Kufanya kazi Ulaya

Kufanya kazi Ulaya

Ili uweze kufika nchi za ulaya au America unatakiwakiwa uandae vitakavyokufanya upate visa ubalozini.
1.passport
2.Bank statement
3.cheti cha ndoa
4.cheti cha mtoto
5.barua ya mwajiri
6.Hati ya nyumba
8.chanjo ya Corona
9.chanjo ya manjano
10.barua ya polisi (tabia njema)
11.Booking hotel
12.Booking ticket
13.Travel insurance
NB: ukipata visa ukifika ulaya itakubidi ujipige ukimbizi ili upate sheria ya nchi husika.
Kwahiyo unapotoka huku hakikisha umeandaa kesi ukifika huko.
Hii dunia ni kama mmechorewa mstari wa huku hakuna kufika huku ila wa kule wanafika bila shida..

Ni kama tunaambiwa msituletee shida zetu huku.
 
kama kuna namna unajua unaweza nisaidia njia zakupita usisite kufanya hivyo
Kama una elimu ya form four,Kajaze green card ubahatishe. Inajazwa kila mwaka. Bahati nzuri kule kwenye green card hawaangalii ujuzi wako. Japo nako ili uelekezwe vizuri kwa mtu mmoja ni elfu 30. Kama na mke ni elfu 60.
 
Kama una elimu ya form four,Kajaze green card ubahatishe. Inajazwa kila mwaka. Bahati nzuri kule kwenye green card hawaangalii ujuzi wako. Japo nako ili uelekezwe vizuri kwa mtu mmoja ni elfu 30. Kama na mke ni elfu 60.
Hiyo si mpaka uwe na degree mkuu au
 
Canada na Marekani sio ulaya, huko ni America. Kichwa cha uzi na content haviendani.
 
Duh nikajua iyo inawahusu wenye degree tuu, ahsante kwa kunijuza mkuu.

Kati ya vitu tunakosa ni taarifa sahihi, pia kuogopa Kuna ndugu yangu yeye ana miaka miwili ulaya alivyofika huko alifanya kazi hotelin Kwa miezi nane wakati anacheki uelekeo wakati anaomba ushauri Kwa waliotangulia huko walikuwa wanampa ushauri wa uoga kuwa kazi flani uwezi pata ndo maana wengi unakuta wanafanya kazi kwenye nyumba za wazee na afya yeye amekomaa hadi sasa hivi anafanya kazi shirika kubwa ambalo hadi wazawa wanamuuliza amewezaje kufanya kazi hapo maana inadili na kutoa malipo Kwa wale ambao Awana kazi, wakimbizi na kadharika walio nje wanaweza kuelewa taasisi hiyo jinsi ulivyo nyeti Kwa bongo nisawa na taasisi Tamu kama BOT au TCRA na kadharika ambazo kila mzazi anatamani mwanae afanye kazi hapo
 
HABARINI HUMU
POLENI KWA MIHANGAIKO

Kama kichwa cha habari kinavyosema. Nina plan yakwenda kufanya kazi nchi zawenzetu kama vile canada, marekani, au hata uarabuni

Ila sijui A B wala C kuhusu hizo nchi ama hayo mataifa. Sina ndugu huko wala jamaa ambae anaweza nifanyia mipango yakufika huko

Naona mitandaoni watu wanasema kuna ma-agent ambao wanaweza wafanikisha hilo zoezi.

Lengo langu nikufika huko nakufanya kazi. Sitaki kwenda kama mtalii wala kwenda kama mwanafunzi mana hivyo vigezo vyote sina (sina pesa wala sio msomi ).

Najua humu kuna watu watakua niwazoefu wamaswala haya au hata pengine kuna watu mnawafaham ambao wanafanya hizo kazi . So naomba mnifungue ubongo ili nijue wapi naanzia .

NOTE; kama kweli unazijua hatua zote Usisite nicheki PM _NAWASILISHA

Mkuu mbona hizo sehemu zote ulizosema sio ulaya?
 
#uzoefu wakazi na ujuzi naona kama niswali moja _ujuzi wangu ufundi alluminium.

Kuhusu akiba sijaelewa swali linalenga akiba yamtindo gani (yan akiba pesa yakumpa mtu anifanyie hizo process ama akiba pesa itakayo nisaidia baada yakufika huko..?)

_umri kijana under 30
Haha ujawa kijana Tanzania hii under 30 ni mtoto, vijana wako UVCC over 45.
Usiogope, maisha hayana fundi, nenda kokote kaanze kivyako, sisi tutajifunza kwako.

Ukiona namna gavi vipi we likite hapa hapa, maisha siyo lazima ufanikiwe wala noni, au siyo?
 
Back
Top Bottom