Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,671
- 167,734
Ni huzuni kwakweli ( kwa sauti ya Ruben hakika)Unaweka kwa juu unaanza kuhema kama unakata roho mpaka upande wa pili anaamua akushushe tu usije ukamfia [emoji28][emoji28]
Wakati enzi hizo mtu unaride lisaa na uko good, dah ujana ndio unatupiga teke hivo