Kufanya mapenzi sehemu hatarishi

juu ya mti wa mpera au mti wa mkorosho, chini ya uvungu wa basi hapo kondom mfuko wa rambo
 
Hapa namaanisha kufanya mapenzi ktk maeneo hatarishi na siyo mapenzi hatarishi,yan kufanyia mapenzi maeneo ambayo hayakupi utulivu wa asilimia mia,na maeneo hayo ni kama vile kufanyia mapenzi ofisini au choo cha ofisi,disco,kwenye siti ya nyuma ya bus la public,vichochoroni nk,hivi wapendwa huwa ujasili unatoka wapi,na je akili uwa zinafanya kaz kweli?sio kwamba nawatuhum wanaofanya hvyo lah!coz hata mi ni walewale.

JF bwana!!! hadi raha. Sijui umewza nini! Na tena ukifanyia mapenzi sehemu kama hizi, tendo hili halisahauliki kirahisi!
 
Kwenye vichaka nako huwa noma. Tena tasmini inaonesha mimba nyingi hutokea sehemu hizo mnazotaja maana hakuna maandaliz
 
Hapa namaanisha kufanya mapenzi ktk maeneo hatarishi na siyo mapenzi hatarishi,yan kufanyia mapenzi maeneo ambayo hayakupi utulivu wa asilimia mia,na maeneo hayo ni kama vile kufanyia mapenzi ofisini au choo cha ofisi,disco,kwenye siti ya nyuma ya bus la public,vichochoroni nk,hivi wapendwa huwa ujasili unatoka wapi,na je akili uwa zinafanya kaz kweli?sio kwamba nawatuhum wanaofanya hvyo lah!coz hata mi ni walewale.

Mapenzi ya kuchetua fasta yananoga sana
 
class ktk seat za nyuma, kama ww na wako mtakuwa nyuma ya wote, anakukalia tuu as if hataki, inakuwa poa
 
Hapa namaanisha kufanya mapenzi ktk maeneo hatarishi na siyo mapenzi hatarishi,yan kufanyia mapenzi maeneo ambayo hayakupi utulivu wa asilimia mia,na maeneo hayo ni kama vile kufanyia mapenzi ofisini au choo cha ofisi,disco,kwenye siti ya nyuma ya bus la public,vichochoroni nk,hivi wapendwa huwa ujasili unatoka wapi,na je akili uwa zinafanya kaz kweli?sio kwamba nawatuhum wanaofanya hvyo lah!coz hata mi ni walewale.

Damu ikichemka u hv to do!
 
kumbe ndo maana mtu wangu wa chuo simsahau kabisa ingawa miaka 9 sasa imepita
ilikuwa ni noumer
JF bwana!!! hadi raha. Sijui umewza nini! Na tena ukifanyia mapenzi sehemu kama hizi, tendo hili halisahauliki kirahisi!
 
kwenye vijumba vya mapumziko mikadi ambako kila dk 5 mtu anakuja kusikilizia kama mnatoka na yeye aingie
 
mmmmnh mi experience yangu wnzi hizo sisemi... mama nanihii asije akarudi kwao buree
 
Ukiona una ujasiri wa kufanya mapenzi sehemu za jumuiya, ujue ufahamu wako umeshikwa na shetani na unaendeshwa anavyotakaNi muhimu kuombewa ili upate neema ya Mungu ufunguliwe.Ni tendo la aibu kwa mwenye akili timamu
 
kwa bahati mbaya hivi vya maeneo hatarishi itseems huwa vinanoga saaaaaaaana lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom