbowe akikumbuka safari hiyo inamuumiza kwasababu anaiona hasara yake kuliko washabiki wa mitandaoni.

Hii ni #bid_loss Kwa siasa za upinzani

mwanahapa
Stupid
 
HABARI YA MBOWE KUMTAFUTIA KAZI MBADALA MDEE NI #KUWEWESEKA

Mmmh! Hizi #hekaya hizi hazina sababu, kwamba Halima amekataa kazi ya mshahara wa 15,000USD aliyotafutiwa na Mbowe kwasababu ya mshahara wa 5,000USD bungeni kweli but also inazua Maswali mengi Sana;

1. Kwanini Mh. Mwenyekiti ahangaike kutafuta kazi "Kubwa" Kwa ajili ya "Msaliti wa chama" ili aachie ubunge?

2. Mwenyekiti alikuwa na maslahi gani na Mdee pekee ilhali Wabunge wateule wapo 19?

3. Mwenyekiti alikuwa na sababu gani za kumbembeleza Mdee Kwa #kumuhonga kazi ilhali alikuwa ameshafukuzwa chama?

4. Hekaya hii ya mwenyekiti inayoendelea kusambazwa mitandaoni na wapambe wake inalenga kuarchieve nini hasa katika hatua hii?

5. Mwenyekiti anaamini kilichomuweka bungeni Mdee ni shida ya Kipato/ kazi?

6. Why Mdee, Mdee, Mdee ?

Mie nadhani ukweli ni kwamba Mwenyekiti anaweweseka na kujaribu kuonesha huzuni yake kutokana na kuondoshwa Kwa wanawake hao mahiri kutokana na ushabiki wa makundi ya ndani na nje ya chama kuushinda uhalisia mbowe anajua mchezo aloufanya kwa MDEE na wenzake ila anajaribu kuwapa matumaini ili nao wasimuanike hadharani kwa hiyo anacheza na akili za wajumbe kwa umakini huku akisubiria joto lipungue awarudishe kundini

Kimsingi si kazi rahisi na ni gharama kubwa ya Hali na Mali kugroom watu wa Kariba ya Mdee, Bulaya, Matiko etc. Mh. Mbowe akikumbuka safari hiyo inamuumiza kwasababu anaiona hasara yake kuliko washabiki wa mitandaoni.

Hii ni #bid_loss Kwa siasa za upinzani

mwanahapa
Mambo ya kifamilia hayo ndio maana analia bulaya kumuharibu Halima!
 
Kuna mambo ya siri ya Chadema ambayo Halima Mdee anayafahamu akiyatoa Mwenyekiti Mbowe anaweza kuyumba! Ndio maana kulikuwa na hizo jitihada za kumtafutia kazi huko nje ya nchi!
Hii uongo kuna mambo ya chama ambayo hata Lissu Tu hajui sembuse Mdee!!..Nakurudisha Kwa Slaa aliwahi kuwa Mbunge na Chama kikamkataza asiendelee alipwe mshahara wa Ubunge na malupulupu yote,akawa Katibu mkuu,Akapewa nafasi ya kugombea Uraisi!!..Na bado hakuwahi na haijui Chadema!!
 
HABARI YA MBOWE KUMTAFUTIA KAZI MBADALA MDEE NI #KUWEWESEKA

Mmmh! Hizi #hekaya hizi hazina sababu, kwamba Halima amekataa kazi ya mshahara wa 15,000USD aliyotafutiwa na Mbowe kwasababu ya mshahara wa 5,000USD bungeni kweli but also inazua Maswali mengi Sana;

1. Kwanini Mh. Mwenyekiti ahangaike kutafuta kazi "Kubwa" Kwa ajili ya "Msaliti wa chama" ili aachie ubunge?

2. Mwenyekiti alikuwa na maslahi gani na Mdee pekee ilhali Wabunge wateule wapo 19?

3. Mwenyekiti alikuwa na sababu gani za kumbembeleza Mdee Kwa #kumuhonga kazi ilhali alikuwa ameshafukuzwa chama?

4. Hekaya hii ya mwenyekiti inayoendelea kusambazwa mitandaoni na wapambe wake inalenga kuarchieve nini hasa katika hatua hii?

