Kuficha mashahidi ni uhalifu dhidi ya ubinadamu

Kuficha mashahidi ni uhalifu dhidi ya ubinadamu

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
546
Reaction score
1,114
Jaribio lolote la kutaka kumhukumu mtu bila yeye kuwajua mashahidi dhidi yake ni uhalifu dhidi ya ubinadamu, halipaswi kuendekezwa hata kidogo.

Maana yake ni kwamba, mshtakiwa atasomewa tu kuwa, mahakama imeridhika na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka, hivyo adhabu yako ni hiyo.

Kama ni issue ya ulinzi, kwa nini Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na wengineo hawalindwi kwa kuwaficha?. Kuna ulinzi gani mkubwa zaidi ya kumlinda Rais Duniani?

Kama Rais ana ulinzi mkubwa zaidi lakini bado tunakuwa naye pamoja kwenye shughuli mbalimbali, mashahidi wana nini cha pekee kumzidi Rais?

No live witnesses No case.
 
Moja ya kesi za kijinga kuwahi kuzishuhudia chini ya utawala wa huyu mama ni hii ya Uhaini feki wa Lissu, na ule ugaidi feki wa Mbowe. Kinachoumiza zaidi ni kuwaona wataalam wetu wa sheria wakishiriki kwenye huo upuuzi ili tu kuwafurahisha wanasiasa.
 
Jaribio lolote la kutaka kumhukumu mtu bila yeye kuwajua mashahidi dhidi yake ni uhalifu dhidi ya ubinadamu, halipaswi kuendekezwa hata kidogo.

Maana yake ni kwamba, mshtakiwa atasomewa tu kuwa, mahakama imeridhika na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka, hivyo adhabu yako ni hiyo.

Kama ni issue ya ulinzi, kwa nini Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na wengineo hawalindwi kwa kuwaficha?. Kuna ulinzi gani mkubwa zaidi ya kumlinda Rais Duniani?

Kama Rais ana ulinzi mkubwa zaidi lakini bado tunakuwa naye pamoja kwenye shughuli mbalimbali, mashahidi wana nini cha pekee kumzidi Rais?

No live witnesses No case.
Huu utamaduni kuanzia enzi za nyerere..
Lakini utaratibu bila shaka kama sijasahau ulitumika wakati wa kesi ya ruto na kenyatta kule ICC
 
Huu utamaduni kuanzia enzi za nyerere..
Lakini utaratibu bila shaka kama sijasahau ulitumika wakati wa kesi ya ruto na kenyatta kule ICC

..mashahidi X na Y ktk kesi ya uhaini ya mwaka 1984 walifichwa kwa public, lakini hawakufichwa kwa washtakiwa, mawakili,na jaji.

..wanachotaka kufanya sasa hivi dhidi ya Tundu Lissu ni kuwaficha mashahidi hata kwa mshitakiwa, na mawakili wa utetezi. Jambo hilo sio sahihi.
 
Jaribio lolote la kutaka kumhukumu mtu bila yeye kuwajua mashahidi dhidi yake ni uhalifu dhidi ya ubinadamu, halipaswi kuendekezwa hata kidogo.

Maana yake ni kwamba, mshtakiwa atasomewa tu kuwa, mahakama imeridhika na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka, hivyo adhabu yako ni hiyo.

Kama ni issue ya ulinzi, kwa nini Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na wengineo hawalindwi kwa kuwaficha?. Kuna ulinzi gani mkubwa zaidi ya kumlinda Rais Duniani?

Kama Rais ana ulinzi mkubwa zaidi lakini bado tunakuwa naye pamoja kwenye shughuli mbalimbali, mashahidi wana nini cha pekee kumzidi Rais?

No live witnesses No case.
Nchi ya wanyama VS nchi ya binadamu Vile vile mkuki kwa nguruwe kwa binadamu..................

Sheria kwaajili ya chama cha upinzani VS sheria kwaajili ya chama dola

Any decision you make in life you will be responsible for it

Uamuzi wowote utakao ufanya maishani mwako utawajibika nao

Someni kuhusu 'ostracism 'mtanishukuru

Silence surrenders public responsibilities
 
Jaribio lolote la kutaka kumhukumu mtu bila yeye kuwajua mashahidi dhidi yake ni uhalifu dhidi ya ubinadamu, halipaswi kuendekezwa hata kidogo.

Maana yake ni kwamba, mshtakiwa atasomewa tu kuwa, mahakama imeridhika na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka, hivyo adhabu yako ni hiyo.

Kama ni issue ya ulinzi, kwa nini Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na wengineo hawalindwi kwa kuwaficha?. Kuna ulinzi gani mkubwa zaidi ya kumlinda Rais Duniani?

Kama Rais ana ulinzi mkubwa zaidi lakini bado tunakuwa naye pamoja kwenye shughuli mbalimbali, mashahidi wana nini cha pekee kumzidi Rais?

No live witnesses No case.
Wamekosa mashahidi, na kesi ni ya kutengenezwa...
 
