Kuenea kwa ugonjwa wa kuamini uongo

Ugonjwa ulionao wewe ni mbaya zaidi.
GTs,
Tanzania inapita kipindi kigumu ambacho kinahitaji watu wachache watuvushe.


Kuna kikundi fulani cha watu toka sehemu fulani hawaamini kama Dkt Magufuli ndiye rais, hakiamini kama yeye ndiye amri jeshi mkuu, ingawa kikundi hicho hicho kinakiri kuwa rais Dkt Magufuli kafanya mambo makubwa na anafanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi yetu Tanzania na watanzania kwa ujumla.
Kikundi hicho cha watu wachache bado kina amini rais alipaswa wawe mmoja wao.


Kikundi hicho kilieneza na kinaendelea kueneza mbegu ya chuki zidi ya viongozi wa serikali. Kinaeneza mbegu ya chuki kwa mamlaka ya rais. Kikundi hicho kinasujudu na kusadiki kila aina ya uongo uwe wa kutungwa hapa nchini au kutoka kwa wazungu. Kibaya kabisa kikundi hicho kinachukua mpaka idadi kazaa ya wasomi wasiojitambua. Ili uweze kusifiwa na hicho kikundi hebu mtukane Dkt Magufuli au mtusi mteule wake, hebu jitokeze useme ndege ile ya airbus ni mtumba na ni mbovu, hebu jitokeze useme serikali ya Dkt Magufuli haijaleta maendeleo, basi kikundi hicho kitakuita wewe ni msomi uliyebobea.

Baadhi ya uongo:
  1. ZZK ni mkweli ktk kila hoja anayoisema (Ukweli, ZZK ni muongo sana tena sana, Ujiji alishawahi kukataa barabara isijengwe kule ujiji kisa eti hakuna economic impact, matokeo yake 2020 hana kula, anatafuta huruma kwa kuzusha uongo wa kila aina juu ya serikali ya awamu ya 5)
  2. Mbow na mwenzake walioko gerezani wanaonewa–wafungwa wa kisiasa (Ukweli, Mbowe alikaidi kibali cha mahamaka cha dhamana, na kupelekewa kufutwa kwa dhamana, sheria hiyo huwa haiangalii mtu)
  3. Serikali iliiba hela bil 1.5 (Ukweli, hakuna hela iliyoibiwa, hapa kikundi hiki kina muwekea maneno CAG kwenye kinywa chake kusema eti alisema kuna wizi wa bil 1.5, wakati serikali ilishafafanua hilo suala na kulitolea maelezo, ila kikundi hiki kilashakalili kila siku kinalileta hili jambo hasa wanapoishiwa pumzi)

Kikundi hicho ni kile cha wale wasioamini mpaka sasa makubwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya 5.

Tunawashauri vumilieni, hiyo ndiyo demokrasia. Mwacheni rais wetu na serikali yake ajenge nchi, mwacheni ajenge kizazi kinachoamini kufanikiwa bila rushwa, muacheni rais ajenge kizazi kinaachoamini ktk mafanikio bila kujali historia ya ama ulizaliwa na wazazi matajiri, mwacheni rais ajenge kizazi kinacho amini msingi wa maisha na ustaarabu ni ktk kufanya kazi kwa maarifa, juhudi na kujituma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahahahaha, umenichekesha sana pimb mkubwa kabisa. Na huo ndiyo moja ya uongo wenu. Vipi Mitaa ya ufipa pana kalika, hahahaha chair wenu anajisaidia kwenye vindooo, hahahaha, wanafiki sana ufipa

Sasa kama anajisaidia kwenye ndoo nyie mnaojisaidia cake kwenye choo cha kukaa mbona ndio mnalialia humu? Korosho nitazinunua ndani ya siku 2, je hizi kelele za mpaka leo ni za nini?
 
GTs,
Tanzania inapita kipindi kigumu ambacho kinahitaji watu wachache watuvushe.


