Kufanya mapenzi ni kumaliza ugomvi

Kufanya mapenzi ni kumaliza ugomvi

Unapima halafu unakimbia majibu...hahahahaa
hata wakikuambia hauna, ukasubiri miezi 3 urudi, ile miezi utaona kama miaka 10. nayo ikiisha utabaki nusu huru hadi mwaka uishe na umepima hospitals karibia tatu au nne. hauamini kutokana na mapito uliyopitia kwa hao wanawake malaya.
 
mimi kuna mmoja nilimpitia, kuja kupata story, anaendaga kujiuza hadi Dubai na south africa. sikuuamini nilichokifanya, siku hizi nimemgeukia Mungu kwa wokovu alionifanyia. serious sitanii, nimeponea chupuchupu. namshukuru Mungu.
 
Mauno unakata, sauti za kimahaba kama kazi, dushe unanyonya na kulichezea, denda unakula na shughuli ikiisha mnuno huendelea kama KAWA!



Mm tukigombna nakupa kitumbua na naendelea kununa kama kawaida alafu huwa sifiki kabisa kileleni kama nimegombana na mpnzi labda unibembeleze kwa maneno matamu

Huo ndo ugonjwa wangu
 
hata wakikuambia hauna, ukasubiri miezi 3 urudi, ile miezi utaona kama miaka 10. nayo ikiisha utabaki nusu huru hadi mwaka uishe na umepima hospitals karibia tatu au nne. hauamini kutokana na mapito uliyopitia kwa hao wanawake malaya.
Kupima ngoma haijawahi kuzoeleka na watu, siku zote ukienda pressure lazima iwe juu
 
Warembo wengine hali ikiwa hivi kwamba wana mnuno na wako kwenye game hulia huku wakitoa ushirikiano tosha kabisa.
Ulijuaje bhn ndugu yangu yan upo sahihi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Shukuru umeumbwa vizuri. Wengine wakishamaliza minuno inaendelea
Hiyo sasa itakua ni hila, yaani unipe mauno na utoe miguno na vilio vya kufuraahia mshinunda halafu urdi kununa tena! basi nakuongezea dozi klidogo mwenyew utaanza kuongea story nyingine
 
Hiyo sasa itakua ni hila, yaani unipe mauno na utoe miguno na vilio vya kufuraahia mshinunda halafu urdi kununa tena! basi nakuongezea dozi klidogo mwenyew utaanza kuongea story nyingine
Mi kwangu hapana. Mmegombana, kitakachofuatia si ndo itakuwa UNANIPA, HUNIPI! Bora hata zawadi
 
Back
Top Bottom