Jaribio lolote la kutaka kumhukumu mtu bila yeye kuwajua mashahidi dhidi yake ni uhalifu dhidi ya ubinadamu, halipaswi kuendekezwa hata kidogo.

Maana yake ni kwamba, mshtakiwa atasomewa tu kuwa, mahakama imeridhika na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka, hivyo adhabu yako ni hiyo.

Kama ni issue ya ulinzi, kwa nini Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na wengineo hawalindwi kwa kuwaficha?. Kuna ulinzi gani mkubwa zaidi ya kumlinda Rais Duniani?

Kama Rais ana ulinzi mkubwa zaidi lakini bado tunakuwa naye pamoja kwenye shughuli mbalimbali, mashahidi wana nini cha pekee kumzidi Rais?

No live witnesses No case.
Hata Mahakama ya Uhalifu Dhidi ya Binadamu ya The Hague inatumia utaratibu wa kuficha mashahidi. Kwenye hili hata mkienda kwa mabwana zenu Ulaya mnalalamika watawaahangaa kweri kweri kwasababu na wao huo utaratibu wanatumia. Kwa kifupi hata Mahakama ya Rwanda Genocide ya Arusha wanautumia. Kwanini isiwe kwa Lissu?
 
Wanalifanya hilo kwa kujua uwezo wa lissu katika tasnia ya sheria hawamuwezi na ndio maana wanatapatapa, na hizo kanuni walizozitengeneza mwezi huu hazihusiani na kesi ya lissu kwa sababu wakati anakamatwa kanuni hizo hazikuwepo vinginevyo utumike ubabe tu.
 
Hata Mahakama ya Uhalifu Dhidi ya Binadamu ya The Hague inatumia utaratibu wa kuficha mashahidi. Kwenye hili hata mkienda kwa mabwana zenu Ulaya mnalalamika watawaahangaa kweri kweri kwasababu na wao huo utaratibu wanatumia. Kwa kifupi hata Mahakama ya Rwanda Genocide ya Arusha wanautumia. Kwanini isiwe kwa Lissu?

..hata katika kesi dhidi ya Boni Yai, upande wa jamhuri wanataka kuficha mashahidi. Upuuzi mtupu.
 
Nje ya mada kidogo, hivi huyu bwana yupo kweli au kahama nchi? Jenerali Jacob Mkunda?
Si ni Mtanzania huyu au kabadili uraia?
Maana Raia wa kweli na mzalendo hawezi kukaa kimya katika baadhi ya mambo yanayoendelea au anarudi nyuma na kukariri kiapo chake ili akielewe.
Namkumbuka Dr Masumbuko Lamwai alikigomea kiapo cha bungeni mpaka kikabadilishwa kutoka kumuapia Rais hadi kuiapia katiba ya nchi (wakati huo haijageuka "kijitabu tu").
Hapa sijajua nilitaka kusemaje! Labda Jacob mwenyewe amenielewa!
 
Kama Sheria ipo tatizo nini?

..siku hizi sheria zinatumika vibaya kuwakandamiza wasio na hatia.

..katika kesi hizi [ za Boni Yai, na Lissu ] inaelekea kwamba upande wa jamhuri una mashahidi ambao ni dhaifu hivyo ili wasihojiwe sawasawa imeamua kutumia kifungu cha kuficha mashahidi.
 
Nadhani TLS, LHRC na wapenda utawala wa Sheria na HAKI wanawajibu wa kutenda jambo..either kwenda Mahakama ya Katiba au kuielemisha jamii ubaya wa hii tabia
 
Jaribio lolote la kutaka kumhukumu mtu bila yeye kuwajua mashahidi dhidi yake ni uhalifu dhidi ya ubinadamu, halipaswi kuendekezwa hata kidogo.

Maana yake ni kwamba, mshtakiwa atasomewa tu kuwa, mahakama imeridhika na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka, hivyo adhabu yako ni hiyo.

Kama ni issue ya ulinzi, kwa nini Rais, Makamu wa Rais, Waziri mkuu na wengineo hawalindwi kwa kuwaficha?. Kuna ulinzi gani mkubwa zaidi ya kumlinda Rais Duniani?

Kama Rais ana ulinzi mkubwa zaidi lakini bado tunakuwa naye pamoja kwenye shughuli mbalimbali, mashahidi wana nini cha pekee kumzidi Rais?

No live witnesses No case.
Usikute hao mashahidi ni miongoni mwa aliokuwa akifanya nao kazi, vikao na mikutano!
ccm ya familia za JK na SSH kwa sasa inaweza kuchanya chochote kwa gharama yoyote ilimradi ifanikiwe!
 
....mashahidi wana nini cha pekee kumzidi Rais?
Kuficha mashahidi ni njia mojawapo ya kudhiti ukweli, kuchochea ukuaji wa fitina na uzushi, ni kuimarisha sera ya chuki katika jamii na kuoneana.

Vyote hivi havijengi jamii imara bali jamii ya kifitina na uchawa! Na jamii ya namna hii haziwezi kupiga hatua katika misingi imara. Jamii hii tuikatae kwa Pamoja.
 
Back
Top Bottom