Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,312
- 79,991
Nenda ofisi ya ubalozi wa marekaniNapataje hio visa kwanjia rahisi kutokana na mahitaji yangu..??
Nenda ofisi ya ubalozi wa marekaniNapataje hio visa kwanjia rahisi kutokana na mahitaji yangu..??
Ashasema hana elimu yoyote.Usha apply DV lottery? Mwisho ni tarehe 5 November
Brother kwemaMkuu mi nina mtu ana connection za kwenda dubai..
Kufanya kazi airport kama mfanya usafi ila sasa wanahitaji uwe na cheti
Daaah ndgu yangu...Brother kwema
Safi kakaDaaah ndgu yangu...
,za miaka kwanza .....🙏🙏🙏
Kaka tupo pamoja sana .Safi kaka
Nilikuwa bize na series kakaKaka tupo pamoja sana .
Mbona kama ulikua kimya kwa mda au ni vile mambo mengi ndgu yangu
Wee jau sana...Nilikuwa bize na series kaka
Kalii sana hiyo nilicheki mwaka janaWee jau sana...
Kuna mzigo unaitwa night agent
Ili uweze kufika nchi za ulaya au America unatakiwakiwa uandae vitakavyokufanya upate visa ubalozini.#uzoefu wakazi na ujuzi naona kama niswali moja _ujuzi wangu ufundi alluminium.
Kuhusu akiba sijaelewa swali linalenga akiba yamtindo gani (yan akiba pesa yakumpa mtu anifanyie hizo process ama akiba pesa itakayo nisaidia baada yakufika huko..
Duuh kuna seson twooKalii sana hiyo nilicheki mwaka jana
Inakuja mwakani brotherDuuh kuna seson twoo
Mkuu nifanyie wepesi hali ni tete.Mkuu mi nina mtu ana connection za kwenda dubai..
Kufanya kazi airport kama mfanya usafi ila sasa wanahitaji uwe na cheti
Kaka mii now nipo na series kama zote sema sijapata mda tuu wa kuanza kufatilia ila daah show kali mkuuInakuja mwakani brother
Kalii sana hiyo kakaKaka mii now nipo na series kama zote sema sijapata mda tuu wa kuanza kufatilia ila daah show kali mkuu
Mkuu tatizo ndgu wenyewe wanajifanya wana mambo mengi ..Mkuu nifanyie wepesi hali ni tete.
Brother ile ishu ya Russia uliishia wapi?Kwa ulivyojieleza huna 'backup' yoyote kama mambo yatakuendea kombo huko, ni sawa na kukubali kuwa kiongozi wa Hamas.
Bora ule mlo mmoja kwa siku, lakini una uhakika wa uhai wako.