Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 976
- Thread starter
- #61
Acha kujitoa ufahamuSafari hii mtesaji na muuaji hakanyagi ikulu.
Acha kujitoa ufahamuSafari hii mtesaji na muuaji hakanyagi ikulu.
Waambie wajue kuwa watanzania n watu werevuMtaingia ikulu yenu pale Ufipa. Watanzania hawawezi fanya kosa kuchagua kibaraka.
Mimi naona amekujibu vizuri ila wewwe kwa vile ulijifanya muelimishaji kumbe una mahaba bas unajifanya kutomuelewa.Unajua ndugu ipo shida, tena shida kubwa tuu. Watu tunatofautiana uwezo lakini pia tuna fikra huru na kuandika kile ambacho ujuzi wetu ndio umefikia kwa wakati huo.
Mimi nadhani ungejikita kwenye hoja kwa kueleza udhaifu wa hoja niliyoitoa na kueleza hasa ilitakiwa iweje. Kwangu Mimi huo ndio u - great thinker na hapo huenda na mimi nikapata cha kujifunza kutoka kwako.
Nikusihi sana wewe na wenzako ambao huwa hamjibu hoja bali kubeza tuu na kudharau, mjirekebishe. Sidhani kama hilo ni jambo bora.
Ndugu Amani Msumari (MSUMAI), twende mbele turusi nyuma. Kwa uonavyouona utawala wa awamu hii, kuna utengano wowote wa hiii mihimili. Nauliza kwa sababu anayeshikilia mhimili wa DOLA (EXECUTIVE) alisema mhimili wake ndio wenye mizizi mirefu zaidi, kwa sababu ndio uliopewa jukumu la kukusanya kodi kwa ajili ya kulipa hiyo mihimili mgingine. Hii si ni dharau?Unajua ndugu ipo shida, tena shida kubwa tuu. Watu tunatofautiana uwezo lakini pia tuna fikra huru na kuandika kile ambacho ujuzi wetu ndio umefikia kwa wakati huo.
Mimi nadhani ungejikita kwenye hoja kwa kueleza udhaifu wa hoja niliyoitoa na kueleza hasa ilitakiwa iweje. Kwangu Mimi huo ndio u - great thinker na hapo huenda na mimi nikapata cha kujifunza kutoka kwako.
Nikusihi sana wewe na wenzako ambao huwa hamjibu hoja bali kubeza tuu na kudharau, mjirekebishe. Sidhani kama hilo ni jambo bora.
Waungwana,
Kwa kipindi kirefu wapinzani wamekuwa kwa kujua au kutokujua wanapotosha umma Kuhusu kazi na wajibu wa mihimili mitatu ya dola yaani serikali, bunge na mahakama.
Serikali kazi yake ni kuendesha shughuli za kila siku za nchi, bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali wakati mahakama inakazi ya kutafsiri sheria.
Kazi ya kuingia mikataba ni kazi ya serikali na hakuna ulazima wa kulitaarifu bunge wakati wa kuingia mikataba hiyo.
Kama bunge linaona kuna shida kwenye mkataba fulani basi linaitaka serikali kupeleka mkataba huo, kujadili na mwisho kutoa maamuzi. Mbunge binafsi pia ana haki ya kuitisha mkataba wowote ilimradi tuu akidhi matakwa ya kisheria
Waulizwe wapinzani, haya wanayolalamikia kuwa ndege, uwanja wa ndege na mengine kuwa mikataba yake haikupita bungeni, tatizo liko wapi? kwangu mimi ni sahihi na hakuna sheria iliyovunjwa hapo.
Wapinzani wanatumia kigezo cha uvivu wa baadhi ya watanzania kujisomea na kujua mipaka hii na kuwadanganya kwa kiwango kilekile cha kusema hakuna reli Wala treni ya kaliua mpanda, uwanja wa ndege kujaa maji n.k.
Wanaosema kuna makosa, waseme ni makosa gani.
JPM kanyaga twende.
Amani Msumari
Tanga
Ni kweli alionesha majukumu ya executive ila hakusema kuwa mhimili huo ndio mkubwa kuliko mingineNdugu Amani Msumari (MSUMAI), twende mbele turusi nyuma. Kwa uonavyouona utawala wa awamu hii, kuna utengano wowote wa hiii mihimili. Nauliza kwa sababu anayeshikilia mhimili wa DOLA (EXECUTIVE) alisema mhimili wake ndio wenye mizizi mirefu zaidi, kwa sababu ndio uliopewa jukumu la kukusanya kodi kwa ajili ya kulipa hiyo mihimili mgingine. Hii si ni dharau?
Tuhuma zako n nzito sana ila one thing for sure, Tundu asikaidi wito na infact hana uwezo wa kukaidi.Katie elimu kwa mamsvyako
Hii tume ambayo msingi wake mkubwa ni double standards...Tundu Lissu asiende tuone kitakochofanyika. Hii tume ambayo yenyewe haina maadili...ninewupe kama pamba. Wametoa hukumu gani kwa wagombea ubunge na udiwani wa chadema kwa muda huu wote. There are all working in tandem with all the deds to ensure that winner is Magufuli.
