FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,022
- 2,589
Wakuu umofia kwenu!
Nilikuwa najaribu kwa mara ya kwanza kununua bidhaa ali express kwa kutumia m pesa master card lakini nafeli.
Nikiweka card namba na tarehe ya kujaza naambiwa "we dont accept this kind of card try another.
Tatizo ni nini naombeni msaada?Naambatanisha na screenshot.
Mwl.RCT CHIEF MKWAWA Njunwa wa mavoko
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa najaribu kwa mara ya kwanza kununua bidhaa ali express kwa kutumia m pesa master card lakini nafeli.
Nikiweka card namba na tarehe ya kujaza naambiwa "we dont accept this kind of card try another.
Tatizo ni nini naombeni msaada?Naambatanisha na screenshot.
Mwl.RCT CHIEF MKWAWA Njunwa wa mavoko
Sent using Jamii Forums mobile app