Kufanya mapenzi ni kumaliza ugomvi

Kufanya mapenzi ni kumaliza ugomvi

Hapana mkuu..
Hizi mambo hata kwa sie watoto wa wahenga vipo sana....
wachache tu ndio wanashindwa lielewa hilo eidha hawajui ama hakuna mapendo ya kweli
Hongereni nyie wachache, maana hiyo ingekuwepo basi tusingeona malalamiko humu kila leo
 
Nilimkosea mke wangu asa katika kubembeleza si nikapiga show....baada ya hapo ndo ikawa balaa.
Akasema 'huyo mchepuko ndo anapata raha hivi.'....kilio kikazidi
 
Nilimkosea mke wangu asa katika kubembeleza si nikapiga show....baada ya hapo ndo ikawa balaa.
Akasema 'huyo mchepuko ndo anapata raha hivi.'....kilio kikazidi
 
Hongereni nyie wachache, maana hiyo ingekuwepo basi tusingeona malalamiko humu kila leo
Tatizo ni wahusika wenyewe, sio kila swala ni lakufungulia uzi, izo uonazo wewe pengine ni stori tu za kutungwa, na wachache wenye hulka ya kuposti kila jambo watalokutana nalo badala ya kukaa chini kuyajenga yalio mema.

Tuwe na utashi!!...
 
Tatizo ni wahusika wenyewe, sio kila swala ni lakufungulia uzi, izo uonazo wewe pengine ni stori tu za kutungwa, na wachache wenye hulka ya kuposti kila jambo watalokutana nalo badala ya kukaa chini kuyajenga yalio mema.

Tuwe na utashi!!...
Lakini hata kwenye jamii tunazoishi tunaona uhalisia ulivyo!!! Wengi hutoa tunda kama wajibu
 
Lakini hata kwenye jamii tunazoishi tunaona uhalisia ulivyo!!! Wengi hutoa tunda kama wajibu
Tunda ni wajibu ndio kwa yule anaedeserve..
Tunda lina raha yake upewe kwa moyo mmoja(kihisia + kiwajibu) lkn sio kutoa kwasababu unabidi utoe
 
Hahaha wacha mujue tuu Demiss
Kizuri zaidi tunajua hata nyie dudu ndio ugonjwa wenu, ikitokea mwanamke akalikosa dudu uwa anakuwa haeleweki, chuki chuki muda wote, mkali n.k
Lakini akisha pata dudu, anapona ha ha
Wala mm hakuna kitu sikipendi kama dudu labda huyo mwanaume niwe nimempenda nusu kufaa bila hivyo snaga hamu na dyudyu
 
Ha ha Demiss umefikishwa kwenye ulingo wako, wapenda sana wewe hizi mada haha nadhani alae kitumbua hicho anafahidi sana
Yan sio kwa mahaba alafu niwe nampenda uwiiiii nitaongea maneno yotee

Nitazungusha uno kama feni za mwananyamala hospital

Nitampapasa taratibu kama mwendo wa konokono
 
Hii ni rushwa ya ngono mkuu

*Unamtandika mtoto konzi ya maana, anaanza kulia kwa sauti unanunua biskuti unampatia, alaf unamuuliza, ni nani amekupiga, anamtaja mtu mwingine tofauti na wewe...hivyo ndo rushwa ilianza Africa*
 
Ndio njia yangu mkuu ninayotumia kuomba msamaha alafu ukizingatia kuwa situmii kilevi chochote ,hivyo naisugua hiyo puchipuchi vizuri sana,kila mechi natatumia dk 45 coz nakomaa mpaka na v4,baada ya hapo nakuwa nimesamehewa makosa yooote ya duniani labda akhera!
 
Ndio njia yangu mkuu ninayotumia kuomba msamaha alafu ukizingatia kuwa situmii kilevi chochote ,hivyo naisugua hiyo puchipuchi vizuri sana,kila mechi natatumia dk 45 coz nakomaa mpaka na v4,baada ya hapo nakuwa nimesamehewa makosa yooote ya duniani labda akhera!
Dakika 45?
Na mkimaliza anakunywa paracetamol au?
 
Hahaha wacha mujue tuu Demiss
Kizuri zaidi tunajua hata nyie dudu ndio ugonjwa wenu, ikitokea mwanamke akalikosa dudu uwa anakuwa haeleweki, chuki chuki muda wote, mkali n.k
Lakini akisha pata dudu, anapona ha ha
Na kale ka-ugonjwa ka kuchekacheka.
 
Back
Top Bottom