ngoma ya ukae
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 611
- 620
Kwa upande wa pili 'night doze ' huwa inakimbiliwa sana ifanyike ili kupunguza hasira za mwanaume. ..wao wanaamini ukishapanda mlima na kuteremka amani iloyotoweka huwa imerejea.
Ha ha ha![]()
![]()
ww ni mtukutu sana kweli, dawa yako bado iko jikoni inaiva
Nyie wanawake kumaliza ugomvi tumia mbinu za wahenga tu. Kua mpole, mfate jamaa kama kasimama au amekaa piga magoti kwa kunyenyekea kwa dhati hata kama hujawahi fanya hivyo before jilazimishe, then confess makosa yako. Hapo kidume lazima kilainike na mtayamaliza kimahaba. ANGALIZO: Kwa m,akosa ya kufumaniwa au kuhisiwa kuchepuka njia hii haifanyi kazi!Haya na sisi wanawake tupe mbinu ya kumaliza ugomvi
Hata maua si zawadi lakiniwaleta zawadi hao, wasweet sana nimewabusu kokote mliko
Yeah ni zawadiHata maua si zawadi lakini
Basi uswazi wanayapondea maua eti apelekewe nyuki, inapokelewa pesa tu.......nyie wa hivo sijui ndio wengi au wachache?Yeah ni zawadi
Inawezekana njia hiyo ikafaa kwa wife wako, ni exceptional, lakini ya kumgegeda ni universal na hata hiyo yakwako siku iki fail jaribu hii ya universalNjia moja ambayo nikiharibu huwa naanza nayo....
Nachunguza ni kitu gani wife anataka nikirudi misere yangu natanguliza mwanzo kuliko lolote.
Hapo ntaanza kuona tabasam kwa mbaali linaanza kuja lenyewe.
Kuna siku utaharibu vijisenti vitadunda mkuu, chukua maujanja haya weka mfukoni siku isiyo na jina yatakusaidia kamanda wangunyie endeleni na hiyo njia yenu...mimi vijisenti vyangu havijawahi kuniangusha
Uswazi wanasema maua apelekewe nyuki inapokelewa pesa tu!......Sasa wenye mawazo kama yako sijui ndio wengi au wachache?Yeah ni zawadi
Nakuja ila nikukute wapi?Njoo unitibu tafadhali

Hahahaaa, inakukumbusha mengi eeh?Hahahahaaaa uuuwiiii 100% inafanyakazi
Dawa ni kumtunuku mumeo papuchi au kumpa uteuzi mpenzi wako awe makamu wa papuchi yako na atatulia na kuwa na utendaji mkubwa kwako kuliko hata utendaji wa hawa watumishi wa awamu ya mtumbuajiHaya na sisi wanawake tupe mbinu ya kumaliza ugomvi

SanaaaHahahaaa, inakukumbusha mengi eeh?
Maua yananyauka na pesa pesa ni makaratasi tu, dawa ni kuzidisha upendo tu ndio kila kitu, amani, furaha na mafanikio vitawafuatiaHata maua si zawadi lakini
Basi uswazi wanayapondea maua eti apelekewe nyuki, inapokelewa pesa tu.......nyie wa hivo sijui ndio wengi au wachache?
siku hizi wameshaacha baada ya enzi ya magu kuanza 2015 maana ndio walewale waliokuwa wakisema laki si pesa, leo hata sh.100 wanaiheshimu mno sembuse mauaaaa

Kwa sisi wahenga kuna mwimbo wa zamani wa sikinde uliimbwa na Cosmas Chidumule unaitwa ;Usitumie Pesa Kama fimbo' kuna maneno yanasema 'mambo yamapenzi yanataka kwanza makubaliano hapo ndipo pesa hua na thamani'Maua yananyauka na pesa pesa ni makaratasi tu, dawa ni kuzidisha upendo tu ndio kila kitu, amani, furaha na mafanikio vitawafuatia