Kufanya mapenzi( Ngono) siyo dhambi.

Kufanya mapenzi( Ngono) siyo dhambi.

Sasa bwana Zero IQ kama umekubali kuiba ni dhambi kwanini unakataa kuwa uasherati/uzinzi sio dhambi?

Ok, let's say kuiba tuu ndio dhambi.Nikienda kuzini na jirani anayenishobokea, sinitakua nimeiba tamu ya mke wangu na kumpelekea jirani?Au kuna tofauti gani na kuiba perfume ya wife na kumpa huyo jirani?
 
Zero IQ mimi ndio naamini hivyo kwangu kufanya mapenzi (ngono) siyo dhambi .

Ukiniuliza kwa nini nitakujibu tu kwamba ni ka mbinu tu walichotumia wazungu ili tuogope kujipimia utamu kwa mademu zetu wakali (wenye Chura,makinikia) kama yule siti nani sijui waliomuweka kwenye makumbusho yao,

Wanaume tumeumbwa Rijari kwa kazi moja tu ya kibiolojia sasa kwa nini iwe dhambi,

Unaogopa kuitafuna papuchi ya jirani anaekushobokea kisa eti umeoa unaogopa dhambi, ,

Ulishawahi kujiuliza kwa nini Mungu kaumba wanawake wengi kuliko wanaume yaani ile Ratio ya 4:1?

ingekuwa kufanya mapenzi dhambi basi ata ratio ingekuwa sawa yaani 1:1,

Mfalme suleiman alikuwa kipenzi cha Mungu hadi kufikia hatua ya kupewa hekima na utajiri usiomisilika lakini hakuona dhambi kuwa na mademu 700 plus masuria (michepuko) 300,

Wewe na kademu kako kamoja eti unaogopa kumcheat kwa kuogopa dhambi? nani kasema .


Dhambi ni kuiba mali ya mtu ,kumtukana mtu na kumkosea heshima,kuua na zingine nyingi lakini siyo kufanya mapenzi,

Nawaambia ingekuwa dhambi hakika muumbaji asingekubali hii update ya mademu wa siku hizi wenye chura ipitishwe .


Cc Zero IQ.


Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kabisa. Kufanya mapenzi (ngono) ndani ya ndoa siyo dhambi.

Dhambi ni uzinzi na uasherati.

Hata ratio uliyoiweka inakubalina kabisa na ndoa za Kiislam za mpaka wake wanne.
 
Kwa taarifa yako simu yangu haina ata password na mpenz wangu yuko free any time kushika na kuitumia,

Michepuko yangu yote nawasiliana nao kwa code zangu maalumu nilizozibuni ili iwe ngumu ata baby kutambua,

Mpenzi wangu hajui chochote ata ile kuhisi tu hawezi maana siaribu sana maeneo ya kitaa mi ni huko kitaa kingine .

Heshima kama yote mixer kumcare japo nina kajob kangu ka kiepe hapo atahisi nini sasa mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Salute mkuu

Mzoefu wa hizo mambo
Unastahili tuzo.

Watu na code zenu daah!,tunaibiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa bwana Zero IQ kama umekubali kuiba ni dhambi kwanini unakataa kuwa uasherati/uzinzi sio dhambi?

Ok, let's say kuiba tuu ndio dhambi.Nikienda kuzini na jirani anayenishobokea, sinitakua nimeiba tamu ya mke wangu na kumpelekea jirani?Au kuna tofauti gani na kuiba perfume ya wife na kumpa huyo jirani?
Pafyumu imegharamiwa ni mali ya mtu mwingine ila dushe ni mali yako na wewe ndio mmiliki mkeo ni share Holder tu ndio maana ata akikuzingua wewe unaondoka na dushe lako na yeye anaondoka na papuchi yake,

Kuitumia kwa mwingine siyo dhambi kwa sababu wewe utakuwa unatumia mali yako unayoimiliki mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi kabisa. Kufanya mapenzi (ngono) ndani ya ndoa siyo dhambi.

Dhambi ni uzinzi na uasherati.

Hata ratio uliyoiweka inakubalina kabisa na ndoa za Kiislam za mpaka wake wanne.
Mi sijazungumzia kwenye ndoa pekee mkuu nimezungumzia in general.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pafyumu imegharamiwa ni mali ya mtu mwingine ila dushe ni mali yako na wewe ndio mmiliki mkeo ni share Holder tu ndio maana ata akikuzingua wewe unaondoka na dushe lako na yeye anaondoka na papuchi yake,

Kuitumia kwa mwingine siyo dhambi kwa sababu wewe utakuwa unatumia mali yako unayoimiliki mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah, kwahiyo nayeye akienda kumpa jirani anayemshobokea ni sawa?
 
Ulishawahi kujiuliza kwa nini Mungu kaumba wanawake wengi kuliko wanaume yaani ile Ratio ya 4:1?
Kwa sababu moja tu kuwatafuna na kuijaza dunia unajua mpaka leo ni 1/4 tu ya ardhi duniani ndio wanaishi watu iliyobaki yote ni misitu na jangwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu aliwekewa na nani mkuu na nani alikuwa shahidi? Wazee wetu kabla hawakuwa na sheria hii ndio maana walikuwa wanawake zaidi ya mmoja na ata masuria (michepuko) ya kutosha huko nje ina maana aliyeweka hii sheria hakuwaona kabla na kuwapa binadamu wote mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app



Wewe katika karne ya leo unataka kuishi kama alivyoishi mzee wako wa zamani??😁😁😁, mzee asiyejua Laptop wala smartphone!!, si ajabu hata baiskeli haijui na wala hata hakuiiona.
 
Zero IQ mimi ndio naamini hivyo kwangu kufanya mapenzi (ngono) siyo dhambi .

Ukiniuliza kwa nini nitakujibu tu kwamba ni ka mbinu tu walichotumia wazungu ili tuogope kujipimia utamu kwa mademu zetu wakali (wenye Chura,makinikia) kama yule siti nani sijui waliomuweka kwenye makumbusho yao,

Wanaume tumeumbwa Rijari kwa kazi moja tu ya kibiolojia sasa kwa nini iwe dhambi,

Unaogopa kuitafuna papuchi ya jirani anaekushobokea kisa eti umeoa unaogopa dhambi, ,

Ulishawahi kujiuliza kwa nini Mungu kaumba wanawake wengi kuliko wanaume yaani ile Ratio ya 4:1?

ingekuwa kufanya mapenzi dhambi basi ata ratio ingekuwa sawa yaani 1:1,

Mfalme suleiman alikuwa kipenzi cha Mungu hadi kufikia hatua ya kupewa hekima na utajiri usiomisilika lakini hakuona dhambi kuwa na mademu 700 plus masuria (michepuko) 300,

Wewe na kademu kako kamoja eti unaogopa kumcheat kwa kuogopa dhambi? nani kasema .


Dhambi ni kuiba mali ya mtu ,kumtukana mtu na kumkosea heshima,kuua na zingine nyingi lakini siyo kufanya mapenzi,

Nawaambia ingekuwa dhambi hakika muumbaji asingekubali hii update ya mademu wa siku hizi wenye chura ipitishwe .


Cc Zero IQ.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mkuu Zero IQ kutembea na mje wa mtu sio wizi wala sio kumkosea mwenye mke heshima??
 
Write your reply...halaf kwel ngoja nifate ushauri wako.SENT BY TECNO AMBER RUTTY AG 7 using jamiiforums
 
Back
Top Bottom