Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 20,538
- 14,794
Mahakama ndio kila kitu katika kuweka mambo sawa...siku hizi sheria zinatumika vibaya kuwakandamiza wasio na hatia.
..katika kesi hizi [ za Boni Yai, na Lissu ] inaelekea kwamba upande wa jamhuri una mashahidi ambao ni dhaifu hivyo ili wasihojiwe sawasawa imeamua kutumia kifungu cha kuficha mashahidi.