Kufukua makaburi ya Gwajima hakutawasaidia

Kufukua makaburi ya Gwajima hakutawasaidia

Gwajima hana deni watanzania hatumdai . amefanya Kazi yake vizuri Sana .

Ile kuuma na kupuliza ni lugha ya kifalsafa ambayo MTU huitumia ili ajihakikishe usalama wake kuwa secured.

Na hii ndo silaha kubwa ya watu wenye utambuzi wa mambo .

Ikiwa watafukua kaburi je watakutana na nini ndani ya kaburi ahaaa!!
 
Jaribu kumjibu kwa hoja ili tupime nani ni anababaisha kati ya Gwajima na sisiemu.

Jengeni hoja .
nimemueleza kinagaubaga kwenye koment yangu ya msingi gentleman,

hata hivyo,
mwenyekiti mstaafu wa Chadema Taifa aliwahi kuitisha press conference akaeleza mara 100 zaid ya alichoongea mropokaji, mpotoshaji na muongo gwajima,

but kwasabb wengi wenu mko twisted sharply na narratives za hovyo hovyo na wepesi sana kusahau, eti gwajima anaonekana kaongea kitu kipyaaaa zaid ya alichowahi kuzungumza Mbowe.

that's is nonsense 🐒
 
nimemueleza kinagaubaga kwenye koment yangu ya msingi gentleman,

hata hivyo,
mwenyekiti mstaafu wa Chadema Taifa aliwahi kuitisha press conference akaeleza mara 100 zaid ya alichoongea mropokaji, mpotoshaji na muongo gwajima,

but kwasabb wengi wenu mko twisted sharply na narratives za hovyo hovyo na wepesi sana kusahau, eti gwajima anaonekana kaongea kitu kipyaaaa zaid ya alichowahi kuzungumza Mbowe.

that's is nonsense 🐒


Jenga hoja ueleweke Kama msomi sio unababaisha au tukufundishe kujenga hoja .

Mfano wa hoja za Gwajima zimekaa hivi.

Polisi na Vyombo vya ulinzi vingine wapewe mshahara ambao unatosholeza mahitaji yaoa ili wasiingie tamaa za kutimika kuteka kuua na kuumiza .

Huo ndo mfano wa hoja sasa endapo utamjibu

Unaweza kusema hivi Polisi na Vyombo vingine Vya usalama viajiri wasomi badala ya kuajiri watu waliofeli wenye uwezo duni wa kufikiri na kufanya maamuzi na sio kuwaongezea mshahara pekee ila iwepo mchujo wa kuangalia ni aina gani ya watu tunawajiri kuingia katika vyombo vya ulinzi.


Ila. hauwezi kumjibu Gwajima kwa kumuita Mpumbavu hiyo sio hoja kwa style hii mtaendelea kuonekana hamna upeo mzuri wa kufikiri
 
Chadema lindeni midomo yenu, nyie nyie ndo mlisema kila aliyeepo ccm hafai Afu tena leo hii mnamsifia Gwaji boy kisa ameongea mnachokipenda kama vile samia kwenye kipindi cha kwanza cha uongozi wake mlimsifia sana ila sasa hv nadhani mnauona moto 😂
 
Gwajima ni mwana mume lazima apige mashine na ikiwezekana arekodiwe video nyingine waturushie tuige maujuzi
FB_IMG_1748143413489.jpg
 
Kuna option mbili tuu
1. Kukaa kimya na kuufanyia kazi ushauri wake
2. Kumjibu kwa hoja na si vioja

Mafutataa yamemwagwa kwenye shimo la nyoka.. Mila moja inatoka na style yake...!

