dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Ikifa chadema kwa kiasi gani umaskini wako utaisha mijitu mingine nyie ni hasara kwa TaifaCCM wanakamilisha Jambo lao Kubwa sana hapo kupitia CCM B a.k.a ACT Wazalendo ili Kupanga Mkakati wa Kukiua na Kukizika kabisa CHADEMA.