Kuepusha Shari: Ushauri wa Bure kwa Mbowe, Tume ya Taifa na CCM Kuhusiana na Kuaminiwa kwa Matokeo

MMM katika hili tupo pamoja,tungeomba NEC waweke wazi palipo na lawama na vilevile Ukawa waweke wazi matokeo walio na utata nayo ili iamulike mapema na kwa amani #tanzaniakwanza
 
MMM katika hili tupo pamoja,tungeomba NEC waweke wazi palipo na lawama na vilevile Ukawa waweke wazi matokeo walio na utata nayo ili iamulike mapema na kwa amani #tanzaniakwanza
 
Angalau, kuna yule kada mwingine mwanahabari kivuli wa uhuru media ameshindwa kabisa kuficha mahaba yake kwa waajiri. Huu ushauri una akili
 
....utakuwa ni utani. Kwanini upinzani walikubali kuingia kwenye kinyang'anyiro cha kugombea? Kuna umuhimu wa kuheshimu vyombo halali vilivyoundwa kwa mujibu wa katiba

Kwa hiyo kutokana na mawazo yako finyu..kwa kuwa wapinzani walikubali kuingia kwenye kinyan'ganyiro kwa hiari yao..then ni halali kufanyiwa faulo..na kupigwa magoli ya mkono ya wazi??.hata mtt wa std3 anajua %ni mwisho 100!we are not serious indeed..kama mawazo yenyewe ndo haya acha Donald Trump atutukane tu sisi waafrica!!!
 
Ila Kingunge huyu huyu si ndio Aliipinga sana rasimu ya katiba? Liwe funzo kwa wanasiasa kwa sababu siku yoyote unachokipinga kinaweza kukugeuka straighty.
 
Leo ndiyo umetumia busara zako vyema. Hii ndiyo njia pekee kuiweka Tanzania yetu kuwa salama
 
Siku hizi vipenzi na mashujaa wa chadema ni lowassa kingunge na sumaye, ama kweli siku zinaenda kasi sana!

Unaweza kujipeleka Milembe ukifikiri umepoteza network hakyamama .....pesa mwanaharamu aisee ...
 
Ila Kingunge huyu huyu si ndio Aliipinga sana rasimu ya katiba? Liwe funzo kwa wanasiasa kwa sababu siku yoyote unachokipinga kinaweza kukugeuka straighty.

Asante....na hata sasa anaamini hivyo ...hawa ni walaghai waliotaka urais tu na si mabadiliko tuliyoamini miaka yote ....
 
MM...NEC ni ya CCM... hawawezi kubali hilo... ndio sbb hawataki UKAWA wafanye tallying, wamekamata vijana wa UKAWA waliokuwa wanafanya tallying...!!! Wakati vijana wa IT wa CCM wako Mlimani CITY, CHANG'OMBE na KURASINI near Immigration HEAD OFFICE... na wanajulimsha matokeo ya CCM... na mbaya zaidi hao IT wa CCM matokeo kabla ya KWENDA NEC ndio yanapitia kwao...Wanachakachua ndio wana forward NEC...!!!

NARUDIA...!!! NEC wanapokea matokeo yamesha chakachuliwa na IT wa CCM kisha wanatuma NEC... through MTANDAO WA NEC...!!! So ndio maana NEC HAWATAKI KUFANYA TALLYING KULINGANISHA NA YA UKAWA ili tujue
Ukweli..!!!

Lowassa kamwacha Magufuli kwa mbali sana sanaaaa...!!!

Pia, hata katika kura za UBUNGE..!!
NEC ni ya CCM...!!! Wakurugenzi wanaosimamia matokeo, DC, RC ni wa CCM...!!! So, wote wanatumika kuangusha wabunge wa UKAWA kwa kuchachua mabox ya kura... na Wabunge wengi wa UKAWA walio anguka ni wale walioingia mtego wa KURUDIA KUHESABU KURA kupitia MASANDUKU... badala ya kutumia FOMU ZA MAWAKALA ZENYE SAINI..."! Sbb yale mabox yameshachakachuliwa yote...!! So hiyo ndio CCM...!!!

Nchi hii itabakia MASKINI HADI MWISHO WA DUNIA...!!! Sbb CCM ujinga na umaskini ndio MTAJI WAKE MKUBWA... ili itawale watu kama watumwa...!!!

NEC ni ya CCM 100%....!!!
 
Sasa na wewe kilaza, watatoaje wakati IT center zimevamiwa na polisi wa CCM na kuchukua document
 
Kabla matokeo hayajatangazwa kuna Wakala vyama pale ili kuthibitisha na wanakuwa na nakala inayotoka Jimboni kwa kifupi imetoka kwa Wakala wa Jimbo .
Kama ni hivyo mbona Wakala wa UKAWA aliye makao makuu hajasema chochote na Jana alipewa nafasi ya kuongea na waandishi wa habari.


Hizi ni hesabu tu za kisiasa ccm wamezidi
Lakini kama raia tunataka kuona game hadi mwisho na kikubwa ni kutoa nakala zao ili tuone


Utaratibu wa kulalamika mbele hadhara bila kutoa ushaidi unapoteza credibility.
Tumeona hata list ya majimbo yaliyoenda ukawa hajawekwa kama afanyavyo J.Makamba.


