Hassan Rwitita
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 148
- 66
Hivi ccm na mwenyekiti wao pamoja na kuteua mkuu wa majeshi, wakuu wa mikoa, ma IGP na viongozi wote majeshi ya ulinzi na idara zake zoote, bado wanawaswasi na uchaguzi.
Ameteua Tume ya Uchaguzi na kaweka wanachama wake wote na kila afisa wapo lakini bado hawajiamini ni kwa Nini hawajiamini wakati mpaka askali polisi wanatembea na kadi ya CCM kwa nini wote wanahangaika na upinzani ambao wanasema haujafanya kitu hapa Tanzania.
Ila mwenyekiti wao ndio amefanya mengi kiasi kwamba hakutakiwa hata kufanya kampeni kwa mujibu wa watu wake wanomsifu Kama Yesu, bado vijana wa CCM viongozi wa CCM kuanzia shina mpaka juu kabisa wanawabugudhi wapinzani ni kwa Nini iwe hivyo ikiwa wanasema anakusanya Kodi, amejenga reli, amejenga madaraja Dar, na ameleta heshima maofisini, amemaliza rushwa kabisa amejenga shule anasomesha watoto bure amewakamata mafisadi jamani nasifa zote hizo lakini ameibuka na kutunga sheria ngumu sana, yaani kiasi kwamba yeye ndio amekuwa mpinzani wa maendeleo ambayo ilitakiwa awache watu waseme ili apate kunyosha alipokosea!
Katunga sheria za vyombo vya habari katunga sheria za mitandao, na sheria nyingi tu zinazohusu wanaomkosoa. Sasa lumumba Nani kawadanganya kuwa Tanzania inastahili kutawaliwa na CCM tu.
CCM na vibaraka wote mbona mnajitutumua lakini mnajawa na hofu dhidi ya chama Cha upinzani ambacho mnasema hakina Sera Wala ushawishi. Hebu jitokezeni Basi tujue tatizo liko wapi linalofanya muwe na hofu dhidi ya CHADEMA ambayo mnasema imekufa mnafikia kutumia polisi kuwabugudhi mnatumia mfadhiri wa viama vya siasa kuwasmea mmeenda mbali mpaka mnasema hata wimbo wa taifa wameuongezea ubeti mwingine haha!!
Vijana wa Lumumba na mwenyekiti wenu na majeshi yote mtungi na vikundi vyake nyie ndio mmekuwa wapinzani sio watawala Tena mnaishi kwa hofu kuliko hata wapinzani si kawaida kwa miaka ya hivi karibuni mumeongeza hofu kuliko awamu zote za utawala wa CCM mnanusa nini kilichoko mbeleni.
Sijui kuandikwa vizuri mtanisaidia kusahihisha nilipokosea
Ameteua Tume ya Uchaguzi na kaweka wanachama wake wote na kila afisa wapo lakini bado hawajiamini ni kwa Nini hawajiamini wakati mpaka askali polisi wanatembea na kadi ya CCM kwa nini wote wanahangaika na upinzani ambao wanasema haujafanya kitu hapa Tanzania.
Ila mwenyekiti wao ndio amefanya mengi kiasi kwamba hakutakiwa hata kufanya kampeni kwa mujibu wa watu wake wanomsifu Kama Yesu, bado vijana wa CCM viongozi wa CCM kuanzia shina mpaka juu kabisa wanawabugudhi wapinzani ni kwa Nini iwe hivyo ikiwa wanasema anakusanya Kodi, amejenga reli, amejenga madaraja Dar, na ameleta heshima maofisini, amemaliza rushwa kabisa amejenga shule anasomesha watoto bure amewakamata mafisadi jamani nasifa zote hizo lakini ameibuka na kutunga sheria ngumu sana, yaani kiasi kwamba yeye ndio amekuwa mpinzani wa maendeleo ambayo ilitakiwa awache watu waseme ili apate kunyosha alipokosea!
Katunga sheria za vyombo vya habari katunga sheria za mitandao, na sheria nyingi tu zinazohusu wanaomkosoa. Sasa lumumba Nani kawadanganya kuwa Tanzania inastahili kutawaliwa na CCM tu.
CCM na vibaraka wote mbona mnajitutumua lakini mnajawa na hofu dhidi ya chama Cha upinzani ambacho mnasema hakina Sera Wala ushawishi. Hebu jitokezeni Basi tujue tatizo liko wapi linalofanya muwe na hofu dhidi ya CHADEMA ambayo mnasema imekufa mnafikia kutumia polisi kuwabugudhi mnatumia mfadhiri wa viama vya siasa kuwasmea mmeenda mbali mpaka mnasema hata wimbo wa taifa wameuongezea ubeti mwingine haha!!
Vijana wa Lumumba na mwenyekiti wenu na majeshi yote mtungi na vikundi vyake nyie ndio mmekuwa wapinzani sio watawala Tena mnaishi kwa hofu kuliko hata wapinzani si kawaida kwa miaka ya hivi karibuni mumeongeza hofu kuliko awamu zote za utawala wa CCM mnanusa nini kilichoko mbeleni.
Sijui kuandikwa vizuri mtanisaidia kusahihisha nilipokosea