A bunch of sycophants dancing at magufuli's tune all the time. Magufuli has breached all the codes or regulations of this election and nothing has been said or done against him.
He has not followed the timetable during the electioneering, speaking in the local dialect as he pleases during this campaign, dealing with construction of road projects during the campaign, giving money to people.
This is absurd and yet no significant statement has come from NEC to condemn what Magufuli is doing. The only help we need is ICC at the Haque. When was the last time magufuli was in the campaign trail..
Kumbe ni mtu wa tangaaa!Waungwana,
Kwa kipindi kirefu wapinzani wamekuwa kwa kujua au kutokujua wanapotosha umma Kuhusu kazi na wajibu wa mihimili mitatu ya dola yaani serikali, bunge na mahakama.
Serikali kazi yake ni kuendesha shughuli za kila siku za nchi, bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali wakati mahakama inakazi ya kutafsiri sheria.
Kazi ya kuingia mikataba ni kazi ya serikali na hakuna ulazima wa kulitaarifu bunge wakati wa kuingia mikataba hiyo.
Kama bunge linaona kuna shida kwenye mkataba fulani basi linaitaka serikali kupeleka mkataba huo, kujadili na mwisho kutoa maamuzi. Mbunge binafsi pia ana haki ya kuitisha mkataba wowote ilimradi tuu akidhi matakwa ya kisheria
Waulizwe wapinzani, haya wanayolalamikia kuwa ndege, uwanja wa ndege na mengine kuwa mikataba yake haikupita bungeni, tatizo liko wapi? kwangu mimi ni sahihi na hakuna sheria iliyovunjwa hapo.
Wapinzani wanatumia kigezo cha uvivu wa baadhi ya watanzania kujisomea na kujua mipaka hii na kuwadanganya kwa kiwango kilekile cha kusema hakuna reli Wala treni ya kaliua mpanda, uwanja wa ndege kujaa maji n.k.
Wanaosema kuna makosa, waseme ni makosa gani.
JPM kanyaga twende.
Amani Msumari
Tanga
Ni kweli alionesha majukumu ya executive ila hakusema kuwa mhimili huo ndio mkubwa kuliko mingine
Sasa kama mimi nimeandika mavi matupu, hayo maji ya kunawia mbona hujaleta? Hebu nioneshe walau point moja uliyoandikaKumbe ni mtu wa tangaaa!
Utopolo tupu uliouleta hapa, unajifanya kujuamajukumu ya mihimili ya nchi kumbe mavi tupu
Sio kulitafuta, nilifuatilia mkutano ule.Tafuta swali la Pascal Mayalla youtube jinsi alivyojibiwa na raisi pale Ikulu magogoni ndipo urejee hapa tena
Wanyama wa Serengeti ni shida!Waungwana,
Kwa kipindi kirefu wapinzani wamekuwa kwa kujua au kutokujua wanapotosha umma Kuhusu kazi na wajibu wa mihimili mitatu ya dola yaani serikali, bunge na mahakama.
Serikali kazi yake ni kuendesha shughuli za kila siku za nchi, bunge kutunga sheria na kuisimamia serikali wakati mahakama inakazi ya kutafsiri sheria.
Kazi ya kuingia mikataba ni kazi ya serikali na hakuna ulazima wa kulitaarifu bunge wakati wa kuingia mikataba hiyo.
Kama bunge linaona kuna shida kwenye mkataba fulani basi linaitaka serikali kupeleka mkataba huo, kujadili na mwisho kutoa maamuzi. Mbunge binafsi pia ana haki ya kuitisha mkataba wowote ilimradi tuu akidhi matakwa ya kisheria
Waulizwe wapinzani, haya wanayolalamikia kuwa ndege, uwanja wa ndege na mengine kuwa mikataba yake haikupita bungeni, tatizo liko wapi? kwangu mimi ni sahihi na hakuna sheria iliyovunjwa hapo.
Wapinzani wanatumia kigezo cha uvivu wa baadhi ya watanzania kujisomea na kujua mipaka hii na kuwadanganya kwa kiwango kilekile cha kusema hakuna reli Wala treni ya kaliua mpanda, uwanja wa ndege kujaa maji n.k.
Wanaosema kuna makosa, waseme ni makosa gani.
JPM kanyaga twende.
Amani Msumari
Tanga
Halafu nyie ndio wapiga debe wa serikali ya majimbo ilihali mnaonesha ubaguzi mapema hvKumbe ni mtu wa tangaaa!
Utopolo tupu uliouleta hapa, unajifanya kujuamajukumu ya mihimili ya nchi kumbe mavi tupu
Majibu yake uliyaonaje? Kuna utengano wa mihimili?Sio kulitafuta, nilifuatilia mkutano ule.