Press conference yake ya jana tarehe 24/05 iliyoenda viral Sana imeshaanza kupata feedback toka kwa watetezi
Sasa hadhira inategemea ipate majibu ya hoja zaje yenye mantiki...lakini cha ajabu wajibu hoja wamejificha uvunguni na vichochoroni na kuanza kufukua madudu ya mleta hoja ya zamani

Hii ni dalili ya uoga na kushindwa kwa mapema kabisa! Ni vema wakajitokeza hadharani kama alivyofanya yeye na kumjibu kwa hoja
Vijembe, kebehi, matusi, kashfa na kufukua makaburi yake ya zamani havitaondo ukweli na uhalisia wa yale yote aliyoyasema
Si vizuri kuanza kupaniki mapema kiasi hiki hata masaa 24 hayajapita
Kwasasa hadhira inasimama naye mpaka hapo itakapokuwa vinginevyo.. Wajibu hoja waje kamili ili kuepesha kuaibika zaidi na kupoteza kabisa hata ile imani kiduchu iliyopo
Na hakuna haraka ya majibu muda bado upo! Sasa waliokwisha kujibu kama walitumwa kuja kusafisha njia ndio kwanza wamezidi kuichafuaView attachment 3344857
NIPO NA GWAJIMA NA LEO NIPO HAPA CHURCH NASUBIRIA UPAKO WA KUTULIZA NYOYO ZA WATANGANYIKA.
 
Chadema lindeni midomo yenu, nyie nyie ndo mlisema kila aliyeepo ccm hafai Afu tena leo hii mnamsifia Gwaji boy kisa ameongea mnachokipenda kama vile samia kwenye kipindi cha kwanza cha uongozi wake mlimsifia sana ila sasa hv nadhani mnauona moto 😂
Gwajima kabla ya kuongea alisema haongei kama MwanaCCM, Mchungaji au Mbunge wa Kawe bali anaongea kama raia wa kawaida wa Tanzania.

Alijivua vyeo vyake vyote kwa muda ili aongee ukweli maana alijua angeongea kama Mbunge wa CCM au mwanachama wa CCM angeshughulikiwa sababu CCM hampendi kuambiwa ukweli.
 
Gwajima kabla ya kuongea alisema haongei kama MwanaCCM, Mchungaji au Mbunge wa Kawe bali anaongea kama raia wa kawaida wa Tanzania.

Alijivua vyeo vyake vyote kwa muda ili aongee ukweli maana alijua angeongea kama Mbunge wa CCM au mwanachama wa CCM angeshughulikiwa sababu CCM hampendi kuambiwa ukweli.
Kwahy kwakuwa ameongea kama mwananchi hawezi kushughulikiwa na ccm?

Kwahy samia nae aongee kama mwananchi na sio rais?

Bc na ww mwananchi andaa press na uongee.
 
Jenga hoja ueleweke Kama msomi sio unababaisha au tukufundishe kujenga hoja .

Mfano wa hoja za Gwajima zimekaa hivi.

Polisi na Vyombo vya ulinzi vingine wapewe mshahara ambao unatosholeza mahitaji yaoa ili wasiingie tamaa za kutimika kuteka kuua na kuumiza .

Huo ndo mfano wa hoja sasa endapo utamjibu

Unaweza kusema hivi Polisi na Vyombo vingine Vya usalama viajiri wasomi badala ya kuajiri watu waliofeli wenye uwezo duni wa kufikiri na kufanya maamuzi na sio kuwaongezea mshahara pekee ila iwepo mchujo wa kuangalia ni aina gani ya watu tunawajiri kuingia katika vyombo vya ulinzi.


Ila. hauwezi kumjibu Gwajima kwa kumuita Mpumbavu hiyo sio hoja kwa style hii mtaendelea kuonekana hamna upeo mzuri wa kufikiri
kwahiyo gentleman,
leo uwalipe askari mshahara mzuri kwaajili ya hizo drama wanazofanyiana wanasiasa wao kwa wao right? Polisi wanahusikaje hapo?then kesho tena uwalipe mishahara mizuri dhidi ya madawa ya kulevya, mtondogoo uamke tena uwalipe mshahara mzuri wakadhibiti kiherehere na makosa ya uzembe wa waandesha magari right?

halafu tena uje kuibuka baadae eti uwalipe mishahara mizuri wakadhibiti ubakaji. Unaweza kuzuia upwiri wewe gentleman? Unawezaje kumditact mwenye upwiri anaeelekea kubaka?

yaani upigwe na kupotezwa na wadeni au wagoni wako huko kwa tamaa na dhuluma halafu usingizie mshahara ya polisi, that's nonsense.

hakuna kubadili mishahara,
polisi tanzania daima ni waadilifu, na wanafanya kazi zao kwa weledi wa kiwango cha juu sana kuwalinda waTanzania.

ni vizuri wanasiasa kuheshimiana na kwakweli kuhakikisha hawadhulumiani wala kudaiana madeni yao kwa hila.
Aidha ni vizuri kuishi na watu vizuri 🐒
 
Kuna option mbili tuu
1. Kukaa kimya na kuufanyia kazi ushauri wake
2. Kumjibu kwa hoja na si vioja

Mafutataa yamemwagwa kwenye shimo la nyoka.. Mila moja inatoka na style yake...!

Press conference yake ya jana tarehe 24/05 iliyoenda viral Sana imeshaanza kupata feedback toka kwa watetezi
Sasa hadhira inategemea ipate majibu ya hoja zaje yenye mantiki...lakini cha ajabu wajibu hoja wamejificha uvunguni na vichochoroni na kuanza kufukua madudu ya mleta hoja ya zamani

Hii ni dalili ya uoga na kushindwa kwa mapema kabisa! Ni vema wakajitokeza hadharani kama alivyofanya yeye na kumjibu kwa hoja
Vijembe, kebehi, matusi, kashfa na kufukua makaburi yake ya zamani havitaondo ukweli na uhalisia wa yale yote aliyoyasema
Si vizuri kuanza kupaniki mapema kiasi hiki hata masaa 24 hayajapita
Kwasasa hadhira inasimama naye mpaka hapo itakapokuwa vinginevyo.. Wajibu hoja waje kamili ili kuepesha kuaibika zaidi na kupoteza kabisa hata ile imani kiduchu iliyopo
Na hakuna haraka ya majibu muda bado upo! Sasa waliokwisha kujibu kama walitumwa kuja kusafisha njia ndio kwanza wamezidi kuichafuaView attachment 3344857
Mkuu huu ni mkakati maaluma ya kumtengenezea mazingira ya kugombea Urais kupitia chauma, kumbuka huyu jamaa ni mshkaji wa dalali Mbowe.

Wameona plan za kumsimamisha Mbowe ishafeli hivo wanataka kucheza mchezo wa Lowassa iwe kama kipindi kile.

Japo naungana na alichokisema na kufanya Kuna awareness ameongeza kwa raia
 
Mkuu huu ni mkakati maaluma ya kumtengenezea mazingira ya kugombea Urais kupitia chauma, kumbuka huyu jamaa ni mshkaji wa dalali Mbowe.

Wameona plan za kumsimamisha Mbowe ishafeli hivo wanataka kucheza mchezo wa Lowassa iwe kama kipindi kile.

Japo naungana na alichokisema na kufanya Kuna awareness ameongeza kwa raia
Nimekupata vema sana mkuu wangu.. Umewaza very deep
 
Mkuu Mshana, watú wajinga siku zote huenda Kwa nguvu BILA akili.

Kuna Jana kakesha usiku kucha anatafuta video za miaka ya 2010 za Gwajima !!.


Wanasahau kua Kila jambo na wakati wake.


Hata hivo haya ni matokeo ya kujaza Vijana mbumbumbu Ndani ya Dola na CCM yenyewe.
Zile video hazina uzito sasa, kila jambo lina wakati, na wakati ukipita halina maana tena. Pale wanacho tafuta ni personal attacks na si kujibu hoja

Thats how low IQ za hawa watu zipo
 
Gentleman relax.. Gwaji katonesha mshono... Alichotoa ni chorus tuu.. Tusubiri verse zinakuja.. Bado yupo sana
kwahiyo gwajima kamzidi Mbowe kwenye press conference yake wakati ule dhidi ya hizi drama, right?🐒
 
Inaitwa propaganda ya kipuuzi na kishamba inafanywa na vilaza tu
 
Gwajiboy endelea kuwapelekea moto hao watekaji ili watanzania wasiwe na hofu ya kutekwa.
 
Back
Top Bottom