Kufuatia kauli ya WHO na maono ya Rais Magufuli kuhusu kuizoea Corona naomba shule na vyuo vifunguliwe

Kwa huo mtazamo wako ninaouona, manake shule haziwezi kufunguliwa kamwe kutokana na nature au uchumi wa nchi yetu. Umeshaambiwa huenda lisiishe na tukaishi nao Kama magonjwa mengine kikubwa tahadhari. Wenzio tumeshaanza kuishi nao Kama kifaduro. Tunaomba Mungu tu shule zifungue vijana wetu waendelee na masomo huko.

Umezungumzi kusoma kwa njia ya TV halafu hujagusia changamoto zake. Wadogo zangu mpaka leo hawajawahi kushuhudia hicho kipindi huko kijijin waliko. TV yenyewe shida, umeme wenyewe ndo usiseme. Usifananishe unafuu wako kwa mwenzio.

Shule zikifungua wanao ubaki nao kwanza maana watapata Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kufungua shule kama serikali(MOH),WHO washasalim amri basi waongeze madarasa ili watoto wetu wakae >1.5m kutoka mwanafunzi hadi mwanafunzi ,wahakikishe wazazi wanawanunulia barakoa wanafunzi,pia serikali ihakikishe inakuwa na maji tiririka kila darasa na sabuni kila mtoto atakuwa ananawa akiingia class.
 
Point sana. Hapo ni kuishi na corona tu as magonjwa mengine.

Na hali ya mtaani na jinsi inavyozungumziwa huku mitandaoni tofauti ,, kutiana hofu tuu
 
Kabla ya kufungua shule kama serikali(MOH),WHO washasalim amri basi waongeze madarasa ili watoto wetu wakae >1.5m kutoka mwanafunzi hadi mwanafunzi ,wahakikishe wazazi wanawanunulia barakoa wanafunzi,pia serikali ihakikishe inakuwa na maji tiririka kila darasa na sabuni kila mtoto atakuwa ananawa akiingia class.
Mkuu unaelewa kabisa nature ya wanafunzi lakini...
 
Naiomba serikali, shule zifunguliwe zote. Tupambane humo humo. Serikali iruhusu maisha yaendelee. Usafiri Dar urudie hali yake. Tahadhari zichukuliwe kulingana na miongozo ya wizara ya afya
 
South Korea walifungua wakakaa wiki tatu wakafunga.

Tafuta habari hiyo DW.
 
Back
Top Bottom