Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,417
- 6,911
Mwambie aahirishe masomo, aende CCP kwanza halafu akitoka huko anakuja kumalizia miaka ya chuo aliyobakiza. Ni bonge la bahati iwapo tu ataruhusiwa kuahirssha masomoHabari Wanabodi,
Nina binti yangu yuko mwaka wa kwanza chuo akiwa na 80% ya mkopo HESLB ila amekuwa shortlisted usaili wa Jeshi la Polisi.
Hivyo naomba mawazo yenu aendelee na Chuo au aende CCP ikitokea amepita usaili?
Natanguliza shukran.
Asiporuhusiwa kuahirisha; mwache aendelee na masomo yake amalize kwanza. CCP anaweza kuomba tena baada ya masomo yake