Kufanya kazi serikalini vs kufanya kazi sector binafsi.

Tatizo huko serikalini akili inalemaa mno ikiridhika na take home na kusubiria mafao. Ila private akili inakua aktiv sana hasa bos akikushaout kesho tu utafikiria kua na kibiashara chako na hatimae utakua tajiri wewe kuliko utakapokimbilia serikalini.

Umeongea mkuu,serikalin unadumaa na takehome,mikopo ,na perdiem kama zipo.
Huku private hizo memo,contract za mwaka mmoja mmoja zinakupa changamoto ya kuthink out of the box. Namwomba Mungu tu this same mwajiri anipe 5 years with him.then sitahitaj kuajiriwa tena for the rest of my life. Amen
 
Kwa nini umdanganye mwenzio
? Hili ni tatizo kubwa la watz. wakijua mwenzao atanufaika wanaleta mbovu. Hivi TBL ni URT businesss. Acha kufikiri kama chungu cha mama jikoni kwenu

Duh sasa mbona unaniattack kwa kusema nilichoona mimi by the way sijamlazimisha coz anatakiwa achague anapoona patamfaa. Kwangu mimi nmeona government ndo kutanifaa coz hata hio kampuni ya private iliyonitaka hawakua ready kunipa mshahara kama huu wa government.
 
nenda serikalini ndugu mimi nimeajiriwa sector binafsi lakini mateso ninayoyapata najuta serikalini pazuri kuna usalama wa kazi
 
Hapo hapo ulipo mwanangu shikilia channel usiachie haujawai kusikia mtu analala na njaa ndani ya paris ufaransa? Au kwa kua mji wa maraha basi unajua hawalambi galasa? Kufanya kazi serikalini ni uoga wa maisha!! Security what the fvck? Unataka kufanya kazi miaka 100? Kazi ni miaka mi5 tu kutafuta capital,channel then kujiajiri baasi.

Serikalini mshahara mdogo....tena ukiwa chini ya halmashauri ndio kabisaaa kuna majungu majungu...km ni malipo ya allowance watu wanapeana kwa kujuana..kurogana ndo usiseme...huko faida yake ni mikopo na security kwamba uko free kusafiri ht mwezi..but kikazi unadumaa..ungepata shirika la uma km wizarani..bot.au mashirika ya serikali ningekushauri uende lakini ofisi zilizo chini ya tamisemi ni hovyoooooo....talking from experience....
 
Inategemea private upo sector ipi au kampuni gani?

Simsharui mtu kutoka kampuni inayojielewa na inalipa vizuri wafanyakazi wake aache kazi private aende halmashauri labda awe na kichaa..

Yaani mtoto mdogo unatoka chuoni unawaza mafao ya kustaafu na job security ambayo ni almost 40 years to come ndio utaipata..

Watoto wa town kazi za serikalini hatuziwezi hata kidogo, mshahara wa tgsd hadi uje kuuzoea ni zaidi ya adhabu..

Private ni accountability tu na changamoto za kazi zinakufanya uwe effective hata ukijiajiri as hakuna uzembe uzembe..
 
kwenye kazi za serikali bila kuiba huwezi kufanikiwa mfano mm nafanya serikalini nalipwa sh.laki tatu kwa mwenzi nazipata kwa shda ..nasaini dili la million nne kwa nn nsiibe???
 
kwenye kazi za serikali bila kuiba huwezi kufanikiwa mfano mm nafanya serikalini nalipwa sh.laki tatu kwa mwenzi nazipata kwa shda ..nasaini dili la million nne kwa nn nsiibe???

Nakuja kukukamata
 
U INSPIRE ME AISEE....SIPENDI KUAJIRIWA ALL MY LIFE,ENTREPRENEURSHIP IS THE REAL DEAL,nipo kwny mchakato kusimamisha my own business nifanye othr things in life zaid ya kuamka every morning to mwajiri...INSHALLAHH NTAFIKA SOON

Fantastic. Mi niliajiriwa Serikalini February 2013 kwa uvivu huohuo wa kufikiria job security. Nimefanya nao only six months nikaona office haifai Majungu mpaka basi hadi nikawa nahofia usalama wangu. Nimewapisha nimerudi private nimechagua pa kuishi nifanye mambo yangu. Nakubali napata misukosuko ambayo kimsingi niliitarajia na ndo ilikuwa basis kwenye maamzi yangu wakati nang'atuka. Nilichokifanya nilichoma madaraja yote nyuma ya safari yangu ili nisipate namna ya kurudi nyuma. God bless my way.
 
Me nmepangwa Arusha cjafikiria mara mbili naenda Government na kuna jamaa wa private walikua wananitaka ila nimewapotezea baada ya kupata serikalini. Kumbuka serikalini mishahara inapanda with time pia kuna benefits nzuri kama kupewa nyumba na kulipiwa zaidi ya nusu ya asilimia ya pensheni thats according to my contract.
Mkuu hata Pasi ya kisigino nayo ni pasi, Kama vp nipigie pande hilo.
 
