Tatizo hapa ni uwezo gani ulionao!! Mtu anakuja kuomba msaada haangalii hali uliyo nayo. Kama kusaidia is what makes you happy, help your relatives hata kama kiasi ulicho nacho ni kidogo. Kwa hiyo, kusaidia mtu ni relative term, it is not a fixed parameter. Utamsaidia mtu kiasi hicho, lakini hakitamkomboa.
Kusaidia kivipi?
Kama unasaidia ili jamaa yako aweze kujitegemea baadae ni vizuri,lakini kama unasaidia ili watu wakusifu tu mitaani huku wewe ukiteketea na nduguyo unaye msaidia anadumaa ni uzembe.
Fundisha mtu kuvua samaki, mpe nyavu, kisha mpige ban asikanyage kwako tena kuomba omba. Huo ndio msaada, kinyume na hivyo ule mzunguko wa ulofa unaongezeka ktk jamii yako.