Dinnah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 791
- 1,060
Yani vingine ni kujitafutia karma
Mwana kuyatafuta,mwana kuyapata
Ila Zero IQ nawe kugongewa ni sawa au mkuki kwa nguruwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani vingine ni kujitafutia karma
Zero ,lakini mkuu kama kufanya ngono na mke wako siyo dhambi kwa nini iwe ukifanya mapenzi kwingine ndio iwe dhambi wakati tendo ni moja tu (kutinduana)
Sina jibu la kukuridhisha mkuu mana tayari wewe unajua kuwa kufanya ngono si dhambi.. Endelea hivyohivyo mpaka Siku ukiamua kubadilika kuwa ufanyaji ngono ni dhambi..
Huyo zero IQ anaweza kuwa mume wako,na nyumbani kwako yuko vzr tu,kumbe ww ujuiNamuonea huruma kwakweli
Kama kweli uandikavyo ndivyo ulivyo in real life
Hivi akikaa na wenzake anasema Nina baby wangu zero IQ ananipenda,namuamini sana yani nimetulia kwa ajili yake,hamna wa kunivua kufuli zaidi yake
Angejua huyo zero IQ yupoje,jf peke etu ndo tunajua mwee kama namuona vile alivyokituliza nyumbani kusubiri Mr apakute safi,mtoto wa watu kama hajasafisha kashanunua zake Gillette ukute safi na kaogea na sabuni ya ayuu anukie kumbe Mr mwenyewe kila siku anarufi ana jasho jipya mhhh!!!!!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
We umeshaona mwanamke mwenye waume zaidi mmoja mkuu ?Yani vingine ni kujitafutia karma
Mwana kuyatafuta,mwana kuyapata
Ila Zero IQ nawe kugongewa ni sawa au mkuki kwa nguruwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali hayo yana ukakasi kujibu mkuu labda ujaribu kwa members wengineZero ,lakini mkuu kama kufanya ngono na mke wako siyo dhambi kwa nini iwe ukifanya mapenzi kwingine ndio iwe dhambi wakati tendo ni moja tu (kutinduana)
Sent using Jamii Forums mobile app
Zero IQ mimi ndio naamini hivyo kwangu kufanya mapenzi (ngono) siyo dhambi .
Ukiniuliza kwa nini nitakujibu tu kwamba ni ka mbinu tu walichotumia wazungu ili tuogope kujipimia utamu kwa mademu zetu wakali (wenye Chura,makinikia) kama yule siti nani sijui waliomuweka kwenye makumbusho yao,
Wanaume tumeumbwa Rijari kwa kazi moja tu ya kibiolojia sasa kwa nini iwe dhambi,
Unaogopa kuitafuna papuchi ya jirani anaekushobokea kisa eti umeoa unaogopa dhambi,,
Ulishawahi kujiuliza kwa nini Mungu kaumba wanawake wengi kuliko wanaume yaani ile Ratio ya 4:1?
ingekuwa kufanya mapenzi dhambi basi ata ratio ingekuwa sawa yaani 1:1,
Mfalme suleiman alikuwa kipenzi cha Mungu hadi kufikia hatua ya kupewa hekima na utajiri usiomisilika lakini hakuona dhambi kuwa na mademu 700 plus masuria (michepuko) 300,
Wewe na kademu kako kamoja eti unaogopa kumcheat kwa kuogopa dhambi?nani kasema .
Dhambi ni kuiba mali ya mtu ,kumtukana mtu na kumkosea heshima,kuua na zingine nyingi lakini siyo kufanya mapenzi,
Nawaambia ingekuwa dhambi hakika muumbaji asingekubali hii update ya mademu wa siku hizi wenye chura ipitishwe .
Cc Zero IQ.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubaya ni kumuonyesha mkuu,kama namjari na kumpa kila itaji lake dhambi iko wapi ?Namuonea huruma kwakweli
Kama kweli uandikavyo ndivyo ulivyo in real life
Hivi akikaa na wenzake anasema Nina baby wangu zero IQ ananipenda,namuamini sana yani nimetulia kwa ajili yake,hamna wa kunivua kufuli zaidi yake
Angejua huyo zero IQ yupoje,jf peke etu ndo tunajua mwee kama namuona vile alivyokituliza nyumbani kusubiri Mr apakute safi,mtoto wa watu kama hajasafisha kashanunua zake Gillette ukute safi na kaogea na sabuni ya ayuu anukie kumbe Mr mwenyewe kila siku anarufi ana jasho jipya mhhh!!!!!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu aliwekewa na nani mkuu na nani alikuwa shahidi? Wazee wetu kabla hawakuwa na sheria hii ndio maana walikuwa wanawake zaidi ya mmoja na ata masuria (michepuko) ya kutosha huko nje ina maana aliyeweka hii sheria hakuwaona kabla na kuwapa binadamu wote mkuu?Kweli wewe ni ZERO IQ,!!?, kwani hujui hapa Panya na wadudu wengine na hata miti nao hufanya ngono??!!, Utofauti ni kwamba wao wanaweza kufanya ngono kiholela yaani baba,mama,mtoto nk, hawachaguani, sasa ndiyo maana binadamu akawekewa "restrictions", kwanza aoe/aolewe na mtu maalumu ili kupata uzao ulio genetically pure ndiyo maana ngono kwa upande wa binadamu ni restricted issue na siyo kama ngono za mbwa na mbuzi.
Upo hapo??!!.
Hakika mkuu umenena vyemaHuyo zero IQ anaweza kuwa mume wako,na nyumbani kwako yuko vzr tu,kumbe ww ujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukakasi gani mkuu we una afiki kwamba kufanya mapenzi ni dhambi?Hakika mkuu ZERO IQ unalitendea mema jina lako japo ukakasi ni mwingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu,sema bahati nzuri sijaolewa,hata mchumba wa kumchunga sina maana ningeanza kumuwinda mumeHuyo zero IQ anaweza kuwa mume wako,na nyumbani kwako yuko vzr tu,kumbe ww ujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo kungonoka ni dhambi kama yasemavyo maandiko lakini sina hoja ya kuitetea kwahiyo siko upande wowote
Kwa taarifa yako simu yangu haina ata password na mpenz wangu yuko free any time kushika na kuitumia,Kabisa mkuu,sema bahati nzuri sijaolewa,hata mchumba wa kumchunga sina maana ningeanza kumuwinda mume
Maana wivu nilonao naweza jigeuza niwe cctv camera niangaze kila kona,
aiseee,mume wangu mtarajiwa jipange maana zero IQ ananifundisha nitakuwa nakaba mpaka penat,sikuachii hata nafasi simu yako yangu,yangu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ata maandiko yangu yaamini pia mkuu .Ndiyo kungonoka ni dhambi kama yasemavyo maandiko lakini sina hoja ya kuitetea kwahiyo siko upande wowote
Sent using Jamii Forums mobile app