Iko hivi: Endapo ligi luu Tanzania bara ikarejea na mechi kuchezwa katika viwanja mbali mbali hapa nchini, basi ni vyema pia vyuo na shule zifunguliwe na maisha yaendelee.
Maana ukiachana na sehemu za viwanja vya mpira ambapo watu wanakusanyika kwa wingi pamoja na shule na vyuo.
Sehemu nyingine au kada nyingine maisha yanaendelea kama kawaida.
Hata watoto wenyewe walioambiwa wabaki nyumbani ili kuepukana na Corona, wapo mtaani tu kazi yao ni kuzurura hawana hata huo muda wa kujisomea.
Labda kwa watoto wa kishua ambao maisha yao yanawaruhusu kuishi maisha ya lockdown.
Nawasilisha.
Maana ukiachana na sehemu za viwanja vya mpira ambapo watu wanakusanyika kwa wingi pamoja na shule na vyuo.
Sehemu nyingine au kada nyingine maisha yanaendelea kama kawaida.
Hata watoto wenyewe walioambiwa wabaki nyumbani ili kuepukana na Corona, wapo mtaani tu kazi yao ni kuzurura hawana hata huo muda wa kujisomea.
Labda kwa watoto wa kishua ambao maisha yao yanawaruhusu kuishi maisha ya lockdown.
Nawasilisha.