Naona Ukawa walifanya presidential investment maana kuna wabunge wanasumbuliwa ni wazi wanahitaji nguvu kubwa mf. Msigwa,, Kafulila na wanapotea kweli lakini wakulu hawa ni Rais, Rais bila Wabunge.

Ni vema taarifa zikaambatana na ushaidi ili tuwe na cha kusema
 
Mimi nadhani kwa majimbo ambayo tayari NEC imetangaza matokeo, kuna haja ya kutoa matokeo ya vyama vingine ili kufanya ulinganifu na kuondoa utata coz kila mtu anasema kura zimeibiwa. Hayo majimbo 114 ambayo tayari tunajua matokeo yake, tunaomba vyama navyo vitoe matokeo yake ili tupate uhakika..
 
Tume ina aminiwa kuendelea kutangaza matokeo

watu waamini matokeo yanayoendelea
M. M. Mwanakijiji
No prob, furaha yako itakamilika tuu!, kwa kazi nzuri iliyoifanyia UKAWA, do you still have a nerve and the moral authority kuishauri UKAWA what to do?!.

Tume inamaaminiwa!, the playing field was level this time!.

Matokeo ni halali!.

Endelea tuu kushangilia na kusherekea ushindi!.

Congrratulation CCM!, Congratulations NEC, and a big congratulation Mkuu Mzee Mwanakijiji.

Pasco
 
Neno la Hekima: Kama kweli Mbowe na Team Lowassa wanaamini kuwa matokeo ya Urais yamehujumiwa wanahitaji kwa haraka kufanya hivi: Kwa matokeo ya majimbo 113 ambayo yametangazwa hadi hivi sasa watoe nakala za mawakala wao kwenye majimbo hayo ili wananchi waweze kulinganisha kama yanaendana na yale ya Tume hasa kwa vile Jaji Lubuva Tumatatu alisema kuwa wao wanatangaza matokeo yale yale yaliyosainiwa majimboni.


Wakifanya hivi wataweza kuonesha kama Tume inaweza kuaminiwa kuendelea kutangaza matokeo au la. Ushauri huu pia unaweza kuwafaa CCM nao wafanye hivyo hivyo ili tuone hili. Lakini pia natoa ushauri kama huu kwa TUme ya Taifa ya Uchaguzi Kuagiza Wasimamizi wa Uchaguzi kwenye Majimbo yote ambayo tayari yametangazwa rasmi na yale yatakayotangazwa rasmi kuweka hadharani nakala zao za majimbo na hivyo tutaweza kulinganisha matokeo ya vyama, wasimamizi wa uchaguzi na tume ili tuepushe mambo ya kuitana Ikulu tena kwa mazungumzo zaidi.

Ili vyama visijisikie kuwa kwenye mtego, Tume iruhusu vyama hivyo kuweka hadharani nakala za matokeo yao kwa majimbo yale ambayo yameshatangazwa na mengine baada ya kutangazwa ili kukata mzizi wa fitina.


Hii ndio njia pekee ya kufanya watu waamini matokeo yanayoendelea au la. M. M. Mwanakijiji



Kabla ya kufikiria masuala ya kuchakachua au vinginevyo, tuangalie kwanza Monduli, Moshi Mjini, Arusha Mjini, Ubungo, Kibamba na Kigamboni. Matokeo ya majimbo haya yanaonyesha kuwa sisi sote ni watanzania, uchaguzi umeisha, tusitiane aibu bure, Seif apewe Zanzibar yake, Jembe apewe Magogoni yake, tuendelee na kazi.

Haya mambo ya kujiaibisha katika uso wa kimataifa hayana maana.

Hayo majimbo niliyotaja yanatosha kuonyesha kumbe watanzania wameamua. Ndiyo wameamua, kama ni kukosa umeme wamemua, kama ni kukosa matibabu wameamua, kama ni kukosa maendeleo wameamua, sasa wewe unatakaje? kuwalazimisha?

Ningezungumzia uchakachuaji endapo katika majimbo niliyoyataja shujaa wangu angepata asilimia 95% kila jimbo.

Yaani tume ya uchaguzi tumewatishia hadi wanatuandaa kisaikolojia, mshindi wanamjua lakini kwa ubishi wetu inabidi waende kwa 'style' hiyo ili tusiuane( Yaani polisi na vifaa vyao vipya wasije kutupasua migongo).

Ataapishwa, atakua Rais, ataunda serikali, basi tuendelee kuishi kama watanzania. Vinginevyo 'tukunywe yes narudia tukunywe sumu na tujinyonge...sijui nini mbe...'
 
Well.. guess what; its a free country na Utanzania wako haunizidi wa kwangu. Huwezi kufanya lolote la hilo. Ila kuhusu UKAWA.. sikuwahi kuwa karibu na hilo dubwasha.
Real? seriously? Dr Mihogo si hajabu naye akikana hakuwahi kuwa katika dubwasha hili. hongera kwa unafki wako.
 
Back
Top Bottom