Kufanya kazi Ulaya

Kufanya kazi Ulaya

Strong25

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
426
Reaction score
912
HABARINI HUMU
POLENI KWA MIHANGAIKO

Kama kichwa cha habari kinavyosema. Nina plan yakwenda kufanya kazi nchi zawenzetu kama vile canada, marekani, au hata uarabuni

Ila sijui A B wala C kuhusu hizo nchi ama hayo mataifa. Sina ndugu huko wala jamaa ambae anaweza nifanyia mipango yakufika huko

Naona mitandaoni watu wanasema kuna ma-agent ambao wanaweza wafanikisha hilo zoezi.

Lengo langu nikufika huko nakufanya kazi. Sitaki kwenda kama mtalii wala kwenda kama mwanafunzi mana hivyo vigezo vyote sina (sina pesa wala sio msomi ).

Najua humu kuna watu watakua niwazoefu wamaswala haya au hata pengine kuna watu mnawafaham ambao wanafanya hizo kazi . So naomba mnifungue ubongo ili nijue wapi naanzia .

NOTE; kama kweli unazijua hatua zote Usisite nicheki PM _NAWASILISHA
 
1- Unaujuzi gani?
2- Unauzoefu ama unauwezo wa kufanya kazi gani?
3- Una umri gani?
4- Una akiba ya pesa kiasi gani?
#uzoefu wakazi na ujuzi naona kama niswali moja _ujuzi wangu ufundi alluminium.

Kuhusu akiba sijaelewa swali linalenga akiba yamtindo gani (yan akiba pesa yakumpa mtu anifanyie hizo process ama akiba pesa itakayo nisaidia baada yakufika huko..?)

_umri kijana under 30
 
Kazi zipo nyingi mkuu kuna kubeba boxi kutunza wazee ulinzi kwenye casino kwenye migahawa
Kwa marekani Atlanta pale Kuna kazi hizo nilizo taja pitia dar mpaka doha afu Doha mpaka Atlanta ni route rafiki na sio bei saaana ni kama milioni 2,885,493 kwa Qatar airways
 
Kazi zipo nyingi mkuu kuna kubeba boxi kutunza wazee ulinzi kwenye casino kwenye migahawa
Kwa marekani Atlanta pale Kuna kazi hizo nilizo taja pitia dar mpaka doha afu Doha mpaka Atlanta ni route rafiki na sio bei saaana ni kama milioni 2,885,493 kwa Qatar airways

Na aondoke kwenda US kwa visa ipi?

Maana kama hana visa inayoeleweka, safari yake itaishia Doha akikutana na screening officers airport...
 
Back
Top Bottom