5. Mwenyekiti anaamini kilichomuweka bungeni Mdee ni shida ya Kipato/ kazi?

6. Why Mdee, Mdee, Mdee ?

Mie nadhani ukweli ni kwamba Mwenyekiti anaweweseka na kujaribu kuonesha huzuni yake kutokana na kuondoshwa Kwa wanawake hao mahiri kutokana na ushabiki wa makundi ya ndani na nje ya chama kuushinda uhalisia mbowe anajua mchezo aloufanya kwa MDEE na wenzake ila anajaribu kuwapa matumaini ili nao wasimuanike hadharani kwa hiyo anacheza na akili za wajumbe kwa umakini huku akisubiria joto lipungue awarudishe kundini

Kimsingi si kazi rahisi na ni gharama kubwa ya Hali na Mali kugroom watu wa Kariba ya Mdee, Bulaya, Matiko etc. Mh. Mbowe akikumbuka safari hiyo inamuumiza kwasababu anaiona hasara yake kuliko washabiki wa mitandaoni.

Hii ni #bid_loss Kwa siasa za upinzani

mwanahapa
Pole sana mkuu. Msioipenda CHADEMA na vyama vya upinzani kwa ujumla, mmeumia sana kufukuzwa hawa Covid 19. Uwezo wako ni mdogo kuweza kuelewa kwa nini ali deal na Mdee pekee au zaidi kuliko hao wengine. Kama hujaweza kuelewa, hata ukielezwa hutaweza kuelewa kwa sababu uwezo wako ni mdogo.

Endelea kuumia...........
 
Kuna mambo ya siri ya Chadema ambayo Halima Mdee anayafahamu akiyatoa Mwenyekiti Mbowe anaweza kuyumba! Ndio maana kulikuwa na hizo jitihada za kumtafutia kazi huko nje ya nchi!
Mambo ya siri ya CCM yakitoka nchi itabunda
 
Why Mdee? Hata Mimi sijui vya ndani. Ila huyo Halima Mdee ndo flagship ya hao 19. Je, ukimuondoa yeye, hao 18 wangeweza kusimama na kufanya kilichofanyika?
So, mwenyekiti alitummia akili za kawaida kabisa.... ukitaka kuondoa mchwa kwa kichuguu, piga malkia
Akili kama hii huyu NTIGAHELA ameshindwa kuelewa. Anapoteza muda kuandika maelezo yenye upeo mdogo kabisa. Haelewi kwa nini Mdee na wala siyo wote 19. Akili ndogo ni shida sana kuielewesha.

Cc NTIGAHELA
 
HABARI YA MBOWE KUMTAFUTIA KAZI MBADALA MDEE NI #KUWEWESEKA

Mmmh! Hizi #hekaya hizi hazina sababu, kwamba Halima amekataa kazi ya mshahara wa 15,000USD aliyotafutiwa na Mbowe kwasababu ya mshahara wa 5,000USD bungeni kweli but also inazua Maswali mengi Sana;

1. Kwanini Mh. Mwenyekiti ahangaike kutafuta kazi "Kubwa" Kwa ajili ya "Msaliti wa chama" ili aachie ubunge?

2. Mwenyekiti alikuwa na maslahi gani na Mdee pekee ilhali Wabunge wateule wapo 19?

3. Mwenyekiti alikuwa na sababu gani za kumbembeleza Mdee Kwa #kumuhonga kazi ilhali alikuwa ameshafukuzwa chama?

4. Hekaya hii ya mwenyekiti inayoendelea kusambazwa mitandaoni na wapambe wake inalenga kuarchieve nini hasa katika hatua hii?

5. Mwenyekiti anaamini kilichomuweka bungeni Mdee ni shida ya Kipato/ kazi?

6. Why Mdee, Mdee, Mdee ?

Mie nadhani ukweli ni kwamba Mwenyekiti anaweweseka na kujaribu kuonesha huzuni yake kutokana na kuondoshwa Kwa wanawake hao mahiri kutokana na ushabiki wa makundi ya ndani na nje ya chama kuushinda uhalisia mbowe anajua mchezo aloufanya kwa MDEE na wenzake ila anajaribu kuwapa matumaini ili nao wasimuanike hadharani kwa hiyo anacheza na akili za wajumbe kwa umakini huku akisubiria joto lipungue awarudishe kundini

Kimsingi si kazi rahisi na ni gharama kubwa ya Hali na Mali kugroom watu wa Kariba ya Mdee, Bulaya, Matiko etc. Mh. Mbowe akikumbuka safari hiyo inamuumiza kwasababu anaiona hasara yake kuliko washabiki wa mitandaoni.

