technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,553
- 57,843
Mleteni Rais wetu mbele ya camera hata Kama tunamchukia, hatoshi, mwizi wa chaguzi, ametuulia ndugu zetu lakini ki protocol bado anakuwa Rais wetu hata Kama Ni haramu
Je Yuko wapi?
Anafanya Nini?
Kwanini ajifiche?
Yu Hali gani?
Kwanini awe waziri mkuu na sio makamo wa Rais juzi?
Who are you wewe unayezuia tusijue Alipo??
Je Yuko wapi?
Anafanya Nini?
Kwanini ajifiche?
Yu Hali gani?
Kwanini awe waziri mkuu na sio makamo wa Rais juzi?
Who are you wewe unayezuia tusijue Alipo??