Kufuatia Upotoshaji Unaofanywa: Naomba kutoa Elimu kuhusu Mihimili mitatu ya Dola

Amani Msumari

JF-Expert Member
Aug 21, 2016
1,830
976
Waungwana,

Kwa kipindi kirefu wapinzani wamekuwa kwa kujua au kutokujua wanapotosha umma Kuhusu kazi na wajibu wa mihimili mitatu ya dola yaani serikali, bunge na mahakama.

Serikali kazi yake ni kuendesha shughuli za kila siku za nchi, bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali wakati mahakama inakazi ya kutafsiri sheria.

Kazi ya kuingia mikataba ni kazi ya serikali na hakuna ulazima wa kulitaarifu bunge wakati wa kuingia mikataba hiyo.

Kama bunge linaona kuna shida kwenye mkataba fulani basi linaitaka serikali kupeleka mkataba huo, kujadili na mwisho kutoa maamuzi. Mbunge binafsi pia ana haki ya kuitisha mkataba wowote ilimradi tuu akidhi matakwa ya kisheria

Waulizwe wapinzani, haya wanayolalamikia kuwa ndege, uwanja wa ndege na mengine kuwa mikataba yake haikupita bungeni, tatizo liko wapi? kwangu mimi ni sahihi na hakuna sheria iliyovunjwa hapo.

Wapinzani wanatumia kigezo cha uvivu wa baadhi ya watanzania kujisomea na kujua mipaka hii na kuwadanganya kwa kiwango kilekile cha kusema hakuna reli Wala treni ya kaliua mpanda, uwanja wa ndege kujaa maji n.k.

Wanaosema kuna makosa, waseme ni makosa gani.

JPM kanyaga twende.

Amani Msumari
Tanga
 
"Serikali kazi yake ni kuendesha shughuli za kila siku za nchi, bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali wakati mahakama inakazi ya kutafsiri sheria. Kazi ya kuingia mikataba ni kazi ya serikali na hakuna ulazima wa kulitaarifu bunge wakati wa kuingia mikataba hiyo.."

Hapa ndipo nilipo kuona kiazi kweli kweli ,yani Raslimal za Nchi zisimamiwe na Serikali bila ya kupelekwa kwa Wananchi (Bungeni) !!??

Kweli !!..
 
Waungwana,

Kwa kipindi kirefu wapinzani wameliwa kwa kujua au kutokujua wanapotosha umma Kuhusu kazi na wajibu wa mihimili mitatu ya dola yaani serikali, bunge na mahakama.

Serikali kazi yake ni kuendesha shughuli za kila siku za nchi, bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali wakati mahakama inakazi ya kutafsiri sheria. Kazi ya kuingia mikataba ni kazi ya serikali na hakuna ulazima wa kulitaarifu bunge wakati wa kuingia mikataba hiyo.

Kama bunge linaona kuna shida kwenye mkataba fulani Basi linaitaka serikali kupeleka mkataba huo, kujadili na mwisho kutoa maamuzi. Waulizwe wapinzani, haya wanayolalamikia kuwa ndege, uwanja wa ndege na mengine kuwa mikataba yake haikupita bungeni, kwangu ni sahihi na hakuna sheria iliyovunjwa hapo.

Wapinzani wanatumia kigezo cha uvivu wa baadhi ya watanzania kujua mipaka hii na kuwadanganya kwa kiwango kilejile cha kusema hakina treni ya kaliua mpanda, uwanja kujaa maji n.k.

Wanaosema kuna makosa, waseme ni makosa gani.

JPM kanyaga twende.

Amani Msumari
Tanga
Wewe mpumbavu tu
Utamuelimisha nani, shenz
 
Waungwana,

Kwa kipindi kirefu wapinzani wameliwa kwa kujua au kutokujua wanapotosha umma Kuhusu kazi na wajibu wa mihimili mitatu ya dola yaani serikali, bunge na mahakama.

Serikali kazi yake ni kuendesha shughuli za kila siku za nchi, bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali wakati mahakama inakazi ya kutafsiri sheria. Kazi ya kuingia mikataba ni kazi ya serikali na hakuna ulazima wa kulitaarifu bunge wakati wa kuingia mikataba hiyo.

Kama bunge linaona kuna shida kwenye mkataba fulani Basi linaitaka serikali kupeleka mkataba huo, kujadili na mwisho kutoa maamuzi. Waulizwe wapinzani, haya wanayolalamikia kuwa ndege, uwanja wa ndege na mengine kuwa mikataba yake haikupita bungeni, kwangu ni sahihi na hakuna sheria iliyovunjwa hapo.

Wapinzani wanatumia kigezo cha uvivu wa baadhi ya watanzania kujua mipaka hii na kuwadanganya kwa kiwango kilejile cha kusema hakina treni ya kaliua mpanda, uwanja kujaa maji n.k.

