Kufanya uchaguzi 2024 na 2025 ni kufuja fedha za umma CCM itamke tu viongozi waliopo madarakani wataendelea mpaka 2030

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,278
2,040
Wadau nawasabahi.Binafsi sioni sababu ya kufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025. Sababu zangu ni pamoja na

1. KATIBA iliyopo inaruhusu CCM kuingia Madarakani itakavyo Kama tulivyoona Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 Na Uchaguzi Mkuu 2020 ulivyo CHAFULIWA na CCM ikaingia MADARAKANI na hakuna walichofanywa.

2. Katiba iliyopo inaruhusu CCM KUIBA KURA na Hakuna wa kuhoji au Kupinga.

3. CCM ikikataa Jambo Lake hakuna wa kubisha

Tumeshuhudia IMEKATAA Kuendeleza Mchakato wa Rasimu ya Warioba na kuamua kuanza moja ili mradi kuchelewesha Upatikanaji wa KATIBA MPYA.

Hivyo basi Kufanya Uchaguzi ni Kupoteza Fedha za Umma nashauri Hakuna Haja ya Uchaguzi badala yake VIONGOZI wote wa KUCHAGULIWA waendelee kushika Nyadhifa zao mpaka Mwaka 2030 ili KUOKOA MABILIONI ya Fedha badala ya kuzitumia kwenye Uchaguzi Uchaguzi ambao hauna TIJA YOYOTE.
 
Itakua vema sana,hizo pesa ambazo serikali ya CCM inataka kuzifanyia maigizo,watuajiri hata sisi tuingie kwenye kada zetu,tutawashukuru sana.Ni suala la kutoa tamko tu.
 
Hayo mabilioni unayotaka kuyaokoa,uletewe ripoti ya CAG ikisema yalitumika vibaya! Tuendelee tu na maigizo yetu,ninaamini tutabahatisha viongozi wazuri wengi safari hii ya Rais Samia na mchakato wa Katiba utaendelea tu.
 
Wadau nawasabahi.Binafsi sioni sababu ya kufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025. Sababu zangu ni pamoja na
1. KATIBA iliyopo inaruhusu CCM kuingia Madarakani itakavyo Kama tulivyoona Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 Na Uchaguzi Mkuu 2020 ulivyo CHAFULIWA na CCM ikaingia MADARAKANI na hakuna walichofanywa.
2. Katiba iliyopo inaruhusu CCM KUIBA KURA na Hakuna wa kuhoji au Kupinga.
3. CCM ikikataa Jambo Lake hakuna wa kubisha

Tumeshuhudia IMEKATAA Kuendeleza Mchakato wa Rasimu ya Warioba na kuamua kuanza moja ili mradi kuchelewesha Upatikanaji wa KATIBA MPYA.

Hivyo basi Kufanya Uchaguzi ni Kupoteza Fedha za Umma nashauri Hakuna Haja ya Uchaguzi badala yake VIONGOZI wote wa KUCHAGULIWA waendelee kushika Nyadhifa zao mpaka Mwaka 2030 ili KUOKOA MABILIONI ya Fedha badala ya kuzitumia kwenye Uchaguzi Uchaguzi ambao hauna TIJA YOYOTE.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Kuna uhakika gani kwamba uchaguzi usipofanyika 2024 na 2025 ndio Katiba mpya itapatikana ??!!
 
Wadau nawasabahi.Binafsi sioni sababu ya kufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025. Sababu zangu ni pamoja na
1. KATIBA iliyopo inaruhusu CCM kuingia Madarakani itakavyo Kama tulivyoona Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 Na Uchaguzi Mkuu 2020 ulivyo CHAFULIWA na CCM ikaingia MADARAKANI na hakuna walichofanywa.
2. Katiba iliyopo inaruhusu CCM KUIBA KURA na Hakuna wa kuhoji au Kupinga.
3. CCM ikikataa Jambo Lake hakuna wa kubisha

Tumeshuhudia IMEKATAA Kuendeleza Mchakato wa Rasimu ya Warioba na kuamua kuanza moja ili mradi kuchelewesha Upatikanaji wa KATIBA MPYA.

Hivyo basi Kufanya Uchaguzi ni Kupoteza Fedha za Umma nashauri Hakuna Haja ya Uchaguzi badala yake VIONGOZI wote wa KUCHAGULIWA waendelee kushika Nyadhifa zao mpaka Mwaka 2030 ili KUOKOA MABILIONI ya Fedha badala ya kuzitumia kwenye Uchaguzi Uchaguzi ambao hauna TIJA YOYOTE.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
 
Wadau nawasabahi.Binafsi sioni sababu ya kufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025. Sababu zangu ni pamoja na

1. KATIBA iliyopo inaruhusu CCM kuingia Madarakani itakavyo Kama tulivyoona Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 Na Uchaguzi Mkuu 2020 ulivyo CHAFULIWA na CCM ikaingia MADARAKANI na hakuna walichofanywa.

2. Katiba iliyopo inaruhusu CCM KUIBA KURA na Hakuna wa kuhoji au Kupinga.

3. CCM ikikataa Jambo Lake hakuna wa kubisha

Tumeshuhudia IMEKATAA Kuendeleza Mchakato wa Rasimu ya Warioba na kuamua kuanza moja ili mradi kuchelewesha Upatikanaji wa KATIBA MPYA.

Hivyo basi Kufanya Uchaguzi ni Kupoteza Fedha za Umma nashauri Hakuna Haja ya Uchaguzi badala yake VIONGOZI wote wa KUCHAGULIWA waendelee kushika Nyadhifa zao mpaka Mwaka 2030 ili KUOKOA MABILIONI ya Fedha badala ya kuzitumia kwenye Uchaguzi Uchaguzi ambao hauna TIJA YOYOTE.
Mzee wa twitter unajielewa lkn wewe.? Kuna watu humu jamii forum ninashindwa kuelewa kama wanajua wanachokitaka? Uchaguzi uko kwa mujibu wa sheria na haki ya watanzania. Hata kama haki hiyo inaporwa mara nyingi na watu waliozoea dhuluma, ipo siku haki itatamalaki.
 
Wadau nawasabahi.Binafsi sioni sababu ya kufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025. Sababu zangu ni pamoja na

1. KATIBA iliyopo inaruhusu CCM kuingia Madarakani itakavyo Kama tulivyoona Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 Na Uchaguzi Mkuu 2020 ulivyo CHAFULIWA na CCM ikaingia MADARAKANI na hakuna walichofanywa.

2. Katiba iliyopo inaruhusu CCM KUIBA KURA na Hakuna wa kuhoji au Kupinga.

3. CCM ikikataa Jambo Lake hakuna wa kubisha

Tumeshuhudia IMEKATAA Kuendeleza Mchakato wa Rasimu ya Warioba na kuamua kuanza moja ili mradi kuchelewesha Upatikanaji wa KATIBA MPYA.

Hivyo basi Kufanya Uchaguzi ni Kupoteza Fedha za Umma nashauri Hakuna Haja ya Uchaguzi badala yake VIONGOZI wote wa KUCHAGULIWA waendelee kushika Nyadhifa zao mpaka Mwaka 2030 ili KUOKOA MABILIONI ya Fedha badala ya kuzitumia kwenye Uchaguzi Uchaguzi ambao hauna TIJA YOYOTE.
Jibu ni rahisi. Tufuate Katiba ya zamani ili kama kuna mgombea mmoja tu apite bila kupingwa. Hapo ndiyo waambia Wapinzani waachane na hizi kura za Y/N
 
Back
Top Bottom