Kuna kikundi fulani cha watu toka sehemu fulani hawaamini kama Dkt Magufuli ndiye rais, hakiamini kama yeye ndiye amri jeshi mkuu, ingawa kikundi hicho hicho kinakiri kuwa rais Dkt Magufuli kafanya mambo makubwa na anafanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi yetu Tanzania na watanzania kwa ujumla.
Kikundi hicho cha watu wachache bado kina amini rais alipaswa wawe mmoja wao.


Kikundi hicho kilieneza na kinaendelea kueneza mbegu ya chuki zidi ya viongozi wa serikali. Kinaeneza mbegu ya chuki kwa mamlaka ya rais. Kikundi hicho kinasujudu na kusadiki kila aina ya uongo uwe wa kutungwa hapa nchini au kutoka kwa wazungu. Kibaya kabisa kikundi hicho kinachukua mpaka idadi kazaa ya wasomi wasiojitambua. Ili uweze kusifiwa na hicho kikundi hebu mtukane Dkt Magufuli au mtusi mteule wake, hebu jitokeze useme ndege ile ya airbus ni mtumba na ni mbovu, hebu jitokeze useme serikali ya Dkt Magufuli haijaleta maendeleo, basi kikundi hicho kitakuita wewe ni msomi uliyebobea.

Baadhi ya uongo:
  1. ZZK ni mkweli ktk kila hoja anayoisema (Ukweli, ZZK ni muongo sana tena sana, Ujiji alishawahi kukataa barabara isijengwe kule ujiji kisa eti hakuna economic impact, matokeo yake 2020 hana kula, anatafuta huruma kwa kuzusha uongo wa kila aina juu ya serikali ya awamu ya 5)
  2. Mbow na mwenzake walioko gerezani wanaonewa–wafungwa wa kisiasa (Ukweli, Mbowe alikaidi kibali cha mahamaka cha dhamana, na kupelekewa kufutwa kwa dhamana, sheria hiyo huwa haiangalii mtu)
  3. Serikali iliiba hela bil 1.5 (Ukweli, hakuna hela iliyoibiwa, hapa kikundi hiki kina muwekea maneno CAG kwenye kinywa chake kusema eti alisema kuna wizi wa bil 1.5, wakati serikali ilishafafanua hilo suala na kulitolea maelezo, ila kikundi hiki kilashakalili kila siku kinalileta hili jambo hasa wanapoishiwa pumzi)

Kikundi hicho ni kile cha wale wasioamini mpaka sasa makubwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya 5.

Tunawashauri vumilieni, hiyo ndiyo demokrasia. Mwacheni rais wetu na serikali yake ajenge nchi, mwacheni ajenge kizazi kinachoamini kufanikiwa bila rushwa, muacheni rais ajenge kizazi kinaachoamini ktk mafanikio bila kujali historia ya ama ulizaliwa na wazazi matajiri, mwacheni rais ajenge kizazi kinacho amini msingi wa maisha na ustaarabu ni ktk kufanya kazi kwa maarifa, juhudi na kujituma.

Nadhani ungebadilisha heading na kusema “Tanzania kuna ugonjwa wa kusema uongo” halafu wewe na hao wenzako waliokutuma ndio mtakuwa wakwanza maana mnadhani watu wote ni mambumbumbu. Watu wako kimya tu uwezi ukamjibu mjinga kila kitu.
 
Ndiyo nini?


Tusaidie hii ni lugha gani?

Wewe wasema. Watanz wao wanauliza trillion 1,5 ziko wapi?

Hiki ni kinyarwanda siyo kiswahili
Na utakuta ni jitu zima halafu linaandika kama kimbizi au ndiyo anajifunza kiswahili. Mungu amrehemu hapo alipo.
 
GTs,
Tanzania inapita kipindi kigumu ambacho kinahitaji watu wachache watuvushe.


Kuna kikundi fulani cha watu toka sehemu fulani hawaamini kama Dkt Magufuli ndiye rais, hakiamini kama yeye ndiye amri jeshi mkuu, ingawa kikundi hicho hicho kinakiri kuwa rais Dkt Magufuli kafanya mambo makubwa na anafanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi yetu Tanzania na watanzania kwa ujumla.
Kikundi hicho cha watu wachache bado kina amini rais alipaswa wawe mmoja wao.