U INSPIRE ME AISEE....SIPENDI KUAJIRIWA ALL MY LIFE,ENTREPRENEURSHIP IS THE REAL DEAL,nipo kwny mchakato kusimamisha my own business nifanye othr things in life zaid ya kuamka every morning to mwajiri...INSHALLAHH NTAFIKA SOON

Japo mimechelewa kukureply , lakini dabiebey this world is full of things we really do not know. One of them is that, we have powers which we do not use. If you think properly, positively and believing that you can make it you will, eventually. If you want to know more , I can tell you , the principle of life is, whatever you want comes from the universal powers., And which you are part of it. If you think about God as Universal Power, then you know for sure you have part of God in you housed by your flesh. The contact point is your thought. You can be what you want through your way of thinking. If you think correctly you have made contact with the powers , which principally are in every other person. If you ask your inward world what you want, and repeat it frequently until it sinks in your subconscious mind, you will get surprised how what you wanted will manifest without you knowing how it came about. It will show in the outward world.This is not a theory or religious fallacies. It is a fact and only fact of truth. So keep your thought, you will manage it. Remember it has to come from you, inside you, and that you are part of the Universal Powers through which nothing is impossible.
 
Njoo ufanye kazi huku selikalini, unaweza ukafanza kazi kwa miaka miwili ukaenda kujiendeleza kimasomo na mshahara wako unaingia kama kawa kwa private hiyo ni ndoto unafukuzwa on spot...Serikalini pia security ni kubwa ingawa kuingia hadi kwenye system au mtandao ni ngumu kweli kuna vibuti huku vya kufa m2 ..unaweza ukakaa ofisin mwaka mzima unategemea mshahara tu so u need to be patient waiting for your tym to come..ur welcome!
 
serikalini mpaka uwe na kamtandao Fulani ndo utafanikiwa, vinginevyo utaishi kwa kamshahara tu milele, hizo per diem utazisikia kwa wenzio
 
Hapo hapo ulipo mwanangu shikilia channel usiachie haujawai kusikia mtu analala na njaa ndani ya paris ufaransa? Au kwa kua mji wa maraha basi unajua hawalambi galasa? Kufanya kazi serikalini ni uoga wa maisha!! Security what the fvck? Unataka kufanya kazi miaka 100? Kazi ni miaka mi5 tu kutafuta capital,channel then kujiajiri baasi.


simu haina kitufe cha LIKE, NIMEIPENDA HII Mkuu
 
Ukichunguza majibu ya wadau sio kwamba serikalini kuna uwajibikaji!! Watu wanakushauri uende serikalini kwenye uzembe wa kutosha coz "no one cares". Huu ndo mtazamo wa wote walioko serikalini. Ila kama unataka uwe "creative" na "compitent" private sector ndo kwenyewe. Serikalini ni uzembe na uzalishaji kiduchu hata ulichosomea huwezi kupata changamoto coz hakuna haja na so long as hakuna anaejali!

Kama upo hapo Dar mbona shwari kabisa kuliko huko Katavi?????? Angalia changamoto na mazingira, na mwisho fanya maamuzi binafsi mkuu. All the best
 
Inategemea private upo sector ipi au kampuni gani?

Simsharui mtu kutoka kampuni inayojielewa na inalipa vizuri wafanyakazi wake aache kazi private aende halmashauri labda awe na kichaa..

Yaani mtoto mdogo unatoka chuoni unawaza mafao ya kustaafu na job security ambayo ni almost 40 years to come ndio utaipata..

Watoto wa town kazi za serikalini hatuziwezi hata kidogo, mshahara wa tgsd hadi uje kuuzoea ni zaidi ya adhabu..

Private ni accountability tu na changamoto za kazi zinakufanya uwe effective hata ukijiajiri as hakuna uzembe uzembe..

Uko vizuri mkuu. Kama nia yake ni kuwa mzembe hadi kwa familia yake aende zake huko serikalini!!!!!!!!!!!!!1
 
Maisha ni vile ufanyavyo kama ni public au private. Mwisho wa siku mfanyaji ni wewe mwenyewe!!!!!!

Hakuna njia ya moja kwa moja kuna waliopo Govt wametusua na wanamichongo ya nje; wapo wa private nao wanapiga noti tu ofisini na safari kila uchao!!!!!! Wapo wakomavu kitaa wanachapaa kama machizi na wameajiri wenzao kibao tu!!!!!

Unataka kuwa nani maishani,nini kinahitajika ili kuwa hivyo,lini,wapi,unahitaji watu kufanikisha,kina nani na maswali ya mtiririko huo,so achana na ushuhuda wa vidole hapa!!!!!!!!

Wake up and do the walk!!!!!!
 
Fantastic. Mi niliajiriwa Serikalini February 2013 kwa uvivu huohuo wa kufikiria job security. Nimefanya nao only six months nikaona office haifai Majungu mpaka basi hadi nikawa nahofia usalama wangu. Nimewapisha nimerudi private nimechagua pa kuishi nifanye mambo yangu. Nakubali napata misukosuko ambayo kimsingi niliitarajia na ndo ilikuwa basis kwenye maamzi yangu wakati nang'atuka. Nilichokifanya nilichoma madaraja yote nyuma ya safari yangu ili nisipate namna ya kurudi nyuma. God bless my way.

amen!nakuombea heri na baraka!
 
Back
Top Bottom