Hii ni #bid_loss Kwa siasa za upinzani

mwanahapa
Kumbuka mzee wa konyagi ni mmachame. Kila kitu kwake ni deal
 
Kuna mambo ya siri ya Chadema ambayo Halima Mdee anayafahamu akiyatoa Mwenyekiti Mbowe anaweza kuyumba! Ndio maana kulikuwa na hizo jitihada za kumtafutia kazi huko nje ya nchi!
Poleni sana. Ushauri wa Zitto Kabwe bado una nafasi.
 
HABARI YA MBOWE KUMTAFUTIA KAZI MBADALA MDEE NI #KUWEWESEKA

Mmmh! Hizi #hekaya hizi hazina sababu, kwamba Halima amekataa kazi ya mshahara wa 15,000USD aliyotafutiwa na Mbowe kwasababu ya mshahara wa 5,000USD bungeni kweli but also inazua Maswali mengi Sana;

1. Kwanini Mh. Mwenyekiti ahangaike kutafuta kazi "Kubwa" Kwa ajili ya "Msaliti wa chama" ili aachie ubunge?

2. Mwenyekiti alikuwa na maslahi gani na Mdee pekee ilhali Wabunge wateule wapo 19?

3. Mwenyekiti alikuwa na sababu gani za kumbembeleza Mdee Kwa #kumuhonga kazi ilhali alikuwa ameshafukuzwa chama?

4. Hekaya hii ya mwenyekiti inayoendelea kusambazwa mitandaoni na wapambe wake inalenga kuarchieve nini hasa katika hatua hii?

5. Mwenyekiti anaamini kilichomuweka bungeni Mdee ni shida ya Kipato/ kazi?

6. Why Mdee, Mdee, Mdee ?

Mie nadhani ukweli ni kwamba Mwenyekiti anaweweseka na kujaribu kuonesha huzuni yake kutokana na kuondoshwa Kwa wanawake hao mahiri kutokana na ushabiki wa makundi ya ndani na nje ya chama kuushinda uhalisia mbowe anajua mchezo aloufanya kwa MDEE na wenzake ila anajaribu kuwapa matumaini ili nao wasimuanike hadharani kwa hiyo anacheza na akili za wajumbe kwa umakini huku akisubiria joto lipungue awarudishe kundini

Kimsingi si kazi rahisi na ni gharama kubwa ya Hali na Mali kugroom watu wa Kariba ya Mdee, Bulaya, Matiko etc. Mh. Mbowe akikumbuka safari hiyo inamuumiza kwasababu anaiona hasara yake kuliko washabiki wa mitandaoni.

Hii ni #bid_loss Kwa siasa za upinzani

mwanahapa
Asee we bado sana kuelewa siasa! Jifunze kwanza
 
Wanaosema hao akina mdee wangesamehewa hao hao ingetokea hivyo wangeanza kuinanga cdm kwamba wameshindwa kuwafukuza simply mchakato uliowaingiza bungeni ulikuwa na mkono wa Mbowe so acheni uamuzi uliofanywa na baraza ni wa kupongezwa sana na ulikuwa wa kidemokrasia sana na lazima watu wenye mapenzi mema na chadema lazima wauheshimu.Hao akina Mdee wamechagua fungu walilolipenda waache tuwaone kama wataendelea kuwa maarufu hata wakiwa nje ya chadema.Hapo cdm wengi wamepita na walijimwambafy kwamba ni maarufu kulko taasisi wako wapi nowdays?
Uko sahihi kabisa. Walichokitegemea hakijawa. Kama CHADEMA ingewaacha hawa wasaliti (Covid 19), ndiyo lingekua rungu la kuwapondea kisiasa. Sasa hawa waliosubiri hiyo hali, wanaumia kwa CHADEMA kuruka kiunzi hiki.

Cc NTIGAHELA
MZALAMO
 
Back
Top Bottom