Mkali Mapanga
Senior Member
- May 17, 2017
- 100
- 66
Arsenal,man cty,man u,LiverpoolMsimu mpya wa EPL kwa 2017/18 unaanza rasmi kesho Ijumaa kwa Arsenal kuvaana na Leicester City.
Vilabu vikubwa baadhi vimejiimarisha katika usajili wa dirisha hili kubwa la Majira ya Kiangazi.
Mengi yanazungumzwa kuna timu kubwa hazitoweza kumaliza Top 4 kutokana na aina ya Vikosi vyao na hivyo kupelekea kukosa kushiriki Uefa Champions League.
Ufuatao ni utabiri wangu wa timu ambazo zitamaliza Top 4 ya EPL
1.Man City
2.Man Utd
3.Tottenham
4.Liverpool
Na Conte atakuwa kocha wa kwanza kufukuzwa kwa Timu kubwa pale EPL.
Tupia utabiri wako na wewe!
Hana akili yeyote huyo city bingwaww una akili sana
Man mara mia omba catinyo asiondoke, akiondoka kuna vyuma viwili vinaingia kwenye midfield. Keita na Ractic maana atabadilishwa na catinyo kwa add-ons.Sijui ubavu wa kutamka hayo maneno umepata wapi!!!!!
Inahitaji mwanadamu mwenye roho ngumu kama ya Mohamed Alli kuweza kutamka hayo maneno
But, this is the truth
1. Man utd
2. Chelsea
3.Arsenal
4. Man city if Coutinho will leave Liverpool, if not, vice versa
Mkuu unachuki na Chelsea sio kingine...Msimu mpya wa EPL kwa 2017/18 unaanza rasmi kesho Ijumaa kwa Arsenal kuvaana na Leicester City.
Vilabu vikubwa baadhi vimejiimarisha katika usajili wa dirisha hili kubwa la Majira ya Kiangazi.
Mengi yanazungumzwa kuna timu kubwa hazitoweza kumaliza Top 4 kutokana na aina ya Vikosi vyao na hivyo kupelekea kukosa kushiriki Uefa Champions League.
Ufuatao ni utabiri wangu wa timu ambazo zitamaliza Top 4 ya EPL
1.Man City
2.Man Utd
3.Tottenham
4.Liverpool
Na Conte atakuwa kocha wa kwanza kufukuzwa kwa Timu kubwa pale EPL.
Tupia utabiri wako na wewe!
Duuuuuuu.... Kweli Chelsea inawafanya msilale..... Tunashinda EPL tena nyie jipangeni kuanzia namba 2 huko.1.Arsenal
2.Manchester city
3.Liverpool
4.Manchester utd........
Top four hiyoo...
.
5.spurs
6.westhm
.
.
.
.10.chelsea