Kufanya mapenzi ni kumaliza ugomvi

Kufanya mapenzi ni kumaliza ugomvi

[emoji23] [emoji23] [emoji23] siku hizi wameshaacha baada ya enzi ya magu kuanza 2015 maana ndio walewale waliokuwa wakisema laki si pesa, leo hata sh.100 wanaiheshimu mno sembuse mauaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
Hahahaaa, laki si pesa milioni poket money! Zitarudi kweli enzi zile?
 
Kwa sisi wahenga kuna mwimbo wa zamani wa sikinde uliimbwa na Cosmas Chidumule unaitwa ;Usitumie Pesa Kama fimbo' kuna maneno yanasema 'mambo yamapenzi yanataka kwanza makubaliano hapo ndipo pesa hua na thamani'
Yeah naikumbuka hiyo afterwards jamaa chidumule akatangaza kuokoka [emoji28] kitambo sana kweli
 
Nyie wanawake kumaliza ugomvi tumia mbinu za wahenga tu. Kua mpole, mfate jamaa kama kasimama au amekaa piga magoti kwa kunyenyekea kwa dhati hata kama hujawahi fanya hivyo before jilazimishe, then confess makosa yako. Hapo kidume lazima kilainike na mtayamaliza kimahaba. ANGALIZO: Kwa m,akosa ya kufumaniwa au kuhisiwa kuchepuka njia hii haifanyi kazi!
Hahaha kufumaniwa ukipiga tu magoti,unapewa teke la tumbo[emoji23]
 
Dawa ni kumtunuku mumeo papuchi au kumpa uteuzi mpenzi wako awe makamu wa papuchi yako na atatulia na kuwa na utendaji mkubwa kwako kuliko hata utendaji wa hawa watumishi wa awamu ya mtumbuaji [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] wengine akikasrka hata papuchi haitaki hata kukutazama usoni hataki
 
Hii ni kwa wanaume. Kama umeharibu kwa mke, mpenzi au rafiki wa kike kwa namna yoyote ile kuna njia nyingi za kuomba msamaha. Kuna wale wanaume wagumu sana kusema sorry nimekosea na wanawageuzia kibao wenzi wao kama defensive mechanism yao, kuna wale ambao hawatamki kuomba radhi moja kwa moja lakini huwaletea wenzao zawadi za thamani kama ishara ya kubembeleza.

Sasa hizo zote ni njia ndefu. Ni kama kuahirisha kesi tu, maana waweza fanya yoote hayo na bado ukaendelezewa gubu au kusimangwa au kusutwa au hata kununiwa. Njia ya uhakika ya kumaliza kesi ni kufanya kila namna utafune mzigo, iwe kwa kumshawishi demu/mke wako au kumvizia (sio kubaka lakini), tena siku hiyo upige show ya uhakika. Basi kama kuna maneno yoyote huo ndio utakua mwisho wake

Yaani hata kama mwanamke alipanga akakushtaki kwa wazazi kama ni mke basi uchawi wake ni huo. Baada ya hapo waweza sasa kuja na vizawadi vyako ambavyo vitapokelewa kwa bashasha na mahaba. Kama kutakua na maneno yatakua ya kawaida na madogo tu na utayamaliza kwa kupewa tena mzigo, safari hii kiulaiiini.

Angalizo ni kwamba njia hii ni kwa wanaume tu, maana kwa wanawake kumlainisha mpezi wako kwa kumpa papuchi inategemea na kosa lako. Kosa linalohusiana na uaminifu kwa maana ya kua unashukiwa kugawa nje hua halifutiki kutoka moyo wa mwanaume kwa muda mrefu na unaweza ukam seduce mpenzi ukampa papa lakini kesi iko palepale! Ni maumbile tu.

Hii ni mbinu ya wahenga ambayo bado ipo valid na inafanya kazi. Hata kwa upande wa dini kwa waislamu kama ukimpa talaka mwanamke (sio ya tatu) halafu uka sex nae automatically umemrudia japo talaka itahesabika
Mwendelezo wa Uzinzi Tanzania (MUT).
 
