Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,762
- 8,003
Kimbilio la waliofeli na masikini ni ualimu na upolisi.
Unaeza soma na usiajiriwe,Acha mtoto asome apate kaz nzuri
Hiyo ilikuwa zamani mkuu siku hizi polisi kuna wasomi wengi tuKimbilio la waliofeli na masikini ni ualimu na upolisi.
HaswaaaaahNaongezea ama ku sisitiza Kama sio ku reinforce
Basi umepata binti wa kujivunia... hizo akili itakuwa karithi kwa mama yake...Nimeshindwa hata kujua nimshauri nini binti yangu ingawa kwa fikra zake alitaka aende CCP.
Polisi ya sasa sio ile ya zamani, ingawa bado kile kizazi kipo lkn ndo kinaishia, wengi wanastaafu!Kimbilio la waliofeli na masikini ni ualimu na upolisi.
CCP ni mwaka mmoja,hopefully akipita anaingia ajira za jeshini moja kwa moja.Anaweza kuandika barua ya kuomba kuahirisha masomo aende apige drill pale CCP kisha akishaingia kwenye ajira ya jeshi anafanya mpango wa kurudi Chuo na kuendelea na Maosmo huku akiendelea kukaa LINDO.Habari Wanabodi,
Nina binti yangu yuko mwaka wa kwanza chuo akiwa na 80% ya mkopo HESLB ila amekuwa shortlisted usaili wa Jeshi la Polisi.
Hivyo naomba mawazo yenu aendelee na Chuo au aende CCP ikitokea amepita usaili?
Natanguliza shukran.
NakaziaUshauri huu uzingatiwee.
HaswaaaahNakazia