Kikundi hicho kilieneza na kinaendelea kueneza mbegu ya chuki zidi ya viongozi wa serikali. Kinaeneza mbegu ya chuki kwa mamlaka ya rais. Kikundi hicho kinasujudu na kusadiki kila aina ya uongo uwe wa kutungwa hapa nchini au kutoka kwa wazungu. Kibaya kabisa kikundi hicho kinachukua mpaka idadi kazaa ya wasomi wasiojitambua. Ili uweze kusifiwa na hicho kikundi hebu mtukane Dkt Magufuli au mtusi mteule wake, hebu jitokeze useme ndege ile ya airbus ni mtumba na ni mbovu, hebu jitokeze useme serikali ya Dkt Magufuli haijaleta maendeleo, basi kikundi hicho kitakuita wewe ni msomi uliyebobea.

Baadhi ya uongo:
  1. ZZK ni mkweli ktk kila hoja anayoisema (Ukweli, ZZK ni muongo sana tena sana, Ujiji alishawahi kukataa barabara isijengwe kule ujiji kisa eti hakuna economic impact, matokeo yake 2020 hana kula, anatafuta huruma kwa kuzusha uongo wa kila aina juu ya serikali ya awamu ya 5)
  2. Mbow na mwenzake walioko gerezani wanaonewa–wafungwa wa kisiasa (Ukweli, Mbowe alikaidi kibali cha mahamaka cha dhamana, na kupelekewa kufutwa kwa dhamana, sheria hiyo huwa haiangalii mtu)
  3. Serikali iliiba hela bil 1.5 (Ukweli, hakuna hela iliyoibiwa, hapa kikundi hiki kina muwekea maneno CAG kwenye kinywa chake kusema eti alisema kuna wizi wa bil 1.5, wakati serikali ilishafafanua hilo suala na kulitolea maelezo, ila kikundi hiki kilashakalili kila siku kinalileta hili jambo hasa wanapoishiwa pumzi)

Kikundi hicho ni kile cha wale wasioamini mpaka sasa makubwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya 5.

Tunawashauri vumilieni, hiyo ndiyo demokrasia. Mwacheni rais wetu na serikali yake ajenge nchi, mwacheni ajenge kizazi kinachoamini kufanikiwa bila rushwa, muacheni rais ajenge kizazi kinaachoamini ktk mafanikio bila kujali historia ya ama ulizaliwa na wazazi matajiri, mwacheni rais ajenge kizazi kinacho amini msingi wa maisha na ustaarabu ni ktk kufanya kazi kwa maarifa, juhudi na kujituma.
Huo ni ukweli mchungu.
 
GTs,
Tanzania inapita kipindi kigumu ambacho kinahitaji watu wachache watuvushe.


Kuna kikundi fulani cha watu toka sehemu fulani hawaamini kama Dkt Magufuli ndiye rais, hakiamini kama yeye ndiye amri jeshi mkuu, ingawa kikundi hicho hicho kinakiri kuwa rais Dkt Magufuli kafanya mambo makubwa na anafanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi yetu Tanzania na watanzania kwa ujumla.
Kikundi hicho cha watu wachache bado kina amini rais alipaswa wawe mmoja wao.


Kikundi hicho kilieneza na kinaendelea kueneza mbegu ya chuki zidi ya viongozi wa serikali. Kinaeneza mbegu ya chuki kwa mamlaka ya rais. Kikundi hicho kinasujudu na kusadiki kila aina ya uongo uwe wa kutungwa hapa nchini au kutoka kwa wazungu. Kibaya kabisa kikundi hicho kinachukua mpaka idadi kazaa ya wasomi wasiojitambua. Ili uweze kusifiwa na hicho kikundi hebu mtukane Dkt Magufuli au mtusi mteule wake, hebu jitokeze useme ndege ile ya airbus ni mtumba na ni mbovu, hebu jitokeze useme serikali ya Dkt Magufuli haijaleta maendeleo, basi kikundi hicho kitakuita wewe ni msomi uliyebobea.

