Kufanya mapenzi ni kumaliza ugomvi

Kufanya mapenzi ni kumaliza ugomvi

Uo ushauri ungeend Kumpa Joyce kiria na mumewe kama sex ni dawa
 
Uo ushauri ungeend Kumpa Joyce kiria na mumewe kama sex ni dawa
Kuna wengine ni ma born naughty kama huyo Joy, lakini pia hapa tunazungumzia yale makosa genuine ambayo mwanaume kamfanyia mtu wake, sio kwa ma gold diggers
 
Wameanguka wengi kwa hiyo kitu dada, Wafalme na Marais, Makuhani , Mapadri, Wachungaji, Mashehe Na Maustaadhi....hapana chezea
Kabisaaa kabisa papucheee sio kitu cha mchezo kabisa kwenye hii dunia
Imeua watu
Imefanya watu wawe vichaaa
Imegombanisha watu
Imefilisi watu
Papuchee tuuu hiiii ualallalalalalah papuche wewe wacha nikutunze tu
 
Sio kweli wala hamu ya kula mzigo inaisha hata mgogolo upatiwe ufumbuzi
 
Kabisaaa kabisa papucheee sio kitu cha mchezo kabisa kwenye hii dunia
Imeua watu
Imefanya watu wawe vichaaa
Imegombanisha watu
Imefilisi watu
Papuchee tuuu hiiii ualallalalalalah papuche wewe wacha nikutunze tu
Utaitunzaje peke yako?! hebu tafuta wa kukusaidia, si unajua inagharama kuitunza?
 
Utaitunzaje peke yako?! hebu tafuta wa kukusaidia, si unajua inagharama kuitunza?
Kuna mtu nilitaka nimtunuku papucheee hot aitunze ila naogopa kumtongozaa

Asije niona mm malaya bure wacha niendelee kuitunza papuche yanguuuu
 
Mm tukigombna nakupa kitumbua na naendelea kununa kama kawaida alafu huwa sifiki kabisa kileleni kama nimegombana na mpnzi labda unibembeleze kwa maneno matamu

Huo ndo ugonjwa wangu
Ha ha Demiss umefikishwa kwenye ulingo wako, wapenda sana wewe hizi mada haha nadhani alae kitumbua hicho anafahidi sana
 
Kwa wahenga ilikuwa suluhisho... Ila kwa kizazi cha sasa mmmmh!!!
Hapana mkuu..
Hizi mambo hata kwa sie watoto wa wahenga vipo sana....
wachache tu ndio wanashindwa lielewa hilo eidha hawajui ama hakuna mapendo ya kweli
 
Back
Top Bottom