Hahaha kufumaniwa ukipiga tu magoti,unapewa teke la tumbo[emoji23]
Mwanaume anasamehe meengi sana lakini la kufumania, dah! kaazi kwelikweli. Ni kama kosa uhaini katika nchi au usaliti jeshini na kwenye vita, adhabu yake ni ile kubwa ya mwisho kabisa katika sharia, msamaha wake ni kwa hisani ya muhusika tu
 
Sio siri ni kweli Aisee, wakati bado naendekeza ujana niliwahi kugombana na mpenzi wangu, bahati nzuri huwa napenda kupiga stori na wazee nikiwa kazini, siku nilipogombana na mpenzi wangu siku ya pili yake kama kawaida yangu nikiwa kazini, nikaenda kukaa na mama mmoja ambae tukichukulia kiuhalisia naweza kuwa sawa na mwanawe watatu au wanne. Basi katika maongezi huyu mama akaniuliza " mbona leo hauko kama kawaida yako halafu umepooza" basi sikuwa na haja ya kumdanganya ikanibidi nimuambie ukweli kuwa nimekorofishana na mpenzi wangu, yule mama akaniambia nikisema nitafute kosa kila mmoja atajiona hana kosa kwa mwenziwe ila cha kufanya, nifanye inacyowezekana nikirudi kazini niende kwa mpenzi wangu ili nijitahidi kumweka position na kumgegeda. Basi huwezi amini nilipotoka kazini nikaenda stre8 kwa mpenzi wangu, kila nikimuomba msamaha akawa hataki. Basi nikajaribu kumvizia maeneo yake ya ashki, nilipoyapata sijufanya kosa nilifanya kama vile funguo ya gari inavyofanywa kwenye kuwasha gari na baada ya muda nikamgegeda kama vi3. Baada ya kumaliza na ugomvi ukaishia hapo. Blve me its true.
 
Hahahahaaa ebna i ni kwel kbs hahahaaa umenkumbusha mbali sana bab......nlipomgonga tyu akaanza kukenua kenua lalek na mambo yote yakaishia palepale
 
Sio siri ni kweli Aisee, wakati bado naendekeza ujana niliwahi kugombana na mpenzi wangu, bahati nzuri huwa napenda kupiga stori na wazee nikiwa kazini, siku nilipogombana na mpenzi wangu siku ya pili yake kama kawaida yangu nikiwa kazini, nikaenda kukaa na mama mmoja ambae tukichukulia kiuhalisia naweza kuwa sawa na mwanawe watatu au wanne. Basi katika maongezi huyu mama akaniuliza " mbona leo hauko kama kawaida yako halafu umepooza" basi sikuwa na haja ya kumdanganya ikanibidi nimuambie ukweli kuwa nimekorofishana na mpenzi wangu, yule mama akaniambia nikisema nitafute kosa kila mmoja atajiona hana kosa kwa mwenziwe ila cha kufanya, nifanye inacyowezekana nikirudi kazini niende kwa mpenzi wangu ili nijitahidi kumweka position na kumgegeda. Basi huwezi amini nilipotoka kazini nikaenda stre8 kwa mpenzi wangu, kila nikimuomba msamaha akawa hataki. Basi nikajaribu kumvizia maeneo yake ya ashki, nilipoyapata sijufanya kosa nilifanya kama vile funguo ya gari inavyofanywa kwenye kuwasha gari na baada ya muda nikamgegeda kama vi3. Baada ya kumaliza na ugomvi ukaishia hapo. Blve me its true.[/QUOTE
Hayo ndio maujanja ya wahenga mkuu,hayajawahi kupitwa na wakati, hongera sana
 
Mmmmh sio kwa kila mtu....wengine dick sio weakness yetu !!! Nataka na napenda mwanaume aongee tena kama amenikosea anibembelezee kwa maneno mazuri hata kama ya uongo hapo hata mambo nitakupa ya uhakika kutoka moyon nikiwa na furaha afu ukinispoil kidogo ndo umenimaliza kila kitu ....... Sio jitu umenikosea kuomba msahama hutaki afu eti unataka mambo weeeeeeeeeee huo mnuno wake kwanza husogei karibu !!!!
 
Mmmmh sio kwa kila mtu....wengine dick sio weakness yetu !!! Nataka na napenda mwanaume aongee tena kama amenikosea anibembelezee kwa maneno mazuri hata kama ya uongo hapo hata mambo nitakupa ya uhakika kutoka moyon nikiwa na furaha afu ukinispoil kidogo ndo umenimaliza kila kitu ....... Sio jitu umenikosea kuomba msahama hutaki afu eti unataka mambo weeeeeeeeeee huo mnuno wake kwanza husogei karibu !!!!
Bibie, utanuna mwanzo lakini akikushawishi ukalainika halafu ukampa mambo mwenyewe utafuta kesi, utabaki unaongea softly tu huku umebana pua 'mi bwana sitaki mambo yako uache sasa'. Chezea dick wewe?
 
Back
Top Bottom