Baadhi ya uongo:
  1. ZZK ni mkweli ktk kila hoja anayoisema (Ukweli, ZZK ni muongo sana tena sana, Ujiji alishawahi kukataa barabara isijengwe kule ujiji kisa eti hakuna economic impact, matokeo yake 2020 hana kula, anatafuta huruma kwa kuzusha uongo wa kila aina juu ya serikali ya awamu ya 5)
  2. Mbow na mwenzake walioko gerezani wanaonewa–wafungwa wa kisiasa (Ukweli, Mbowe alikaidi kibali cha mahamaka cha dhamana, na kupelekewa kufutwa kwa dhamana, sheria hiyo huwa haiangalii mtu)
  3. Serikali iliiba hela bil 1.5 (Ukweli, hakuna hela iliyoibiwa, hapa kikundi hiki kina muwekea maneno CAG kwenye kinywa chake kusema eti alisema kuna wizi wa bil 1.5, wakati serikali ilishafafanua hilo suala na kulitolea maelezo, ila kikundi hiki kilashakalili kila siku kinalileta hili jambo hasa wanapoishiwa pumzi)

Kikundi hicho ni kile cha wale wasioamini mpaka sasa makubwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya 5.

Tunawashauri vumilieni, hiyo ndiyo demokrasia. Mwacheni rais wetu na serikali yake ajenge nchi, mwacheni ajenge kizazi kinachoamini kufanikiwa bila rushwa, muacheni rais ajenge kizazi kinaachoamini ktk mafanikio bila kujali historia ya ama ulizaliwa na wazazi matajiri, mwacheni rais ajenge kizazi kinacho amini msingi wa maisha na ustaarabu ni ktk kufanya kazi kwa maarifa, juhudi na kujituma.
Nondo zimeshiba
 
Kwa vichwa hivi acha dream liner liendelee tu kubeba mabeberu ya mbuzi.

Hivi kuna mtu anayewapiga kamba wabongo kama JeiPieM? Tukiorodhesha hapa tutajaza kurasa kibao.
 
GTs,
Tanzania inapita kipindi kigumu ambacho kinahitaji watu wachache watuvushe.


Kuna kikundi fulani cha watu toka sehemu fulani hawaamini kama Dkt Magufuli ndiye rais, hakiamini kama yeye ndiye amri jeshi mkuu, ingawa kikundi hicho hicho kinakiri kuwa rais Dkt Magufuli kafanya mambo makubwa na anafanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi yetu Tanzania na watanzania kwa ujumla.
Kikundi hicho cha watu wachache bado kina amini rais alipaswa wawe mmoja wao.


Kikundi hicho kilieneza na kinaendelea kueneza mbegu ya chuki zidi ya viongozi wa serikali. Kinaeneza mbegu ya chuki kwa mamlaka ya rais. Kikundi hicho kinasujudu na kusadiki kila aina ya uongo uwe wa kutungwa hapa nchini au kutoka kwa wazungu. Kibaya kabisa kikundi hicho kinachukua mpaka idadi kazaa ya wasomi wasiojitambua. Ili uweze kusifiwa na hicho kikundi hebu mtukane Dkt Magufuli au mtusi mteule wake, hebu jitokeze useme ndege ile ya airbus ni mtumba na ni mbovu, hebu jitokeze useme serikali ya Dkt Magufuli haijaleta maendeleo, basi kikundi hicho kitakuita wewe ni msomi uliyebobea.

Baadhi ya uongo:
  1. ZZK ni mkweli ktk kila hoja anayoisema (Ukweli, ZZK ni muongo sana tena sana, Ujiji alishawahi kukataa barabara isijengwe kule ujiji kisa eti hakuna economic impact, matokeo yake 2020 hana kula, anatafuta huruma kwa kuzusha uongo wa kila aina juu ya serikali ya awamu ya 5)
  2. Mbow na mwenzake walioko gerezani wanaonewa–wafungwa wa kisiasa (Ukweli, Mbowe alikaidi kibali cha mahamaka cha dhamana, na kupelekewa kufutwa kwa dhamana, sheria hiyo huwa haiangalii mtu)
  3. Serikali iliiba hela bil 1.5 (Ukweli, hakuna hela iliyoibiwa, hapa kikundi hiki kina muwekea maneno CAG kwenye kinywa chake kusema eti alisema kuna wizi wa bil 1.5, wakati serikali ilishafafanua hilo suala na kulitolea maelezo, ila kikundi hiki kilashakalili kila siku kinalileta hili jambo hasa wanapoishiwa pumzi)

Kikundi hicho ni kile cha wale wasioamini mpaka sasa makubwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya 5.

