Kuelekea Valentine jirani yangu amekuwa kero

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,445
Nina jirani yangu amekuwa kero sana kuelekea hiki kipindi cha watu wapendanao.
Vioja na vituko anavyo nifanyia imekuwa too much sijui ananilingishia? Kila siku anabadili wanawake kila sample anakuja nao leo nimechoka nimeona anafanya matusi uwanjani sijui nifanyaje nimpeleke kwa mjumbe? Nikimwambia anaweza sema namwonea gele dahh heshima sasa imeenda likizo huyu jamaa.
Sijui anatest yupi wa kutoka nae 14/02 dah wala sijui
 
mpwa mida hii ndo umetoka kumpiga chabo nini LOL:coffee:
 
Nina jirani yangu amekuwa kero sana kuelekea hiki kipindi cha watu wapendanao.
Vioja na vituko anavyo nifanyia imekuwa too much sijui ananilingishia? Kila siku anabadili wanawake kila sample anakuja nao leo nimechoka nimeona anafanya matusi uwanjani sijui nifanyaje nimpeleke kwa mjumbe? Nikimwambia anaweza sema namwonea gele dahh heshima sasa imeenda likizo huyu jamaa.
Sijui anatest yupi wa kutoka nae 14/02 dah wala sijui

wivu tu unakusumbua...
mtu anasafisha bomba la nyama lake we unachonga:roll:
 
wivu tu unakusumbua...
mtu anasafisha bomba la nyama lake we unachonga:roll:

Sasa jamaa asafishe tendo hilo kama anavyo fanya jogoo? yeye popte pale akinogewa anafukuza hajali umekaa na dingi au sista
 
Duh huyo kiboko hadi nje? Ina maana hana fence au
 
Mwanangu kidume huwa hakilalamiki kinapoletewa dharau kama hizi.
Huyo dawa yake unaleta mzigo kama huo hapo chini halafu unaulia uwanjani kama yeye..
Kesho yake atakualika kitimoto na bia kwa matumaini kwamba ipo siku utaleta mzigo na rafiki yake na yeye ajishindie:
View attachment 22507

Kazi kwako.....
 
Nina jirani yangu amekuwa kero sana kuelekea hiki kipindi cha watu wapendanao.
Vioja na vituko anavyo nifanyia imekuwa too much sijui ananilingishia? Kila siku anabadili wanawake kila sample anakuja nao leo nimechoka nimeona anafanya matusi uwanjani sijui nifanyaje nimpeleke kwa mjumbe? Nikimwambia anaweza sema namwonea gele dahh heshima sasa imeenda likizo huyu jamaa.
Sijui anatest yupi wa kutoka nae 14/02 dah wala sijui

Mvumilie mkuu!! Siku ukisikia karuka na miwaya ndio! utajiona wewe ndio komandoo! Hayo mambo hayana umaarufu wala usterling siku hizi!! lol!!
 
Mmmmmh kaka,usijekuwa mpiga chabo lol!
Nitaamini je kama ni uwanjani na wewe umeshapata serengeti za vuguvugu hapo.
 
Nina jirani yangu amekuwa kero sana kuelekea hiki kipindi cha watu wapendanao.
Vioja na vituko anavyo nifanyia imekuwa too much sijui ananilingishia? Kila siku anabadili wanawake kila sample anakuja nao leo nimechoka nimeona anafanya matusi uwanjani sijui nifanyaje nimpeleke kwa mjumbe? Nikimwambia anaweza sema namwonea gele dahh heshima sasa imeenda likizo huyu jamaa.
Sijui anatest yupi wa kutoka nae 14/02 dah wala sijui

Mkuu jibu mapigo!!!!:twitch:
 
Pole mpwa jirani hafai kabisa kama kuna watoto analeta picha gani?? bora ukamshitaki tuu
 
Mpwa nilitaka kushangaa wiki ikate hii bila kituko cha Uswahilini..lol:clap2:
 
Mpwa nimetoka kupiga Kili narudi naona jamaa anacheza uwanjani huu mchezo wa faragha

mmmm bana walikua wanacheza mchezo wa faragha au KIDUKU?????????????

we umesema umetoka kupata kinywaji ubongo ukawa um... kidogooo sasa wenzio wana dance we unadhani mambo ya faragha au huja du long???????? sorry for that mkuu.
 
Fuatilia mambo yako acha ya wenzio, au anakutia katika kishawishi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom