Kufeli kwa Serikali kuhamia Dodoma

Sababu kuu hapo ni hiyo 1 tu hizo zinginr porojo tu.
 
Hoja zako ni dhaifu sana ndugu. Hivi hujui hata hiyo miji kama Dubai, Tripoli na mingineyo kufikia hapo ilipo kuna hatua za awali kabisa walianza nayo?
Halafu kamwe usijidanganye kuwa eti kuwekeza kwenye kuendeleza mji wowote ule kwenye nchi hii kwamba ni kupotezza fedha. Ikiwa unajua jinsi ambayo mzunguko wa fedha ulivyo utaelewa. Ndg nasema hivi kwa kuwa Nia ipo acha tufanye kwani wenzetu walianza vipi sisi tushindwe?
 
Sawa kwann iwe 2015-2020 nakwann isingekuwa 1973 -2019 acha kuamini katika siasa ipo siku uwekezaji huu utakuja kubakia magofu yasiyokuwa na kazi mkuu
Ref. Mobito sseseko alijenga ikulu kwao limebaki gofu
 
ndoo maana utawala wangu makao makuu yatakuwa mtwara ujinga huu sasa
 
Mungu anakuona wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…