Tunawashauri vumilieni, hiyo ndiyo demokrasia. Mwacheni rais wetu na serikali yake ajenge nchi, mwacheni ajenge kizazi kinachoamini kufanikiwa bila rushwa, muacheni rais ajenge kizazi kinaachoamini ktk mafanikio bila kujali historia ya ama ulizaliwa na wazazi matajiri, mwacheni rais ajenge kizazi kinacho amini msingi wa maisha na ustaarabu ni ktk kufanya kazi kwa maarifa, juhudi na kujituma.
Rubbish
 
GTs,
Tanzania inapita kipindi kigumu ambacho kinahitaji watu wachache watuvushe.


Kuna kikundi fulani cha watu toka sehemu fulani hawaamini kama Dkt Magufuli ndiye rais, hakiamini kama yeye ndiye amri jeshi mkuu, ingawa kikundi hicho hicho kinakiri kuwa rais Dkt Magufuli kafanya mambo makubwa na anafanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi yetu Tanzania na watanzania kwa ujumla.
Kikundi hicho cha watu wachache bado kina amini rais alipaswa wawe mmoja wao.


Kikundi hicho kilieneza na kinaendelea kueneza mbegu ya chuki zidi ya viongozi wa serikali. Kinaeneza mbegu ya chuki kwa mamlaka ya rais. Kikundi hicho kinasujudu na kusadiki kila aina ya uongo uwe wa kutungwa hapa nchini au kutoka kwa wazungu. Kibaya kabisa kikundi hicho kinachukua mpaka idadi kazaa ya wasomi wasiojitambua. Ili uweze kusifiwa na hicho kikundi hebu mtukane Dkt Magufuli au mtusi mteule wake, hebu jitokeze useme ndege ile ya airbus ni mtumba na ni mbovu, hebu jitokeze useme serikali ya Dkt Magufuli haijaleta maendeleo, basi kikundi hicho kitakuita wewe ni msomi uliyebobea.

Baadhi ya uongo:
  1. ZZK ni mkweli ktk kila hoja anayoisema (Ukweli, ZZK ni muongo sana tena sana, Ujiji alishawahi kukataa barabara isijengwe kule ujiji kisa eti hakuna economic impact, matokeo yake 2020 hana kula, anatafuta huruma kwa kuzusha uongo wa kila aina juu ya serikali ya awamu ya 5)
  2. Mbow na mwenzake walioko gerezani wanaonewa–wafungwa wa kisiasa (Ukweli, Mbowe alikaidi kibali cha mahamaka cha dhamana, na kupelekewa kufutwa kwa dhamana, sheria hiyo huwa haiangalii mtu)
  3. Serikali iliiba hela bil 1.5 (Ukweli, hakuna hela iliyoibiwa, hapa kikundi hiki kina muwekea maneno CAG kwenye kinywa chake kusema eti alisema kuna wizi wa bil 1.5, wakati serikali ilishafafanua hilo suala na kulitolea maelezo, ila kikundi hiki kilashakalili kila siku kinalileta hili jambo hasa wanapoishiwa pumzi)

Kikundi hicho ni kile cha wale wasioamini mpaka sasa makubwa yanayofanywa na serikali ya awamu ya 5.

Tunawashauri vumilieni, hiyo ndiyo demokrasia. Mwacheni rais wetu na serikali yake ajenge nchi, mwacheni ajenge kizazi kinachoamini kufanikiwa bila rushwa, muacheni rais ajenge kizazi kinaachoamini ktk mafanikio bila kujali historia ya ama ulizaliwa na wazazi matajiri, mwacheni rais ajenge kizazi kinacho amini msingi wa maisha na ustaarabu ni ktk kufanya kazi kwa maarifa, juhudi na kujituma.
Itoshe kukuita bwege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom