Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,910
- 1,131
Habari kutoka TBC fm zinaeleza kuwa Mbunge wa Mbeya mjini Mh Joseph Mbilinyi a.k.a Mr 2 anashikiliwa na Polisi akihojiwa kwa kosa la kufanya mkutano huko Nzovwe bila ya kuwa na kibari cha Polisi. Msemaji wa CHADEMA mkoani Mbeya ameiambia TBC fm kuwa walienda Polisi kuwajulisha kuwa Mh Sugu atakuwa na mkutano wa kuongea na Watu wake na Sio mkutano wa Hadhara, hivyo wamelishanga jeshi la polisi kwa kumshikili Mbunge huyo. Menye update za habari hii naomba watujuze zaidi kama ni kukosa kibari au lile sakata la Tamasha la fiesta?