Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Kisayansi kama wanadamu hatuna tofauti,wote tunahitaji amino acid block ambayo ndiyo basic form of life,Nyani pointi yake yeye ni kuwa tumealaaniwa na Mungu or something,huo ni uamuzi wa imani yake na ndio maana siwezi kendelea kubishana naye....Na ndiyo maana mjadala huu inabidi tuamue sasa kwamba kama ni Mungu(Rejea red highlits hapo juu) Then muedelee kusema ndivyo tulivyo kwasababu Mungu aliamua kuwapendelea wazungu.
Tukija kwene mazingira nakubaliana kuwa inawezekana ikawa ni sababu iliyowapumbaza wenyeji wa maeneo kama ya Afrika...Lakini ndugu yangu kama umeyataja matatizo yote hao ambayo yameipata Afrika ndio maana halisi kabisa ya how Afrika was shaped,kuanzia utumwa,ukoloni,ukoloni mamboleo,yote hayo yana impact kubwa sana kwa maendeleo ya Afrika.
Chukulia tu mfano rahisi wa utumwa,walibebwa wale wote wenye nguvu,vijana,na wakabakizwa watoto wadogo na vizee viajuza,sasa nani atakaeendeleza jamii na kufanya kazi za kimaendeleo?watoto?maajuza?
Hilo gap hapo lilikuwa ndo mwanzo wa yote hayo kwasababu sasa wazee hao wanakufa kwa njaa na watoto wanabaki hoe hae bila hata ya kupata mafunzo ya namna ya kukabiliana na mazingira. Wakuu kusoma tu history na reality yenyewe ni vitu viwili tofauti,kama kwenye news ambazo bado ziko manipulated na wale wale walotunyima uhuru kuwa sasa tuko huru,in reality hatuko huru na ndo ukweli huo na historia ndio italiweka hilo wazi....Tutaandika hapa lakini historia ikija kuandikwa wataangalia yapi yanamake sense na yapi yamekuwa kweli.
Baada ya matatizo yote hayo ya utumwa ukoloni nk kuwa abolished,je si bado tuna mawasiliano na wale wale waliokuwa wakitutawala?je mawasiliano hayo yamekatwa? Je mawasiliano na hayo yanaendana na uhuru wa kweli na maamuzi fair na yenye faida kwa pande zote? Na mawasiliano hayo yakikatwa kama tusipokubaliana na masharti yao tuta survive? Ni mawazo ambayo viongozi wetu wanatakiwa wajiulize,je tukiacha bakuli tutaendelea? So far hapo ndo tulipo,bakuli na corruption,lakini kuwajumuisha mashujaa wetu waliompiga mkoloni na kusema eti na wao ndivyo walivyo kwangu binafsi hakuna mantiki.
Niko kwenye maboksi hivyo nitajibu kwa kifupi tu. Hii posti inampa points NN bila ya yeye ku-press key yoyote hile.
Kama tungekuwa wabunifu, tungekuwa na silaha za kujilinda wenyewe kabla ya wakamata watumwa kuja.
Wakati wakoloni wanakuja, wakabila mengi yalifanya resistance kubwa kuupinga ukoloni. Tena watu walipigana kwa kutumia primitive weapons.
Kama tuliweza ku-resist wakoloni kutoka Ulaya wenye bunduki zilizokuwa modern, tungeweza kufanya juhudi hizohizo kwa wafanyabiashara ya utumwa ambao walitumia magobore yaliokuwa very primitive.
Hatukuweza kuzuia utumwa kwa sababu tulishiriki. Empires za kina mirambo, Mkwawa zilikuwa kwa sababu ya biashara hiyo. Hivyo hakuna ukweli kuwa aliyekuwa na nguvu ndio aliyechukuliwa. Aliye na nguvu alishiriki na hakuna gap yoyote.