Wanaosema kuna makosa, waseme ni makosa gani.

JPM kanyaga twende.

Amani Msumari
Tanga
Elimu yetu itaendelea kudharaulika tu kama wasomi wenyewe ndo wa kiwango hiki. Hata Profesa Shivji na Unguli wake hawezi kuelewa ulimaanisha nini!!
 
Mihimili 3 ya dola:

1) Magufuli

2) Dotto James

3) Mayanga construction (aka wamwana)

Waungwana,

Kwa kipindi kirefu wapinzani wameliwa kwa kujua au kutokujua wanapotosha umma Kuhusu kazi na wajibu wa mihimili mitatu ya dola yaani serikali, bunge na mahakama.

Serikali kazi yake ni kuendesha shughuli za kila siku za nchi, bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali wakati mahakama inakazi ya kutafsiri sheria. Kazi ya kuingia mikataba ni kazi ya serikali na hakuna ulazima wa kulitaarifu bunge wakati wa kuingia mikataba hiyo.

Kama bunge linaona kuna shida kwenye mkataba fulani Basi linaitaka serikali kupeleka mkataba huo, kujadili na mwisho kutoa maamuzi. Waulizwe wapinzani, haya wanayolalamikia kuwa ndege, uwanja wa ndege na mengine kuwa mikataba yake haikupita bungeni, kwangu ni sahihi na hakuna sheria iliyovunjwa hapo.

Wapinzani wanatumia kigezo cha uvivu wa baadhi ya watanzania kujua mipaka hii na kuwadanganya kwa kiwango kilejile cha kusema hakina treni ya kaliua mpanda, uwanja kujaa maji n.k.

Wanaosema kuna makosa, waseme ni makosa gani.

JPM kanyaga twende.

Amani Msumari
Tanga
 
Kama hii ndio unayoita Elimu basi walaaniwe waliokuamisha kuwa umefaulu na kukupa cheti wakati ulitakiwa kuwahishwa hospitali kwa matibabu zaidi.
Unajua ndugu ipo shida, tena shida kubwa tuu. Watu tunatofautiana uwezo lakini pia tuna fikra huru na kuandika kile ambacho ujuzi wetu ndio umefikia kwa wakati huo.

Mimi nadhani ungejikita kwenye hoja kwa kueleza udhaifu wa hoja niliyoitoa na kueleza hasa ilitakiwa iweje. Kwangu Mimi huo ndio u - great thinker na hapo huenda na mimi nikapata cha kujifunza kutoka kwako.

Nikusihi sana wewe na wenzako ambao huwa hamjibu hoja bali kubeza tuu na kudharau, mjirekebishe. Sidhani kama hilo ni jambo bora.
 
Unajua ndugu ipo shida, tena shida kubwa tuu. Watu tunatofautiana uwezo lakini pia tuna fikra huru na kuandika kile ambacho ujuzi wetu ndio umefikia kwa wakati huo.

Mimi nadhani ungejikita kwenye hoja kwa kueleza udhaifu wa hoja niliyoitoa na kueleza hasa ilitakiwa iweje. Kwangu Mimi hup ndio u - great thinker na hapo huenda na mimi nikapata cha kujifunza kutoka kwako.

Nikisihi sana wewe na wenzako ambao huwa hamhibu hoja bali kubeza tuu na kudharau. Sidhani kama hilo ni jbo bora.
Unapotoka hadharani na kudai unataka kutoa Elimu kwenye jukwaa kama hili basi matarajio ya watu ni kupata Elimu hiyo kwa kiwango stahiki.
Ukitaka watu watoe maoni yao juu ya kile ukichokiandika basi Ungesema unaomba kutoa maoni yako juu ya mihimili hiyo na sio kutoa Elimu ambayo hauna ujuzi nayo na mwisho hapo hukutoa Elimu kama ulivyodai ila ulitoa ushabiki wako juu na kile unaamini.
 
Unajua ndugu ipo shida, tena shida kubwa tuu. Watu tunatofautiana uwezo lakini pia tuna fikra huru na kuandika kile ambacho ujuzi wetu ndio umefikia kwa wakati huo.

Mimi nadhani ungejikita kwenye hoja kwa kueleza udhaifu wa hoja niliyoitoa na kueleza hasa ilitakiwa iweje. Kwangu Mimi huo ndio u - great thinker na hapo huenda na mimi nikapata cha kujifunza kutoka kwako.

Nikusihi sana wewe na wenzako ambao huwa hamjibu hoja bali kubeza tuu na kudharau, mjirekebishe. Sidhani kama hilo ni jambo bora.
Umeandika utopolo..yaani wewe unaona executive iko juu ya bunge hivo unaona sawa hata kama serikali ikasign mkataba wa kuuza nchi au rasilimali Bila bunge ni sawa?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom