Huku mtandaoni unaweza dhani watu wote wamezaliwa ushuani.Ni maisha tu na hao pia wana umuhimu wake, tena mkubwa tu
😀😀kabisa na ukisoma kila kitu akili inaweza rukaHuku mtandaoni unaweza dhani watu wote wamezaliwa ushuani.
Kwenye bajaji hukupata limshangazi?Ukweli mtupu mimi nimeendesha Bajaj miaka 3 hakuna mafanikio niliopata zaidi ya kila siku kukosea koswa kufa kwa ajali barabarani
Kifupi hakuna dereva Bajaj ambae anaweza kulala mwezi bila kufanya KAZI akasurvive.
Nimeona niache kazi za barabarani mana ukiwa barabarani muda wowote either MOI, mwananyamala au temeke hospital
Kifupi Kijana achana na KAZI ambazo zina risk ambayo inaweza kupoteze thamani yako Milele.
Nimeshaacha KAZI hiyo baada ya kuona napoteza muda na nguvu
Ahsante
Mm najua wapi kuna mijomba vipi nikuunganishe na limjomba kimoja likufire?Kwenye bajaji hukupata limshangazi?
Mishangazi mnaipatapateje
Nami naipatapateje
Kumbe alikufira vizuri mpak umemkumbuka ehhMm najua wapi kuna mijomba vipi nikuunganishe na limjomba kimoja likufire?
Nikuunganishe!? Upate lijomba?Kumbe alikufira vizuri mpak umemkumbuka
Mishangazi mnaipatapatejeNikuunganishe!? Upate lijomba?