chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
... Kilimanjaro, Tahmeed ! Leteni magari yanayoeleweka , ya kichina kila siku mnatuchomea watu Na mizigo yetu!View attachment 968642
... Kilimanjaro, Tahmeed ! Leteni magari yanayoeleweka , ya kichina kila siku mnatuchomea watu Na mizigo yetu! View attachment 96864
Hahaha, wabongo bhana! Tujifunze Ku appreciate wenzetu wanapofanya vizuri. Kama haufaham nimewahi kuwaponda sana hawa Jamaa hapahapa lakini sasa wamesikiliza vilio vya wengiKwa uandishi huu ni kama umetumwa au unajikombekeza kwa kampuni fulani
mbona na lenyewe kama mchina tu sema badala ya kuandikwa ZHONGTONG litakuwa limeandikwa DAREX-TONG!... Kilimanjaro, Tahmeed ! Leteni magari yanayoeleweka , ya kichina kila siku mnatuchomea watu Na mizigo yetu!View attachment 968642View attachment 968643
Kwahiyo ile Dar Express iliyoungua Mbezi ilikuwa ya Kilimanjaro!... Kilimanjaro, Tahmeed ! Leteni magari yanayoeleweka , ya kichina kila siku mnatuchomea watu Na mizigo yetu!View attachment 968642View attachment 968643
Muosha vikombe..na biashara ya usafiri wapi na wapi acha fujo kijana??Naogopa sana biashara ya usafiri. Ajali ikitokea tu hata kama wazi dhahir kabisa ni uzembe wa dereva wabongo watasema tu umetoa kafara na wanajustify kwa nguvu kabisa uzushi wao.
Beba box tu mkuu kujiajiri huwezi tena, ukizeeka rudi bongo uwe mchekeshaji kama Dr shikaNaogopa sana biashara ya usafiri. Ajali ikitokea tu hata kama wazi dhahir kabisa ni uzembe wa dereva wabongo watasema tu umetoa kafara na wanajustify kwa nguvu kabisa uzushi wao.
Mkuu kuna mbibi flan yuko karibu kuretire. Nakuhakikishia sirudi bongo choka mbaya.Beba box tu mkuu kujiajiri huwezi tena, ukizeeka rudi bongo uwe mchekeshaji kama Dr shika
Wee endelea kulala sebuleni kwa shemejiBeba box tu mkuu kujiajiri huwezi tena, ukizeeka rudi bongo uwe mchekeshaji kama Dr shika
Unagonga wabibi tu ambao ni reject. Njoo Tz utafune vibikra weweMkuu kuna mbibi flan yuko karibu kuretire. Nakuhakikishia sirudi bongo choka mbaya.
Miaka yote ya kubeba box alafu unarudi bongo na dola 400 tu ila mimi nitakupokea na kukuhifadhiWee endelea kulala sebuleni kwa shemeji
Aisee wee mgerasi kumbuka nina PERMANENT RESIDENCE PERMIT. Nikiamua naweza kuishi maisha yangu yote Denmark bila kufanya kazi nikapokea hela ya bure kila mwezMiaka yote ya kubeba box alafu unarudi bongo na dola 400 tu ila mimi nitakupokea na kukuhifadhi
Acha mikwara wewee box boyAisee wee mgerasi kumbuka nina PERMANENT RESIDENCE PERMIT. Nikiamua naweza kuishi maisha yangu yote Denmark bila kufanya kazi nikapokea hela ya bure kila mwez