Kuelekea siku yangu ya kuzaliwa naombeni mchango

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
26,953
49,705
Siku si nyingi nitasherekea siku yangu ya kuzaliwa na kuaga ujana kwa amani
Namshukuru Mwenyenzi Mungu mwingi wa huruma na Rehema kwa wema na baraka zake nyingi saana katika maisha yangu.

Siku hiyo nitaenda kusherekea na watoto yatima sehemu flani, so naombeni kampani ratiba ipo hivi tutaenda asubuhi, tupike chai, tuwafulie tupike mchana, tucheze nao then tuondoke vitu vya kupika na sabuni za kufulia ninazo.

Nawakaribisha sana kwenye party yangu kama upo interested njoo pm nikupe kadi kama una nguo hutumii au mashuka ila yasiwe na ramani za sayari ya mars huko. unaweza kuleta naombeni niliowakosea mnisamehe sana tuanze upya, eneo ni Dar.
 
Ngoja tukufikirie.. Kama una account stanbic bank weka no hapa tuangalie namengineyo..
 
Miss Natafuta siku ikikaribia nishitue PM ntapendelea kujumuika nawe, kama umepanga kituo unaweza kunitumia na tarehe.

Mungu azidi kukutunza.
 
Nipatie mawasiliano Pm
Miss Natafuta siku ikikaribia nishitue PM ntapendelea kujumuika nawe, kama umepanga kituo unaweza kunitumia na tarehe.

Mungu azidi kukutunza.
asanteni wapendwa ndo namalizia kufatiti kuna kituo watoto wana hali mbaya sana ndo nataka twende huko maana vingine vipo kibiashara ila kuna watoto wana hali mbaya hadi huruma yaani
 
Stay Blessed,''ATAKAYEMTUNZA YATIMA KWA UADILIFU MIMI NA YEYE( Akimaanisha huyo aliyemtendea wema na uadilifu Yatima) TUTAKUWA KAMA VIDOLE VIWILI( alipovionyesha vidole viwili kidole cha shahada na kidole cha pete) PEPONI'' Mtume Muhammad SAW.
 
Miss natafuta hongera... Kumbe unauaga ujana??? Hela sikupi nitabeba nije nayo siku ya tukio. ila nyoosha maelezo kwa kutuwejea rough budget ya unachotaka Kufanya na ni wapi ili tujue tunakujaje...
 
Siku si nyingi nitasherekea siku yangu ya kuzaliwa na kuaga ujana kwa amani
Namshukuru Mwenyenzi Mungu mwingi wa huruma na Rehema kwa wema na baraka zake nyingi saana katika maisha yangu.

Siku hiyo nitaenda kusherekea na watoto yatima sehemu flani, so naombeni kampani ratiba ipo hivi tutaenda asubuhi, tupike chai, tuwafulie tupike mchana, tucheze nao then tuondoke vitu vya kupika na sabuni za kufulia ninazo.

Nawakaribisha sana kwenye party yangu kama upo interested njoo pm nikupe kadi kama una nguo hutumii au mashuka ila yasiwe na ramani za sayari ya mars huko. unaweza kuleta naombeni niliowakosea mnisamehe sana tuanze upya, eneo ni Dar.

WAKUU,

MBONA HAKUNA TAARIFA ZA MSINGI KAMA VILE TAREHE YA HILO TUKIO LA KUWAFARIJI HAO WATOTO??

WAKUU
HIVI HAPA HAKUNA DALILI ZA MIRADI YA UDUFUAJI HAPA KUPITIA MGONGO WA KUFARIJI WATOTO KUMBE WATU WANATAKA WAKANYWEE WANZUKI TU HUKO VILABUNI??

 
umewaza kitu chema sana miss natafuta yani itabidi utuambie tarehe ya kwenda huko
 
Siku si nyingi nitasherekea siku yangu ya kuzaliwa na kuaga ujana kwa amani
Namshukuru Mwenyenzi Mungu mwingi wa huruma na Rehema kwa wema na baraka zake nyingi saana katika maisha yangu.

Siku hiyo nitaenda kusherekea na watoto yatima sehemu flani, so naombeni kampani ratiba ipo hivi tutaenda asubuhi, tupike chai, tuwafulie tupike mchana, tucheze nao then tuondoke vitu vya kupika na sabuni za kufulia ninazo.

Nawakaribisha sana kwenye party yangu kama upo interested njoo pm nikupe kadi kama una nguo hutumii au mashuka ila yasiwe na ramani za sayari ya mars huko. unaweza kuleta naombeni niliowakosea mnisamehe sana tuanze upya, eneo ni Dar.
Wazo zuri sana, kama wote tungeazimisha siku zetu za kuzaliwa hivi tungesaidia sana jamii zetu.
 
umebadilisha picha best kumbe upo nikadhani umekwenda kutembelea sayari ya jupiter hahahahaaaa

wapi ndugu yangu..... Magu alivyobana unafikiri hata Jupiter kunaendeka basi..kasema wote tukae hapa tugawane sambusa na chupa za maji ......wallah huyu mzee ataturudisha kijijini....
 
Back
Top Bottom