Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,125
- 165,407
Ni huzuni kwakweli ( kwa sauti ya Ruben hakika)Unaweka kwa juu unaanza kuhema kama unakata roho mpaka upande wa pili anaamua akushushe tu usije ukamfia![]()
Wakati enzi hizo mtu unaride lisaa na uko good, dah ujana ndio unatupiga teke hivo


